Mtili wandu
JF-Expert Member
- Dec 15, 2012
- 8,257
- 11,499
Mchele ndoo ikiwa kavu inatakiwa iwe inafungwa au ikae wazi nijulishe maana hapa nina kwangu kuna mchele.nina ndoo maalum za kutunzia vitu kama hivyo nahakikisha ndoo hazina maji na hua nahakikisha nikifunga mfuniko nakaza tena unga ukikaa sana dukani ndio unakuta ubafanya wadudu unga wa ngano ukiweka ndoo ikiwa na maji hali ni hiyo hiyo maharage ukihifadhi usifunike ndoo mchele hakikisha tu ndoo ni kavu bas
Kama Unataka viroba tutafutane DM au kwa namba 0784 - 045 153Anayejua inakopatikana mifuko hii kwa wingi , View attachment 2039512
Kuna mangi nilikuwa namuuzia 100 kg 25 na 200 kg 50.na yeye anauza kwa wabeba mchanga au wateja mmoja mmoja wakija kununua, nayo Mingi Sana mkuu kutoka kwenye shughuli zangu za bakery .
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Maduka ya rejareja yanayouza unga, ngano, sukari.Mkuu habari ya asubuhi
Hii idea ya mifuko ya kuuza migodini nimeipokea kwa mikono yote,mara nyingi biashara kama hizi huwa zinadharauliwa ,ila zinawatoa watu
Sasa ninaomba msaada jinsi ya kuipata,kwa sababu nahitaji kuthubutu hii kitu
Connection ya kupata hii mifuko please