Cytochrome p450
JF-Expert Member
- Mar 19, 2019
- 5,638
- 15,044
Salaam..
Nimeona niandae kwa haraka haraka namna msimamo wa ligi utakavyokuwa kuelekea kumalizika kwa ligi siku ya jumapili, 26 July 2020.
Tukianza na timu 4 zitakazofuzu kwenye michuano ya ligi ya mabingwa ulaya (UEFA Champions League)
1. Liverpool (C)
2. Man City
3. Chelsea
4. Leicester
Wale wenzangu na mimi wa Futuhi (UEFA Europa League)
5. Man United
6. Spurs
-Arsenal (Kupitia tiketi ya FA Cup)
Na kule chini kabisha kwenye Relegation zone, kunabaki vile vile.
Namuona Aston Villa akibakia kwenye ligi.
17. Aston Villa
___________________
18. Watford
19. Bournemouth
20.Norwich
Mwisho nime-attach current league table na final fixtures za jumapili.[emoji116][emoji116][emoji116]
Weka maoni yako mdau.
Nimeona niandae kwa haraka haraka namna msimamo wa ligi utakavyokuwa kuelekea kumalizika kwa ligi siku ya jumapili, 26 July 2020.
Tukianza na timu 4 zitakazofuzu kwenye michuano ya ligi ya mabingwa ulaya (UEFA Champions League)
1. Liverpool (C)
2. Man City
3. Chelsea
4. Leicester
Wale wenzangu na mimi wa Futuhi (UEFA Europa League)
5. Man United
6. Spurs
-Arsenal (Kupitia tiketi ya FA Cup)
Na kule chini kabisha kwenye Relegation zone, kunabaki vile vile.
Namuona Aston Villa akibakia kwenye ligi.
17. Aston Villa
___________________
18. Watford
19. Bournemouth
20.Norwich
Mwisho nime-attach current league table na final fixtures za jumapili.[emoji116][emoji116][emoji116]
Weka maoni yako mdau.