Namna nchi za AFRIKA zinavyoeleza MAANA ya neno 'SERIKALI'

Dogo kama huyo kakua ana hasira na viongozi ndo akapewa urais naona kuna watu wanaweza kimbia nchi wakiwa wamevaa chupi kichwani 🤣🤣🤣maana atakamata wote majizi.
 
Huyo mwanafunzi akamatwe haraka iwezekanavyo, kwanini ameongea ukweli mtupu kiasi hicho?
 
Sidhani kama aliyeandika hapo ni mwanafunzi!na kama ni mwanafunzi basi ni thinker hasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…