Desprospero
JF-Expert Member
- Feb 1, 2023
- 1,015
- 2,493
Wajumbe,
Mkataba huu wa kijambazi wa DP World na wajanja wachache ndani ya CCM na Serikali yake imekiacha CCM uchi mchana wa jua Kali. Kinachoendelea kwa sasa ni kujifaragua tu na the so called "tuendelee kutoa elimu" kwa wananchi.
Serikali ikisema unafutwa tuanze upya itakuwa ni aibu na fedheha kwa chama. Lakini pia ieleweke kwamba kushupalia kuendelea na Mkataba huu kunaweza kuiondosha CCM madarakani.
Ushauri wangu ni huu hapa. Yule yule dalali wa dili hili, Rostam Aziz arudi Dubai awaambie DP World wajifanye wamekasirika na kelele zetu ilhali walikuwa na "Nia njema" kutuletea maendeleo, Kwa hiyo wasuse mradi huo na kwenda kwingine ili watunange. Tubaki na bandari yetu.
Au mnaonaje wadau maana maji yameshajaa ruba weusi.
Mkataba huu wa kijambazi wa DP World na wajanja wachache ndani ya CCM na Serikali yake imekiacha CCM uchi mchana wa jua Kali. Kinachoendelea kwa sasa ni kujifaragua tu na the so called "tuendelee kutoa elimu" kwa wananchi.
Serikali ikisema unafutwa tuanze upya itakuwa ni aibu na fedheha kwa chama. Lakini pia ieleweke kwamba kushupalia kuendelea na Mkataba huu kunaweza kuiondosha CCM madarakani.
Ushauri wangu ni huu hapa. Yule yule dalali wa dili hili, Rostam Aziz arudi Dubai awaambie DP World wajifanye wamekasirika na kelele zetu ilhali walikuwa na "Nia njema" kutuletea maendeleo, Kwa hiyo wasuse mradi huo na kwenda kwingine ili watunange. Tubaki na bandari yetu.
Au mnaonaje wadau maana maji yameshajaa ruba weusi.