Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji16][emoji16][emoji16]kweli hiki cha inside your mindI speak good English inside my mind but once I open my mouth to spoke I couldn't can [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mh bro hii ni good english[emoji848]I couldn't can[emoji134]I speak good English inside my mind but once I open my mouth to spoke I couldn't can [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mkuu hii ni jamii forum. Kuna werevu, wajuzi, waongo na makanjanja.Mh bro hii ni good english[emoji848]I couldn't can[emoji134]
𝐈𝐬𝐡𝐮 𝐧𝐠𝐮𝐦𝐮 𝐡𝐚𝐬𝐚 𝐤𝐰𝐞𝐧𝐲𝐞 𝐦𝐚𝐬𝐰𝐚𝐥𝐢Hii ni sawa iwapo unakijua unachoki-present, ila kama umekunywa desa mkuu usijaribu kutoka nje ya key kuna gharama kubwa sana.
Aisee Mimi huwa sijiskii vibaya kabisa...nahisi Swaggs zangu za kuongea zina waburudisha.pole mkuu daa inauma sana ndg
𝐢𝐥𝐚 𝐛𝐨𝐫𝐚 𝐮𝐰𝐞 𝐧𝐚𝐲𝐨 𝐦𝐤𝐮𝐮You
You are very right. Kitu cha kwanza ni patience.
Siku za nyuma kulikuwa na radio nyingi za short wave, jioni unazisikiliza, **** bbc.
Kusoma vitabu vingi kunakupa misamiati mi gi.
Mimi nilikipenda kitabu cha The MALCOM X. Yani kuna presentation nyingi kafanya malcom, kuna interview, kuna interogation.
Nilivisoma vitabu vya james chase 20+, nikasoma manove mengi sana kutoka kwa family friend.
Nilisoma novel zaidi ya 100 Baadae nikakipata Kim il sung I na II yani mle ni presentation tu zilizotafsiriwa kwa kingereza. Baadae movie za kimarekani na ki Nigeria nazo tamthilia zikaja.
Nilikuwa ni member wa maktaba ya Roman church, kulikuwa na vitabu vingi sana.
Baadae you tube, hapa ndio kama yote nilijikita sana kwenye presentation za fani nayosomea na vlog .
Chuoni hakuna nafasi ya kujufunza speaking skill kwa sababu presentation unafanya dk 5 tu! Utamaster vipi laugha ya kingereza?
Jambo la mwisho ni kwamba hata ukiwa fluent speaker mzuri vipi kama hupata platform unasahau taratibu mwishowe unakuwa bubu. Nilichojifunza TZ English speaking skill haina nafasi hata mafiosini hivyo sio muhimu ki vile.
𝐀𝐬𝐚𝐧𝐭𝐞 𝐦𝐤𝐮𝐮Andaa unacho present, Hakikisha unajua vizuri unacho present. Usiweke chochote usichokijua kwenye ppt. Fanya rehearsal kabla.
𝐔𝐥𝐢𝐤𝐮𝐚 𝐮𝐧𝐚 𝐩𝐫𝐞𝐬𝐞𝐧𝐭 𝐧𝐧 𝐦𝐤𝐮𝐮Dah muda huu ndo natoka venue kwenye presentation, halafu nakutana na huu uzi!
𝐈𝐥𝐚 𝐜𝐡𝐚 𝐦𝐬𝐢𝐧𝐠𝐢 𝐮𝐬𝐢𝐤𝐚𝐭𝐞 𝐭𝐚𝐦𝐚𝐚Aisee Mimi huwa sijiskii vibaya kabisa...nahisi Swaggs zangu za kuongea zina waburudisha.
Mimi hata nikikasirika baadhi wanacheka sasaaa dah!!
𝐃𝐚𝐚 𝐰𝐚𝐚𝐧𝐝𝐢𝐬𝐡𝐢 𝐰𝐚 𝐡𝐚𝐛𝐚𝐫𝐢 𝐢𝐧𝐚𝐭𝐚𝐤𝐢𝐰𝐚 𝐰𝐚𝐰𝐞 𝐧𝐚 𝐬𝐤𝐢𝐥𝐥𝐬 𝐳𝐨𝐭𝐞 𝐧𝐧𝐞Lugha ya watu, mechi ya Yanga na Marumo mtangazaji anamhoji Profesa Nabbi mdomo una sema vingine ubongo unataka vingine, akaishia na congratulation.
Nahisi haujanielewa kaka...huwa naenjoy Mimi comedian𝐈𝐥𝐚 𝐜𝐡𝐚 𝐦𝐬𝐢𝐧𝐠𝐢 𝐮𝐬𝐢𝐤𝐚𝐭𝐞 𝐭𝐚𝐦𝐚𝐚
Ni mambo ya social and economic service management. (entitlement approach)𝐔𝐥𝐢𝐤𝐮𝐚 𝐮𝐧𝐚 𝐩𝐫𝐞𝐬𝐞𝐧𝐭 𝐧𝐧 𝐦𝐤𝐮𝐮
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nahisi haujanielewa kaka...huwa naenjoy Mimi comedian
pambana kiongoziNi mambo ya social and economic service management. (entitlement approach)
[emoji120]nakomaa chiefpambana kiongozi
I was just kidding, Don't take it seriousHapa tu naona ugumu wa kiingereza chako.