Mwanamena
JF-Expert Member
- Feb 4, 2020
- 1,107
- 1,360
NotedI was just kidding, Don't take it serious
English ilikuja na Meli ika ondoka na ndege
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NotedI was just kidding, Don't take it serious
English ilikuja na Meli ika ondoka na ndege
Most Tanzanians speak good English inside their mind[emoji16][emoji16][emoji16]kweli hiki cha inside your mind
Hii lugha ilikuja na Meli na Samaki wenyewe hawakuielewaMost Tanzanians speak good English inside their mind
But once they open their mouth to speak the language perishes...
They start saying
I'm, I'm, I'm, I'm the! the! the! theeee!!!!
Huu ugonjwa wa wengi.I speak good English inside my mind but once I open my mouth to spoke I couldn't can [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kuna zile presentation Lecturer anataka kila mtu kwenye group lazima aongee shughululi inakuja kwenye kugombania parts za ile kazi mliyopewa mana kila mtu anataka ile rahisi anayoweza kuielezea ile part ngumu huwa inakosa mteja labda ajitose mmoja aipresent.Andaa unacho present, Hakikisha unajua vizuri unacho present. Usiweke chochote usichokijua kwenye ppt. Fanya rehearsal kabla.
niliisoma aise ni noma nilicheka hadi basi[emoji1787][emoji1787]Kuna thread itafute ,kuna member mmoja humu alienda kwenye semina south Africa mara ghafla jina lake likatajwa mbele ya kadamnasi afungue kikao kwa sala kwa lugha ya kingereza.
Yule jamaa aliishia kusema EIMEN[emoji2]
Bora huyo mwingine anatoa module nzima mtafute majibu kila mtu atawasilisha vizuri ila kny maswali unaweza tajwa from no where answer the question hata kipengele ambacho huja kipresent hapo ndipo utajua hujui.Kuna zile presentation Lecturer anataka kila mtu kwenye group lazima aongee shughululi inakuja kwenye kugombania parts za ile kazi mliyopewa mana kila mtu anataka ile rahisi anayoweza kuielezea ile part ngumu huwa inakosa mteja labda ajitose mmoja aipresent.
Hii mada imenikumbusha mbali sana.
Sasa Kuna mmoja yeye alikuwa anachukua ile kazi mliyofanya anamtaja yeyote kwenye group anamwambia elezea part hii sasa kama hukuelewa utajua hujui.Yaani kila mtu alikuwa anakomaa aelewe na ukijua kinachowekwa hukielewi unapambana kisiwekwe mana utakosa marks.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Huu ugonjwa wa wengi.
Ukiwa peke yako kinashuka sasa subiri uongee mbele za watu misamiati inagoma na kujiumauma kwa kwenda mbele
ila kuna watu wanaflow aise walio toka seminar na english medium from nursery aise ni hatari ila wengi hawana content kichwanLugha si yetu hii...unazungumza unavoweza. Mambo yasiwe mengi sana.
ni stress halaf ukute kitu kigumuKitu siwezi ni presentation yani naweza nisilale kabisa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Most Tanzanians speak good English inside their mind
But once they open their mouth to speak the language perishes...
They start saying
I'm, I'm, I'm, I'm the! the! the! theeee!!!!
Hiyo avatar huyu dogo alikula kungu au ilikuaje? Kuna clip moja anacheza na macho kalegeza kinyama. Au ni bangi?😂😂😂 hatari nilishawahi ruka point kisa nimesahau msamiati. Alafu sijui kwanini nikisimama tu watu wanacheka nikianza kuongea kelele zinazidi hata kama ni kiswahili hahahah.
Hatari sana .... Hii ni nyanya masalo.I speak good English inside my mind but once I open my mouth to spoke I couldn't can [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji1787][emoji1787]Hatari sana .... Hii ni nyanya masalo.