[emoji16][emoji16][emoji16]kweli hiki cha inside your mindI speak good English inside my mind but once I open my mouth to spoke I couldn't can [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mh bro hii ni good english[emoji848]I couldn't can[emoji134]I speak good English inside my mind but once I open my mouth to spoke I couldn't can [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mkuu hii ni jamii forum. Kuna werevu, wajuzi, waongo na makanjanja.Mh bro hii ni good english[emoji848]I couldn't can[emoji134]
๐๐ฌ๐ก๐ฎ ๐ง๐ ๐ฎ๐ฆ๐ฎ ๐ก๐๐ฌ๐ ๐ค๐ฐ๐๐ง๐ฒ๐ ๐ฆ๐๐ฌ๐ฐ๐๐ฅ๐ขHii ni sawa iwapo unakijua unachoki-present, ila kama umekunywa desa mkuu usijaribu kutoka nje ya key kuna gharama kubwa sana.
Aisee Mimi huwa sijiskii vibaya kabisa...nahisi Swaggs zangu za kuongea zina waburudisha.pole mkuu daa inauma sana ndg
๐ข๐ฅ๐ ๐๐จ๐ซ๐ ๐ฎ๐ฐ๐ ๐ง๐๐ฒ๐จ ๐ฆ๐ค๐ฎ๐ฎYou
You are very right. Kitu cha kwanza ni patience.
Siku za nyuma kulikuwa na radio nyingi za short wave, jioni unazisikiliza, **** bbc.
Kusoma vitabu vingi kunakupa misamiati mi gi.
Mimi nilikipenda kitabu cha The MALCOM X. Yani kuna presentation nyingi kafanya malcom, kuna interview, kuna interogation.
Nilivisoma vitabu vya james chase 20+, nikasoma manove mengi sana kutoka kwa family friend.
Nilisoma novel zaidi ya 100 Baadae nikakipata Kim il sung I na II yani mle ni presentation tu zilizotafsiriwa kwa kingereza. Baadae movie za kimarekani na ki Nigeria nazo tamthilia zikaja.
Nilikuwa ni member wa maktaba ya Roman church, kulikuwa na vitabu vingi sana.
Baadae you tube, hapa ndio kama yote nilijikita sana kwenye presentation za fani nayosomea na vlog .
Chuoni hakuna nafasi ya kujufunza speaking skill kwa sababu presentation unafanya dk 5 tu! Utamaster vipi laugha ya kingereza?
Jambo la mwisho ni kwamba hata ukiwa fluent speaker mzuri vipi kama hupata platform unasahau taratibu mwishowe unakuwa bubu. Nilichojifunza TZ English speaking skill haina nafasi hata mafiosini hivyo sio muhimu ki vile.
๐๐ฌ๐๐ง๐ญ๐ ๐ฆ๐ค๐ฎ๐ฎAndaa unacho present, Hakikisha unajua vizuri unacho present. Usiweke chochote usichokijua kwenye ppt. Fanya rehearsal kabla.
๐๐ฅ๐ข๐ค๐ฎ๐ ๐ฎ๐ง๐ ๐ฉ๐ซ๐๐ฌ๐๐ง๐ญ ๐ง๐ง ๐ฆ๐ค๐ฎ๐ฎDah muda huu ndo natoka venue kwenye presentation, halafu nakutana na huu uzi!
๐๐ฅ๐ ๐๐ก๐ ๐ฆ๐ฌ๐ข๐ง๐ ๐ข ๐ฎ๐ฌ๐ข๐ค๐๐ญ๐ ๐ญ๐๐ฆ๐๐Aisee Mimi huwa sijiskii vibaya kabisa...nahisi Swaggs zangu za kuongea zina waburudisha.
Mimi hata nikikasirika baadhi wanacheka sasaaa dah!!
๐๐๐ ๐ฐ๐๐๐ง๐๐ข๐ฌ๐ก๐ข ๐ฐ๐ ๐ก๐๐๐๐ซ๐ข ๐ข๐ง๐๐ญ๐๐ค๐ข๐ฐ๐ ๐ฐ๐๐ฐ๐ ๐ง๐ ๐ฌ๐ค๐ข๐ฅ๐ฅ๐ฌ ๐ณ๐จ๐ญ๐ ๐ง๐ง๐Lugha ya watu, mechi ya Yanga na Marumo mtangazaji anamhoji Profesa Nabbi mdomo una sema vingine ubongo unataka vingine, akaishia na congratulation.
Nahisi haujanielewa kaka...huwa naenjoy Mimi comedian๐๐ฅ๐ ๐๐ก๐ ๐ฆ๐ฌ๐ข๐ง๐ ๐ข ๐ฎ๐ฌ๐ข๐ค๐๐ญ๐ ๐ญ๐๐ฆ๐๐
Ni mambo ya social and economic service management. (entitlement approach)๐๐ฅ๐ข๐ค๐ฎ๐ ๐ฎ๐ง๐ ๐ฉ๐ซ๐๐ฌ๐๐ง๐ญ ๐ง๐ง ๐ฆ๐ค๐ฎ๐ฎ
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nahisi haujanielewa kaka...huwa naenjoy Mimi comedian
pambana kiongoziNi mambo ya social and economic service management. (entitlement approach)
[emoji120]nakomaa chiefpambana kiongozi
I was just kidding, Don't take it seriousHapa tu naona ugumu wa kiingereza chako.