Beatrice Kamugisha
JF-Expert Member
- May 18, 2019
- 762
- 6,984
Rostam Aziz ameshambuliwa na makundi mbalimbali nchini Kenya baada ya kutoa maoni yake kuhusu mfumo wa biashara wa nchi hiyo huku akieleza kutotekelezwa ahadi ya Mhe. Rais ya Kenya aliyompa miaka kadhaa yakuwekeza kwenye gesi.
Rostam hajawahi kuishambulia Wala kuzungumza chochote kibaya kuhusu utawala wa Tanzania, amepataje courage yakukosoa mfumo wa Kenya?
Je, alitegemea wafanyakazi waliomkwamisha wachukuliwe hatua? Alitaka mfumo wa Kenya umkumbatie na kumdekeza Kama anavyofanuiwa na mfumo wa Tanzania? Kwanini ajisemee yeye badala yakusemea wafanyabiashara wote?
Next time inabidi wafanyabiashara wachague maneno yakusema wanapoambatana na Rais, lazima hoja zao zikaguliwe.
Rostam hajawahi kuishambulia Wala kuzungumza chochote kibaya kuhusu utawala wa Tanzania, amepataje courage yakukosoa mfumo wa Kenya?
Je, alitegemea wafanyakazi waliomkwamisha wachukuliwe hatua? Alitaka mfumo wa Kenya umkumbatie na kumdekeza Kama anavyofanuiwa na mfumo wa Tanzania? Kwanini ajisemee yeye badala yakusemea wafanyabiashara wote?
Next time inabidi wafanyabiashara wachague maneno yakusema wanapoambatana na Rais, lazima hoja zao zikaguliwe.