Rotsam kama Mfanya. Biashara na Mtanzania yuko sahihi, kwani alichokisema ndio ukweli wakenya wana vision na wivu na nchi yao na jamii zao, hata mkenya wa kawaida, wanataka kunufaika wao tu, na hio sio zambi ni uzalendo na nchi Yao, Hata yale Kenyata aliyoongea ni ya jukwaani tu, nenda kwenye utendaji watataka kupata zaidi, kwa hio Watanzania lazima wawe imara kushindana kutetea maslahi, nchi ikipote na wao wamepoteza pia, kwani watakuja kuwa wanyonge kwenye nchi yao.
Na hii inatokea kwa sababu Tanzania imekumbatia Ujamaa, ujamaa unaua ushindani wa mtu na mtu hadi tasisi na taasisi, inatoa kujiamini na inaleta utegemezi, na uvivu, wizi, akili zinarara,
Kenya wamekumbatia Ubebari, ubepari lazima ushindane, lazima uwe agresive, lazime utetee maslahi yako, lazima utambue unataka nini. lazima uwe mbunifu.
Ni lazima Tanzania itoke kwenye mfumo wa ujamaa kama inataka kuendelea.