Namna Rostam Aziz alivyotoa hoja Kenya, ni kielelezo cha utajiri bila maarifa

Ufisadi wa Magufuli huu hapa kenge wewe
 
Hata ulie vipi mfu shetani mtu Magufuli hawezi kufufuka tafuta wengine wa kuwalamba nyayo!
 
Unapingana na tycoon mtu ambaye ni mzoefu master kwenye ma deal na mabiashara ya kimataifa
Alafu mtu anayebishana au kupingana naye hajawahi hata kupeleka punje ya mahindi
Kenya

Ova
 

Acha dharau hela ya rostam ukipewa wewe utakula na vizazi vyako 30 bila kuisha.

Kwa siku ukiwa unatumia elfu 50 kwa umri wa kuishi mwanadamu bila kukopa miaka 70 utatumia 1.2B ,sasa Rostam ana utajiri wa mabilioni ya Tsh.....Acha dharau.
 
Poverty mentality inakusumbua
 
How do you define the term Freedom of Expression?
 
Hamtompiga risasi nyingi nyingi tena?
 
Siku hizi umepatwa na nini ndugu? Mwenzake ameondoka na ufahamu wako? Pole yako.
 
Kesho tunalalamika wakenya wanatupiga bao, tumia akili yuko vizuri
"Kesho tulalamike wakenya wanatupiga bao",? Si hilo hapo tayari wamepiga bao?

Kila mara tunaambiwa Kenya hawana vikwazo na wawekezaji, wanapenda ushindani...; sasa huo ndio ushindani? Kama hayo aliyofanyiwa Rostam si kupiga bao tukuite kitugani!
 
Alichoongea rostam ndio ukweli wenyewe tz na kenya ni kama china na marekani kuna mmoja anataka kumfanya mwenzie soko na mwingi mzalishaji wa low material
 
Tatizo lako mtoa mada, unamfundisha tajiri namna na njia ya kutengeneza pesa wakati wewe mfukoni huna kitu.
Kukusikia tu bahati yako!

Hii anatokea Tanzania tu, masikini kumshauri tajir!
 
Imefikia wakati Tanesco ibinafsishwe na turuhusu Makampuni Binafsi nayo yaanze kutoa huduma za Umeme

Kama tulivyokuwa tunateseka enzi za TTCL baada ya kuja makampuni mengi tukapumua.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…