Namna wa Kenya, Uganda, Rwanda na Watanzania wanavyochukuliana

Namna wa Kenya, Uganda, Rwanda na Watanzania wanavyochukuliana

MKUDE SIMBA

JF-Expert Member
Joined
Apr 5, 2014
Posts
305
Reaction score
167
Habari gani wakuu, kwa nia ya kujifunza na kujirekebisha pale tunapo kosea kama wana wa mataifa ya africa mashariki, ningependa tufahamu ni namna gani (images) ambavyo wakenya, wauganda, watanzania ama wanyarwanda wanachukuliana kitabia, kiutendanji, kimahusiano nakadhalika. Naomba kuwasilisha na kurekebishwa inapobidi.
 
Chuki za kipumba kando,ntatoa maoni yangu kama Mkenya, ni maoni tu kumbuka, tafadhali! Nina rafiki wengi watz, tulosoma nao.

Cha kushangaza ni kuwa wanavowaona watz, wakenya yaani, ambao hawajamjua mtz yeyote moja kwa moja na mtazamo wangu mimi niliyesoma nao, tofauti hamna!

Watz wanajulikana na wakenya kwa ustaarabu wao, heshima pia na kiswahili chao wanakipenda sana wakenya wa bara. Wakenya hawana issue na watz.Hata hivyo kama walivyo wakenya,sanasana kwenye biashara.

Kila kitu kinafanywa kwa haraka na bila ukarimu wowote.Kwahivyo wakenya wengi huona watz kama wavivu na wasopenda kujituma.Mwanabiashara wa Kenya hata ukiagiza kitu kutoka kwake na maneno makali kama 'nipe kilo moja ya sukari' au hata 'leta mkate haraka!'haitakuwa ishu kwake.Kwake itakuwa kama lugha ya biashara tu!Hivo hivo kama mtz ukisema 'naomba bia mbili', huku Kenya na pesa ni zako!

Wakenya vichwani mwao watakuwa wanajiuliza huyu ni zuzu nini?Waganda huku Kenya hawakubaliwi kabisa kujitambulisha kama wageni.Kwa wakenya wengi,mganda ni kama mkenya anayeishi nchi nyingine!

Wanyarwanda itakuwa ngumu kwa mkenya kumwelewa vizuri kwani hatupakani nao.Wakenya wengi kuwaona wanyarwanda kama wenye ufahamu mwingi sana kwenye taaluma zao na kielimu pia.

Warundi hatujui kabisa kama wakenya!
 
mimi kama mtanzania wanyarwanda nawaona kama watanzania wenzangu tu hasa ukizingatia mkulu anawazimia kishenzi naona tu kama rwanda ni sehemu ya iliyokuwa Tanganyika tukufu!

Rwanda na Burundi zilikuwa sehemu ya Tanzania tunaweza kuzirejesha hasa kipindi hiki ambacho wamebanana sana hawana sehemu za kulima hadi wanavamia Congo DRC.
 
Mbona lalamishi zote ni dhidi ya wakenya? Hivi ukenya au wakenya ni tishio ? Vipi majirani wa karibu(waliopkana karibu) kv watu wa taveta/holili au watu wa busia ya KE/UG ? Au wasomali wa KE/SO? Kwa hawa vikundi vya majirani wa karibu, wanajiona tofauti licha ya utaifa wao? Jibu tafadhali, nitaendelea.
 
Mbona lalamishi zote ni dhidi ya wakenya? Hivi ukenya au wakenya ni tishio ? Vipi majirani wa karibu(waliopkana karibu) kv watu wa taveta/holili au watu wa busia ya KE/UG ? Au wasomali wa KE/SO? Kwa hawa vikundi vya majirani wa karibu, wanajiona tofauti licha ya utaifa wao? Jibu tafadhali, nitaendelea.
upo utofauti mimi Kama Mkenya ambaye anapakana na Na tanzania kuna jamii yangu watz mkoa wa wa Mara na ni kabila moja na kiswahili chetu na tz Kama wakuria hakina tofauti kubwa-refer Senator Machage- ila ninapo watembelea huko kwao sijui kwa nini wao huniona tafauti kabisa hata kijijini mtu akiskia wwe ni mkenya anataka ajitambulishe nawewe kama ni hadhi fulani na wanapo kuja huku pia sisi huwachukulia ki kawaida ila huzimia jinsi wanaongea kiswahili ustaarabu ndio maana utapata wakenya wengi huenda kujistarehesha isibania upande wa tz.wana mabinti wazuri pia na hulka za "naomba kukuhudumia" waenya huhusudu maana huku hio haipo
 
Wakenya na Waganda washerekea siku ya Uhuru wa Uganda pale club ignition westlands, Nairobi

ons
IMG_2729.jpg









































 
upo utofauti mimi Kama Mkenya ambaye anapakana na Na tanzania kuna jamii yangu watz mkoa wa wa Mara na ni kabila moja na kiswahili chetu na tz Kama wakuria hakina tofauti kubwa-refer Senator Machage- ila ninapo watembelea huko kwao sijui kwa nini wao huniona tafauti kabisa hata kijijini mtu akiskia wwe ni mkenya anataka ajitambulishe nawewe kama ni hadhi fulani na wanapo kuja huku pia sisi huwachukulia ki kawaida ila huzimia jinsi wanaongea kiswahili ustaarabu ndio maana utapata wakenya wengi huenda kujistarehesha isibania upande wa tz.wana mabinti wazuri pia na hulka za "naomba kukuhudumia" waenya huhusudu maana huku hio haipo
Nimesikia hili kutoka wakurya na wajaluo ambao wanapatikana nchi zote mbili. Naona kwa jibu lako kuwa ukenya wako unazua hisia hata miongoni wa majamaa zako wa karibu.
Lakini kwa ujumla nimeona jinsi tunavyojituma kazini ni tofauti sana baina yetu. Waajiri wengi sana wana penda wakenya kwa umakini na ustadi wao ukilinganisha na majirani. Mfano: mwaka 2009 nilipoenda Uganda kwa ziara za kazi, nilikutana na muajiri mmoja wa ujenzi amabaye kamwe hakutaka mafundi wa huko kisa wana visingizio vya kila siku. Aliwaajiri wakenya tupu toka secretary hadi seremala.
 
i am a Kenyan living and working in Uganda. Ugandan's opinion on Kenyans is that we are rude (i guess they mean arrogant) but positively reckon that we are very hardworking. They generally admire kenyans; the government, our politics, our democracy. Most of them would like to travel to Nairobi some day and enjoy the infrastructural beauty and development in Nairobi. They think of us as their brothers who got separated by an imaginary colonial boundary. Those who've not traveled think everyone from Kenya is either Chikuyu or Jaluo lol!. They say we don't eat and we love work too much. They see us as way ahead in matters development and trade.
What Kenyans here think of Ugandans from first hand experience; they are generally lazy and lethargic. They work as though they don't need the job, there is no urgency in the stuff they do (PS not all Ugandans are this way btw). Their customer care skills are at 1 on a scale of 1 to 10 where one represents the poorest and 10 is the best in this regard). They love food, lunch time is lunch time and not time for anything else. Their education system is a joke. They have beautiful dark women who know how to dress to impress (trousers and jeans hipsters are not a very common thing here. They mostly wear dresses and skirts - short ones.)
 
Mimi kama Mkenya niliye Tanzania nimemuoa Mtanzania huwa na wakati mgumu ninapoenda nyumbani, ndugu na marafiki hutamani niende na familia yangu. Wao hupenda WaTz, tofauti na vita vya hapa JF hujaribu kuwaaminisha wengi. Wakenya huwaona/huwachukulia WaTz kuwa ni watu wastaarabu, wakarimu, wapole, wenye heshima zaidi ya yote Kiswahili chao kinapendwa sana. Ila sasa,sisi huona Watanzania ni watu wa kujivuta saaaaaaaana. Nawasilisha.
 
Chuki za kipumba kando,ntatoa maoni yangu kama Mkenya,ni maoni tu kumbuka,tafadhali!Nina rafiki wengi watz,tulosoma nao.Cha kushangaza ni kuwa wanavowaona watz,wakenya yaani,ambao hawajamjua mtz yeyote moja kwa moja na mtazamo wangu mimi niliyesoma nao,tofauti hamna!Watz wanajulikana na wakenya kwa ustaarabu wao,heshima pia na kiswahili chao wanakipenda sana wakenya wa bara.Wakenya hawana issue na watz.Hata hivyo kama walivyo wakenya,sanasana kwenye biashara.Kila kitu kinafanywa kwa haraka na bila ukarimu wowote.Kwahivyo wakenya wengi huona watz kama wavivu na wasopenda kujituma.Mwanabiashara wa Kenya hata ukiagiza kitu kutoka kwake na maneno makali kama 'nipe kilo moja ya sukari' au hata 'leta mkate haraka!'haitakuwa ishu kwake.Kwake itakuwa kama lugha ya biashara tu!Hivo hivo kama mtz ukisema 'naomba bia mbili',huku Kenya na pesa ni zako!Wakenya vichwani mwao watakuwa wanajiuliza huyu ni zuzu nini?Waganda huku Kenya hawakubaliwi kabisa kujitambulisha kama wageni.Kwa wakenya wengi,mganda ni kama mkenya anayeishi nchi nyingine!Wanyarwanda itakuwa ngumu kwa mkenya kumwelewa vizuri kwani hatupakani nao.Wakenya wengi kuwaona wanyarwanda kama wenye ufahamu mwingi sana kwenye taaluma zao na kielimu pia.Warundi hatujui kabisa kama wakenya!
Mimi kama mtz,hayo uliosema ni kweli kabisa,maana mm nmekulia huko Kenya na kusomea huko,pia, wakenya wana tabia ya kufungua biashara asubuhi sana,japo sijui na maofisini kama ni hivyo pia.
 
Back
Top Bottom