Namna wa Kenya, Uganda, Rwanda na Watanzania wanavyochukuliana

wakenya kwa majungu hawajambo, mtz mwenzetu kasingiziwa eti kabaka huko iten kenya, habari kamili hii hapa.......>>>>>>>>>

Kenya: Tanzanian is Held Over Rape
Tagged:



By Mathews Ndanyi
A Tanzanian athlete has been arrested for allegedly raping a 15-year-old pupil.
The 28-year-old was arrested in Morioria village near Iten town.
"The girl was playing at about 8pm when the man lured her" to his house behind Keelu Resort and raped her, area police boss Fred Ochieng said.
He said parents should ensure their children's safety.
star.co.ke
 
Kwangu mie wanyarwanda na warundi ni taifa moja. Kuwabainisha ngumu sana ila wao wenyewe wanaijuana kilafudhi labda. Wakenya walioko humo Rwanda huniambia ni watu wa kufichaficha hawawezi kuwa na uhusiano ya wazi nawe. Inasemekana wako na hulka ya kutoamini wageni na kuwabagua. Hallo ukiambiwa sio ya kuaminika. Je kweli hili?
 
Quickly
Kuna Mganda tumekutana naye kikazi Bongo, mwanzoni hakujua mimi Mkenya maana aliona jinsi najichanganya na Wabongo halafu pia na lafudhi yangu wakati naongea Kiswahili. Sasa jamaa muda wote alionekana kuwa anataharuki kiaina kila alipokua anaongea na sisi, yeye alitumia Kingereza muda wote.

Sasa baada ya siku kama mbili hivi nikajitambulisha kwake kuwa mimi Mkenya, jamaa akahoji Mkenya wa wapi maana anaijua Kenya. Nilipompa taarifa kamili hadi akaamini kweli mimi Mkenya, jamaa ghafla akachangamka na kuonekana mwenye furaha na kuongea na mimi bila uwoga uwoga wowote. Yaani ikawa tunajiachia tunaongea kuhusu kila kitu hadi mambo ya kiume kama vile kuhusu mademu na mengineyo, yaani kama washkaji wa muda mrefu.

Japo aliondoka siku iliyofuatia kama ilivyokua kwenye ratiba, lakini nilitaka kumuuliza mbona ghafla alionekana kujiamini kihivyo baada ya kujua mimi Mkenya. Kwanini mwanzoni tulikua kama tunaogopana vile, tatizo nini. Hiyo ilidhihirisha tuna undugu wa kiaina na Waganda.
 
Wageni huwa comfortable na wageni wenzao.. they feel they belong outside.
 
it makes sense kwamba mgeni atakua more comftable na mgeni mwenziwe but MK254, alidhani we ni mwenyeji wa Tz so hakukuona wewe kama mgeni huko tz hata alipojua we ni mkenya, imagin kama angegundua we ni mkongo au mghana au mmozambiki, je angegiachilia na wewe awe huru hivyo? hamgekua mnashikana kitabia, atleast not right away, mgechukua muda mkijuana kuhusu nchi zenu na tabia xa ki nchi zenu, lakini wakebya na wa UG hujuana kitabia tayari, kwahivyo hamkupoteza muda kujuana kuhusu tabia au mienendo yenu, mlienda straight kwa u bro
 

Kafrican you are right. Its my second year living and working in Ug and so far i Have made new best friends with a number of Ugandans. I know a few Tanzanians but we are not friends and there has not been any need to make friendship with them (i guess its mostly cause they tend to demand of you to speak their swa, instead of just simply flowing with you as long as there is understanding). so MK254 i know what you mean regarding Ugandans and Kenyans being more easy around each other than any other nationalities in the EA. Ugandans literally consider themselves brothers to Kenyans. on my part, living here feels a lot like home. It's like am in another Kenyan County so to speak hehehe. It's also noteworthy that all the Kenyans i've met here who happen to be more than twenty have married Ugandan women.
So on this front, MAKANJAMNA is not so accurate.
 
Kumbe watz tunaogopwa safisana wasituee sana watakuja kututia vidole vya macho ## adui zako watakuja mbele yako wakitetemeka ## imeandika hiyo
 
Waganda wanaona tanzania na kiswaili cha Tanzania kama jeshi ivyo wanakuwa waoga
 
sasa huyu ametoka wapi angalia kichwa cha mada kisha ueleze jinsi tajriba yako na wageni kutoka EA usianze kuburuza uzi huu
 
Tabia za watanzania tulio wengi ni wavivu sana sana watu wa pwani nikimaanisha morogoro. ,pwani, daresalam, lindi na mtwara.....kaskazini na kanda ya ziwa niwachapakazi wazuri na ndio wakienda pwani huwinn maisha.....tabia kiujumla watanzania ni wakarimu Ila wengiwanawivu kwanini flani kafanikiwa kimaisha kuliko mimi au kimasomo nk. ..bila kuangalia hayo mafanikio kayapata vipi!! Upande wa Kenya nimewahi kufanya nao kazi kidogo ni washap na wabinafsi wazuri tu....ila ukifanikiwa haimuumizi kichwa yeye yuko busy na shughuli zake!! Watz wengi ata waliosoma hadi university ki ngereza hawajui ila wakenya wanakiongea vyema ..... Nawasilisha!!
 
I have schooled with Tanzanians and Ugandans.. Kenyas seems to be at the center point because they can utter both swahili and English. From my experience watanzania hukaa kwa group za Tanzanians and you can't even touch their ladies on the other side Ugandans seems be at ease with Kenyans.
 
Nilikuwa hapo nairobi ambapo seminar yetu ilituunganisha Tz, ke & ug.
Kenyan girls are very confident, na wapo very interested na Tz men,
Yaani hata ukitembea nae tu atakushika kiuno au mkono au bega kwakweli hadi nilikuwa najistukia. May be wanapenda our good presentation.
Na pia watz na wa Kenya kuna mwingiliano sana, yaani binafsi ilinichukua muda mfupi sana kufahamiana na jamaa wa Kenya, tukatandika bia zetu, tukahama kiwanja tukaenda pale carnivore tukatafuna mishkaki ya mamba, wakenya ni wachangamfu sana for sure, unlike Ugandans ambao huwa wanaonekana wanyonge and too innocent..
Honestly sikuona strong chemistry btn Ug and Ke or even Tz,
Whatever nliwaona waganda always wanakaa pamoja, nilijaribu kumzoea mdada mmoja wa ug ila alionekana kuniogopa na hata hakuwa huru kabisa,
Nina marafiki mobu toka Kenya. Washkaji na Mabinti pia, huwa nachati nao kwa simu but sijawahi pata rafiki wa karibu toka ug. Kuna ambao tunakutana Marachache tunapiga tu stories tukikutana physically napo ni story za kusukuma masaa,

Ukiacha hizi vurugu za humu jf,mkenya yupo huru sana kwa mbongo,
Mganda yupo mbali kiaina na mbongo na nilichokiona pia ni kama mganda unakuwa na uoga flani kwa mtz , though I am not sure about ke.

Nafikiri hili linachangiwa na mwingiliano katika mishemishe za maisha,
Ni mkubwa sana kati ya ke na Tz,
Ni hafifu sana kati ya Tz na ug
Au labda pia ni mkubwa kati ya ke & ug

Maoni yangu haya..
 
Binafsi sijawahi kuona tofauti sana kati ya wananchi wa EAC.
Nakumbuka, mwaka wa 2009 tulipanda mlima Kilimanjaro kama part of team building excercise ya kampuni na wafanyakazi wa branches za EA waliwakilishwa. Jamaa walijienjoy sana pale Moshi. Kwa kifupi, kuna watoto wanne waliozaliwa miaka miwili iliyofuata ambao nashuku sana baba zao. Nadhani tuliendeleza mahusiano sana ya EAC pale mlimani. 😀 😀
 
Wakenya wanajiamini kwenye kazi zao sio km sisi watz tunakuwa na kauoga tunapokuwa nafanya kazi zetu,Alafu ni watu wazuri kufanya nao biashara hawanaga longolongo.Wa ug hawatofautiani na waburundi labda tofauti yao ni lugha ila tabia zao zinalandana ni watu wanapenda kujiweka weka nyuma hata kwenye maamuzi.Wanyaru hawatofautiani sana na wakenya/watz na ni watu wanapenda kujichanganya
 
Wakenya nawaona wezi tu. Hawana cha maana zaidi
 
tabia , kuzoeana ama kutokuzoeana kwa nchi hizi hutokana na mipaka husika ya nchi lakini tabia nyingi zinazoorodheshwa humu ni za miji mikubwa ya nchi husika kama kampala , dar ,kigali na nairobi lakini ukienda katika jamii mbalimbali utaelewa kuwa utofauti wa EAC ni mdogo sana kijamii ........................

ukifika kagera utajua kuwa watu hawa wapo karibu na waganda kwa kuwa wanashabihiana kitamaduni kuliko hata watanzania wenzao ila katika jamii hii huwa hawawaamini wanyarwanda ( typically watutsi ), wanakagera shopping zao nyingi hufanyia kampala kuliko hata dar...

ukifika tanga ,hawa na mombasa ni pua na mdomo na hata tabia yao ya kuwa slow hurandana sana hivyo ,waweza kusema hawa ni ndugu.... ukifika mkoa wa mara ni hadithi za kisumu na pia arusha ni za nairobi hadi waweza kudhani ni jamii moja..

ukifika mombasa na dar ni miji dada kitabia ( mambo ya pwani) ... nairobi ,kilimanjaro na arusha pia.... bukoba na kampala ndo kabisaaa

ila kwangu mimi mkenya ni jirani yangu zaidi kwa kuwa nina muingiliano nao sana ila waganda ni watu poa pia ila hofu yao kwa watz ni kiswahili tu
 
Kwani ug kiswahili hakipandi kama ke au ndio kujiendekeza!!
 
Maana ukitaka kumfrahisha mtz wewe ongea kisw tu kingereza weka pembeni.....most of us we're not fluent to English and it's simply because we started learning it late at secondary school so coping will definetly takes time ,but we are trying so that we can communicate. ...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…