Ghost MVP
JF-Expert Member
- May 19, 2022
- 439
- 736
Usifate maelekezo Kutoka kwa Watoa huduma 'FAKE'
Njia kubwa wanayoitumia Kwa sasa ni hii Mdukuzi hukutafuta kama Mtoa Huduma kutoka katika Kitengo cha huduma kama instagram, facebook na mitandao mengine ya kijamii, wakikutaka Uthibitishe Taarifa zako ili 'Account' yako isifungiwe.
Watakupatia Link ambayo sio rasmi, na Bila kujua ukajaza Taarifa zako kwa usahihi na kusakinisha, watakuambia Umekosea password lakini wakati huohuo wanakuwa wamepata Taarifa hizo.
Huzitumia Kuingia katika 'Account' yako hiyo na kubadilisha taarifa zote, wengi baada ya hivyo hujikuta wamepoteza Account zao bila kujua na hulalamika mtu amedukua Account zao.
Njia kubwa wanayoitumia Kwa sasa ni hii Mdukuzi hukutafuta kama Mtoa Huduma kutoka katika Kitengo cha huduma kama instagram, facebook na mitandao mengine ya kijamii, wakikutaka Uthibitishe Taarifa zako ili 'Account' yako isifungiwe.
Watakupatia Link ambayo sio rasmi, na Bila kujua ukajaza Taarifa zako kwa usahihi na kusakinisha, watakuambia Umekosea password lakini wakati huohuo wanakuwa wamepata Taarifa hizo.
Huzitumia Kuingia katika 'Account' yako hiyo na kubadilisha taarifa zote, wengi baada ya hivyo hujikuta wamepoteza Account zao bila kujua na hulalamika mtu amedukua Account zao.