Mtakua wajinga sana kama mnajilipua mabomu mkitaja mudi na huyo allah halafu mnajitetea kwamba mzungu kawatuma. Mabwana zenu waarabu wanalipuana kijinga kisa dini na miafrika mnafuata.
Hv Unaelewa wewe???
Nimeamini WAKENYA mnajisifia mna akili kumbe hamuna akili.
Umemsikia Hillary Clinton ??
Anakwambia we are fighting the problem which we created.
Una uwazimu kweli ww.
Definitions of terrorism. ... In general, terrorism is classified as: the use of violence or of the threat of violence in the pursuit of political, religious, ideological or social objectives. acts committed by non-state actors (or by undercover personnel serving on the behalf of their respective governments)
Umeona hyo concept ???
Nilikwambia kamsome Mr.Fuller anayekwambia Imperialists use religious pursuits for geopolitical reasons.
Nimekwambia kamsome huyo jamaa na nikakutajia kitabu chake "world without islam".
Ila kutokana na kuwa unajikuta mjuaji ilhali huna ulijualo unazidi kuropoka ujinga.
Kwa hiyo video tu inamaanisha kuwa wanaofanya maangamiz hawahusiani na mafundisho ya kiislam.
Wao wanakuwa brain washed muslims na wanatumiwa for geopolitical interest of Imperialists.
Labda nikuulize,mapadri waliolawiti watoto kwan wametumwa wale na kanisa???
Anglican churches zinazofungisha ndoa za homosexuality huko UK kwan wale wametumwa na Jesus kufanya vile???
Jibu laaa wale wanafanya kwa hurka na utashi wao ila injili haifundishi vile.
Ndio sawa na hao wanaojilipua wanafanya kwa their own interests HAIHUSIAN na mafundisho ya uislam.
UKAE UKAJUA.
NAHISI HATA HILLARY CLINTON HUKUMUELEWA MAANA MNAJUA KUKARIRI KULIKO KUELEWA.
Imperialists wanatumia dini YETU kwa jina vbaya ili kupata interests zao.
Iangalie na msikilize tena huyo Hillary.