joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,617
It is the same in most countries, but all those are put under one religion as "Christian ", likewise Muslims have many sub- groups, but are not identified as different division.Have you even read the follow up comment, I have made on diversity in Christianity itself in Kenya?
Kaka acha kutumia data za zamani, lete data za 2017/2018 uone zilivyo, wakati Kenya wanaporomoka katika kila eneo, Tanzania inapanda kwa kasi sana. Uchumi upi huo unaozungumzia wakati, Agriculture, Manufacturing, Tourism, and transport sectors zote Tanzania inakua kuliko Kenya?.Sasa,hapo umekosea:
Sahihi ni hii hapa:
Tanzania ina haya yafuatayo:
1)Katiba mbovu kabisa
2)Elimu mbovu kabisa
3)Uchumi mdogo kabisa
Halafu jumlisha hiyo namba 1-11 ulizosema zipo Kenya!
Mkuu the bottomline is that,human development index kwa kila major statistical categories Kenya is better off!
Mkuu tufanye kazi tujikwamue acha ushambenga!
Wewe ni laghai mkubwa sana. Acha kujiliwaza. Hamna sekta hata moja ambayo mnafanya vizuri zaidi ya Kenya. Labda uchawi, uzembe, udikteta ufukara n.k.Kaka acha kutumia data za zamani, lete data za 2017/2018 uone zilivyo, wakati Kenya wanaporomoka katika kila eneo, Tanzania inapanda kwa kasi sana. Uchumi upi huo unaozungumzia wakati, Agriculture, Manufacturing, Tourism, and transport sectors zote Tanzania inakua kuliko Kenya?.
Huduma za Afya za serikali Tanzania iko juu na upatikanaji wa maji safi, umeme na Barbara mikoani tumewazidi tena kwa mbali sana. Hivi Taifa ambalo hata kujilisha lenyewe ni shida, ambalo ndio jambo kuu la msingi kwa UTU na maisha ya binadamu, utawezaje kusema lina maendeleo?
Wewe ni laghai mkubwa sana. Acha kujiliwaza. Hamna sekta hata moja ambayo mnafanya vizuri zaidi ya Kenya. Labda uchawi, uzembe, udikteta ufukara n.k.
Mwaka jana mapato ya utalii Kenya yalikuwa $7.2 B ya tz $2.5B
Kila kaunti Kenya ina referral hospital
Kenya has the best education system
Higher life expectancy
HDI
Best universities n.k
Leta evidence km Mungu hayupo...
Na pia km hujaleta hyo evidence.....niambie mlijuaje km hilo jina Mungu mwenyewe hayupo mpka mkaamua kumpinga
Psa 14:1 The fool hath said in his heart, [There is] no God. They are corrupt, they have done abominable works, [there is] none that doeth good.Ni jina la kufikirika,lipo around kwa milenia!
Ni jina kama jina zimwi,ni forklore!
Ni jina la kufikirika,lipo around kwa milenia!
Ni jina kama jina zimwi,ni forklore!
Psa 14:1 The fool hath said in his heart, [There is] no God. They are corrupt, they have done abominable works, [there is] none that doeth good.
Hv Unaelewa wewe???Mtakua wajinga sana kama mnajilipua mabomu mkitaja mudi na huyo allah halafu mnajitetea kwamba mzungu kawatuma. Mabwana zenu waarabu wanalipuana kijinga kisa dini na miafrika mnafuata.
Psa 14:1 The fool hath said in his heart, [There is] no God. They are corrupt, they have done abominable works, [there is] none that doeth good.
Wanadanganyika kirahisi sana kama Watz.Ni siku chache zimepita tangu wakenya waishangaze Dunia, Baada ya takribani robo ya jiji la Nairobi kusimama wakimsujudu Mzungu mmoja wakiamini ni Yesu [emoji16] kumbe ni mafia mmoja kutoka Italia aliyekuja kuwapiga hela.
Tazama mwenyewe
.
My take : Wakenya, Sio kila mzungu ni masiah wengine ni wapiga dili tu.
Hahaha what an incorrigible guy!Jeni
Naona umeni-quote maneno kutoka kwenye kitabu walichoandika wapumbavu kadhaa wa Kiyahudi wa miaka hiyo!
Hao Wayahudi ni wapumbavu na wakoswa akili kama ulivyo wewe na mimi!
Kibaya zaidi,waliandika kwa kutumia bongo zao mbovu halafu wakadanganya wanadamu wenzao eti Mungu ndio aliandika kupitia wao!
Wapumbavu wale wazee!
Kibaya zaidi ni nyie wanadamu wa sasa mnaamini eti ni kweli Mungu aliandika which is nonsense kwa very superior being supposedly kua author of books!
Kwanini hakuweza kutengeneza video documentary?Maana ni mojawapo wa fasihi!
Mushindwe kabisa na mnyong’onyeee!
Hv Unaelewa wewe???
Nimeamini WAKENYA mnajisifia mna akili kumbe hamuna akili.
Umemsikia Hillary Clinton ??
Anakwambia we are fighting the problem which we created.
Una uwazimu kweli ww.
Definitions of terrorism. ... In general, terrorism is classified as: the use of violence or of the threat of violence in the pursuit of political, religious, ideological or social objectives. acts committed by non-state actors (or by undercover personnel serving on the behalf of their respective governments)
Umeona hyo concept ???
Nilikwambia kamsome Mr.Fuller anayekwambia Imperialists use religious pursuits for geopolitical reasons.
Nimekwambia kamsome huyo jamaa na nikakutajia kitabu chake "world without islam".
Ila kutokana na kuwa unajikuta mjuaji ilhali huna ulijualo unazidi kuropoka ujinga.
Kwa hiyo video tu inamaanisha kuwa wanaofanya maangamiz hawahusiani na mafundisho ya kiislam.
Wao wanakuwa brain washed muslims na wanatumiwa for geopolitical interest of Imperialists.
Labda nikuulize,mapadri waliolawiti watoto kwan wametumwa wale na kanisa???
Anglican churches zinazofungisha ndoa za homosexuality huko UK kwan wale wametumwa na Jesus kufanya vile???
Jibu laaa wale wanafanya kwa hurka na utashi wao ila injili haifundishi vile.
Ndio sawa na hao wanaojilipua wanafanya kwa their own interests HAIHUSIAN na mafundisho ya uislam.
UKAE UKAJUA.
NAHISI HATA HILLARY CLINTON HUKUMUELEWA MAANA MNAJUA KUKARIRI KULIKO KUELEWA.
Imperialists wanatumia dini YETU kwa jina vbaya ili kupata interests zao.
Iangalie na msikilize tena huyo Hillary.
Ohooo kumbe unalazimisha ujinga ulioko kichwani kwaakoooo???!!!Kwa hili nitakesha nawe mpaka basi, hizi insha hata sizisomi, utaziandika hadi ujaze server za watu lakini sikuachi hadi upate elimu kwamba huna jeuri ya kukejeli wengine kwenye dini zao wakati hata nawe ni kituko, huyo unayemuabudu na kusheherekea ukiona ndugu zako wanachinja watu kwa imani yake hamna uhakika kwamba ndiye wa kweli maana hujamuona, ulikuta wazazi wako wakimuabudu.
Hivyo tabia za kuchinja watu mkiwalazimisha wamuabudu lazima muache.
Usilazimishe mtu aabudu unachokiabudu, wewe vaa mikanzu yako na kulea mindevu hakuna mtu atakuhoji wala kukucheka kwa jinsi unaonekana kituko, lakini ukianza kukata watu vichwa eti waabudu huyo mudi wako ndio lazima ukumbane na vurugu, dunia mabomu na uchinjaji kila mahali kwenye nchi zote mlipo....sijui huwa mnahubiriana chuki kivipi halafu mnadiriki kucheka wengine kwenye dini zao.Ohooo kumbe unalazimisha ujinga ulioko kichwani kwaakoooo???!!!
Bas kumbe nishajua kuwa nabishana na stupid person claiming to know while he knows nothing and he doesn't want to learn.
Basi kaa na ujinga wako.
Nilidhan ninaongea na mtu anayejitambua kumbe kwa utashi wako ndio wasema hayo ???
OK endelea
Maana kuna uislam na muislam.
Uislam haujanifundisha kulazimisha mtu aamin din yangu.
Labda kuna waislam wanalazimisha.
Asa usimsikilize muislam anafanya nn angalia uislam unasema nn.
Anyway kaa na ujinga wako kichwan sina muda wa kubishana.
BYE BYE
Hahaha what an incorrigible guy!
I told you to provide the proof of God inexistence bado unatapatapa.
Mimi nasema kwamba Mungu yupo kwa sababu najua yupo. Je,wewe unasema hayupo kwa sababu gani?
Psa 14:1 The fool hath said in his heart, [There is] no God. They are corrupt, they have done abominable works, [there is] none that doeth good.