JUAN MANUEL
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 7,808
- 16,972
Mkuu Eliakeem
You are better than this!
Wewe ni mtu mzima na on top of that ni mtu wa miaka mingi sana humu JF!
That aside,nilichokisema kua nchi ni prison ni my honest opinion kutokana navyoona mimi mwenyewe na jamii yangu inayonizunguka inavyoteseka.
Wewe pia una opinion yako binafsi sihitaji your opinion on how to make my own opinion!
You gotta relax!
Wewe ni laghai mkubwa sana. Acha kujiliwaza. Hamna sekta hata moja ambayo mnafanya vizuri zaidi ya Kenya. Labda uchawi, uzembe, udikteta ufukara n.k.
Mwaka jana mapato ya utalii Kenya yalikuwa $7.2 B ya tz $2.5B
Kila kaunti Kenya ina referral hospital
Kenya has the best education system
Higher life expectancy
HDI
Best universities n.k
Umetoa maelezo mengi sana. Lkn bado mambo ambayo hujayaweka wazi.
Mosi, ni msingi wa maoni yako, kwamba nchi ya Tanzania ni gereza.
Pili, kama jamii inayokuzunguka ina ukubwa kiasi gani, hivi kwamba maoni yake yatumike kuwakilisha maoni ya wananchi wote, toka kusini mpaka kaskazini; mashariki mpaka magharibi ya nchi.
Nawasilisha.
Eli.
Hahaha what an incorrigible guy!
I told you to provide the proof of God inexistence bado unatapatapa.
Mimi nasema kwamba Mungu yupo kwa sababu najua yupo. Je,wewe unasema hayupo kwa sababu gani?
KUMBE WE MJINGA EEEH???Usilazimishe mtu aabudu unachokiabudu, wewe vaa mikanzu yako na kulea mindevu hakuna mtu atakuhoji wala kukucheka kwa jinsi unaonekana kituko, lakini ukianza kukata watu vichwa eti waabudu huyo mudi wako ndio lazima ukumbane na vurugu, dunia mabomu na uchinjaji kila mahali kwenye nchi zote mlipo....sijui huwa mnahubiriana chuki kivipi halafu mnadiriki kucheka wengine kwenye dini zao.
Eliakeem
Msingi wa hoja yangu ni kua kwangu mimi binafsi na watu wangu wanaonizunguka ambao hawazidi 25 Tanzania ni gereza!
Nina haki ya kujiongelea mimi mwenyewe na hawa watu wangu maana nipo nao kila siku na tunajijua tunapata shida gani!
Siwezi kukuzungumzia wewe au mwingine yeyote!Wewe kwako nchi ni paradiso,which is very okay!
Mimi pamoja na wenzangu ni sample space ndogo sana ya wananchi wote 50mil!
Na wewe pia na wenzako kadhaa ni sample space ndogo sana tukifananisha na wanachi wote 50mil!
Hivyo mimi na wewe na yule wote hatuna uwezo wa kuzungumzia wananchi wote 50mil kwa lolote kuhusu hili!
Ishu ingekua tofauti kama kungekua na independent research done on this by a credible non-bias entity.
Au tukisema kwa pamoja mimi na wewe tuchukue furaha ya wananchi (Happyness Index) kama kigezo,basi takwimu za juzi zilizoiweka Tanzania mkiani kabisa tukubadiliane nazo?Au huziamini wala huzitaki?
Basi cha msingi tubakie na maoni yetu binafsi kibinafsi yetu!
Lol.. Kweli kaka. Wyatt Mathewson is just confused. Mara atukane Mungu, mara aseme hayupo.Hapo mtakesha mpaka jua lingine lichomoze.
Watu wanaopinga uwepo wa Mungu, sikuzote wamekuwa wakijielekeza kukosoa na kupinga ithibati ya kuwa Mungu yupo. Badala ya kujielekeza kwenye uthibitisho wa kuwa Mungu hayupo.
Siku zote hawatoi uthibitisho wa kutokuwepo kwa Mungu. Kibaya zaidi hawana usadikisho. Hivyo hawawezi kutoa.
Lol.. Kweli kaka. Wyatt Mathewson is just confused. Mara atukane Mungu, mara aseme hayupo.
Wanasayansi wengi wamethibitisha kwamba Mungu yupo. Atheists, free thinkers agnostics ...wanaishujudu sayansi sana. Little do they know sayansi ni njia mojawapo Mungu hujiREVEAL kwa wanadamu
Hehehe umeamka, nipo tayari tukeshe tena ila sikuachi hadi pale utaheshimu uhuru wa wengine kuabudu, sio lazima wote wavae mikanzu na kulea ndevu, hayo ya kulazimisha kwa kukata watu vichwa ni ujinga uliokubuhu.KUMBE WE MJINGA EEEH???
HUJUI HALAFU UNALAZIMISHA MAMBO UNA AKILI KWELI WW???
SI NIMEKUPA MAELEZO PALE HAO WANAOJIUA HAWAHUSIANI NA UISLAM???
NIMEKUPA JINA LA KITABU KINAITWA "WORLD WITHOUT ISLAM" CHA MR.FULLER UKASOME KIKUTOE UJINGA ULIOMEZESHWA UNAKATAA UNASEMA HUSOMI INSHA.
SASA WW UNABISHANA NINI???
UMESOMA WW ???
UNAELEWA MAANA YA ELIMU NA UJINGA ???
YANI UNAPEWA KITU KIKUTOE UJINGA UNAKIPINGA UNALAZIMISHA UJINGA ULE ULE UNA AKILI TIMAMU WEWE????
SIWEZ KUENDELEA JU QUOTE MTU KAMA WW.
NILIDHANI WAKENYA NI WATU WA KULUMBANA KWA HOJA KUMBE HAWANA AKILI MTU ANALAZIMISHA UJINGA!!!!!!
EMBU ACHANA NA MM UKITAKA KASOME KITABU CHA MR.FULLER USIPOTAKA KAA NA UJINGA WAKO NA USINISUMBUE.
MAANA NILIDHAN UNA AKILI TIMAMU KUMBE MJINGA KABBISA.
MSOMI HURUMBANA KWA HOJA SIO KWA UTASHI USIOKUWA NA MANTIKI KAM UFANYAVYO WW.
Aha haaa
A law of negation of the negation.
Siku zote binadamu lazima wapingane.
Nyie 26 ni tone la maji baharini. Hivyo opinion yako unayoitoa ni vyema ukasema kwa mujibu wa Sisi 26, ili kusudi watu wasije wakapotoshwa kwa kudhani ni nchi nzima, kumbe ni nyie 26.
Ile happiness index, niliwahi wahoji waandaaji mpaka Leo hii hawajawahi nijibu. Nilishangazwa Syria, Somalia, etc wawe happier than Tanzania. Pia nchi zingine ziko juu kwenye happiness, lkn life expectancy iko chini. Nili pose kama 7 questions. Walistakabadhi kupokea maswali na kusema watajibu, lkn kimya.
Kumbe wewe naanza kukufikiria kukuweka kwenye kundi la watu wa kupuuzwa kama mwasit.
Nimejizungumzia mimi na wenzangu,sio wananchi wote kama wewe unavyojizungumzia!
Sisi 26 ni tone,na wewe pia na wenzako ni tone,hivyo wote hatuna mandate hapa!
Ila wewe unajitutumua mtazamo wako ndio sahihi na universal!
Kusema uliwauliza maswali halafu huyaweki hapa,tutajuaje ni uongo?
Ungeyaweka hapa ili na sisi tupime kwa akili zetu,huenda hata yalikua haya-make sense walao ku-warrant majibu toka kwao!
Pia huwezi bisha utafiti wao kienyeji tu!Unabisha kwa utafiti counter ya wao!
Huwezi kaa kwenye desk lako unapinga ni waongo huku huna utafiti pingishi!
shukrani mzee inatakiwa kila muafrika ajue mzizi wake duniani pata chimbika hapa afrika ndio asili yetu watu walichoma document zote na vitabu vyote kuhusu afrika ili watutawale maana hatujui uhalisia wetu hatujui sisi ni wakina nani hatuna hata wazo hilo tupo tuuNakubaliana na wewe kabisa hapo braza.
Nyie hamuabudu miungu za kizungu Bali mnamuabudu mzunguNdio tupo hivyo Afrika, inabidi tuabudu miungu ya kizungu hadi siku ukweli utabainika yupi ndio wa kweli, Tanzania kwa sasa nafikiri waislamu wamewazidi Wakristo, hivyo nyie kidogo mnamuabudu mungu wa kiarabu. Hivyo hatuchekani, kuna wameweka sanamu za mzungu kwenye makanisa na kuziabudu.
Kwa kifupi tusubiri siku za kiama tutajua yupi alikua wa kweli, hufai kuwacheka hao waliomuabudu aliyekuja maana na wewe huyo mohammed wako wa kiarabu hatujui kama ndiye wa kweli, uliletewa tu.
Nyie hamuabudu miungu za kizungu Bali mnamuabudu mzungu
Ingekuwa kwetu ungeongelea ata sehemu ya w.product kuu.mengine unafunika kombeNdio tupo hivyo Afrika, inabidi tuabudu miungu ya kizungu hadi siku ukweli utabainika yupi ndio wa kweli, Tanzania kwa sasa nafikiri waislamu wamewazidi Wakristo, hivyo nyie kidogo mnamuabudu mungu wa kiarabu. Hivyo hatuchekani, kuna wameweka sanamu za mzungu kwenye makanisa na kuziabudu.
Kwa kifupi tusubiri siku za kiama tutajua yupi alikua wa kweli, hufai kuwacheka hao waliomuabudu aliyekuja maana na wewe huyo mohammed wako wa kiarabu hatujui kama ndiye wa kweli, uliletewa tu.