Namna wanavyokokotoa possesion (kumiliki mpira), nashauri waigawe ktk vipande vitatu ntatumia MAMELOD VS YANGA kama case study

Namna wanavyokokotoa possesion (kumiliki mpira), nashauri waigawe ktk vipande vitatu ntatumia MAMELOD VS YANGA kama case study

OMOYOGWANE

JF-Expert Member
Joined
Dec 30, 2016
Posts
4,701
Reaction score
11,920
Mamelod 69% YANGA 31%..... Je umewahi kujiuliza hizi possesion hupatikanaje? Ipo hivi kinacho angaliwa ni muda wa kumiliki mpira kwa timu husika ndani ya dakika flani mfano dakika 30, 45 au 90. kinachofanyika unaanza kuhesabu sekunde timu ikiwa na mpira mfano MAMELOD kipa wiliams kampasia mudau, mudau kampasia kekana, kekana kampasia kipa wiliams, wiliams kampasia tena mudau, mudau kapiga pasi mbele inazuiwa na mpira unachukuliwa na mudathir wa YANGA, unahesabu sekunde walizo kaa na mpira mguuni mamelodi yaani ktk kupasiana mfano ndani ya dakika 45 wamekaa na mpira dakika 40. Unachukua 40/45 × 100 = 88.9% kwahiyo kipindi cha kwanza mamelod ubao utasoma possesion ya 88.9% yanga 11.1%. . Hapo haijalishi mamelod amemiliki mpira akiwa kwenye boksi lake katikati au kwenye kumi na nane za yanga ubao utasoma hivyo hivyo 88.9% haijalishi wiliams katumia muda gani kupasiana na mabeki wake huku mpira ukiwa haufiki kwenye lango la mpinzani (YANGA). INAENDELEA
 
Kwanini nashauri possesion zivunjwe vipande vitatu? Sababu ni kwamba kwa mtu asiye angalia mpira akaangalia possetion tu na matokeo ya mchezo possesion zinaweza kumdanganya kuwa timu yenye possesion ndogo ilikuwa inashambuliwa sana, hivyo basi nashauri kwenye TOTAL POSSESION kuwe na BACK POSSESION, MID POSSESION na FORWARD POSSESION kwa kila timu. itakuwa hivi MAMELOD TOTAL POSSESION=BACK POSSESION + MID POSSESION + FOWARD POSSESION. ... INAENDELEA
 
Hii itasaidia kufanya analysis vizuri. Mfano possesion za jana za mamelod zilikuwa ni back na mid possesion kwa asilimia kubwa ndio maana hamkumuona shalulile, allende, mokoena wala mudau wakifurukuta kwenye goli la yanga
 
Kwa ule mpira wa jana kati ya Yanga na Mamelodi; hiyo ball possession ilikuwa ni kazi bure. Mbinu na ufundi mkubwa kwa timu zote mbili ndiyo ilikuwa habari ya mjini.
possesion ukizigawa mara tatu zinakupa picha ni wapi pako imara na timu inatumia mbinu gani, mfano mechi ijayo mamelod watalazimika kutumia mipira ya juu ili kupata matokeo ko possesion itabadirika wanaweza wakafungika
 
Umeongea kama mtu wa mpira haswa. Simba ndio kichaka chao wanachojifuchia mechi ya jana. Kwa kukosenaka key players kwa upande wa Yanga ilibidi iwe vile walau ipatikane sare tasa ambayo kama itaensa kuzaa sare ya magoli ni faida kwa yanga. Lakini pia makolo wakikumbuka wao waliongoza possession na wakakandwa....wanajificha chap kwenye shina la mchicha.
 
Aisee.....

Nimeangalia passes....

Mamelod 567

Yanga 215

Imesikitisha Sana

Kusaidia hapo... Gamondi aende kusoma ku upgrade tena Ile leseni yake imepitwa na Wakati
 
nyie Yanga mbumbukweli kwahio hizopasi walizokua wanapiga nyuma kwanini wale waviziaji wenu wasiende kutibua Ili mpira upigwe mbele?

walikua wanacheza nyuma Sababu michezaji yenu ilikua inaogopa kupanda mbele🤣
 
Aisee.....

Nimeangalia passes....

Mamelod 567

Yanga 215

Imesikitisha Sana

Kusaidia hapo... Gamondi aende kusoma ku upgrade tena Ile leseni yake imepitwa na Wakati
twende taratibu hizo pass zote asilimia kubwa ni zile wanapasiana na kipa kipa anapiga kwa beki beki anarudisha kati wa katikati anamrudishia kipa yaani mi pass mingiii alafu mpaka first half inaisha hawana goal attempt wala shoot on target wabongo mnaita back pass
 
Mamelod 69% YANGA 31%..... Je umewahi kujiuliza hizi possesion hupatikanaje? Ipo hivi kinacho angaliwa ni muda wa kumiliki mpira kwa timu husika ndani ya dakika flani mfano dakika 30, 45 au 90. kinachofanyika unaanza kuhesabu sekunde timu ikiwa na mpira mfano MAMELOD kipa wiliams kampasia mudau, mudau kampasia kekana, kekana kampasia kipa wiliams, wiliams kampasia tena mudau, mudau kapiga pasi mbele inazuiwa na mpira unachukuliwa na mudathir wa YANGA, unahesabu sekunde walizo kaa na mpira mguuni mamelodi yaani ktk kupasiana mfano ndani ya dakika 45 wamekaa na mpira dakika 40. Unachukua 40/45 × 100 = 88.9% kwahiyo kipindi cha kwanza mamelod ubao utasoma possesion ya 88.9% yanga 11.1%. . Hapo haijalishi mamelod amemiliki mpira akiwa kwenye boksi lake katikati au kwenye kumi na nane za yanga ubao utasoma hivyo hivyo 88.9% haijalishi wiliams katumia muda gani kupasiana na mabeki wake huku mpira ukiwa haufiki kwenye lango la mpinzani (YANGA). INAENDELEA
kuna mtambo unarekodi
 
Umeongea kama mtu wa mpira haswa. Simba ndio kichaka chao wanachojifuchia mechi ya jana. Kwa kukosenaka key players kwa upande wa Yanga ilibidi iwe vile walau ipatikane sare tasa ambayo kama itaensa kuzaa sare ya magoli ni faida kwa yanga. Lakini pia makolo wakikumbuka wao waliongoza possession na wakakandwa....wanajificha chap kwenye shina la mchicha.
Vichaka vya kujificha Simba vinafyekwa vyote. Ooohh Yanga wamefika fainali kombe la shirikisho waje huku kwenye club bingwa. Oohh Yanga hawezi kuingia makundi ya champions league, mara Yanga akaingia tena kwa kishindo. Oohh Yanga wataishia makundi hawawezi kuingia robo fainali, Yanga wakatinga robo kabla ya Simba tena wakiwa na mchezo mmoja mkononi. Ikaja draw ya robo, oohhh Yanga kwisha habari wamepangwa na Mamelodi. Kabla ya mechi ya jana, wakasema maneno yote kwamba mechi ya Yanga vs Mamelodi itaishia kwa Mkapa tena kwa Yanga kufungwa magoli mengi. Sasa baada ya mechi ya jana, wameanza kupiga ramli za mechi ya Pretoria. Hawa hawataishiwa maneno hadi siku Yanga atakapokua juu ya Simba kwenye CAF ranking, kwa sababu ndiyo kichaka pekee kilichobaki kufyekwa, ambacho hakina muda mrefu.
 
Back
Top Bottom