Namna wanavyokokotoa possesion (kumiliki mpira), nashauri waigawe ktk vipande vitatu ntatumia MAMELOD VS YANGA kama case study

Namna wanavyokokotoa possesion (kumiliki mpira), nashauri waigawe ktk vipande vitatu ntatumia MAMELOD VS YANGA kama case study

Aisee.....

Nimeangalia passes....

Mamelod 567

Yanga 215

Imesikitisha Sana

Kusaidia hapo... Gamondi aende kusoma ku upgrade tena Ile leseni yake imepitwa na Wakati
twende taratibu pass 567 tu assume pass moja imepigwa kwa sekunde 8, itakuwa hivi 567 × 8 = 4536 yaani wametumia sekunde 4536 kupasiana, tuzibadiri ziwe dakika 4536 /60 = 75.6 yaani wametumia dakika 75.6 kupasiana ktk dakika 90 za mchezo bila kupata goli wala kufanya attempt ya maana. Sasa chukua 90 - 75.6 = 14.4 yanga kamiliki mpira kwa dakika 14.4 katika dakika 90 za mchezo. Haya tukokotoe possesion za mamelod 75.6/90 ×100 = 84% kwahiyo mamelod alikuwa na possesion ya 84%. Nb nmetumia takwimu ulizoweka wewe . Ko utaona point yangu ukitumia namba kufikiria
 
nyie Yanga mbumbukweli kwahio hizopasi walizokua wanapiga nyuma kwanini wale waviziaji wenu wasiende kutibua Ili mpira upigwe mbele?

walikua wanacheza nyuma Sababu michezaji yenu ilikua inaogopa kupanda mbele[emoji1787]
Hapa umeonyesha hujui kitu kwenye soccer, nibora ushangilie rede tu.
 
twende taratibu hizo pass zote asilimia kubwa ni zile wanapasiana na kipa kipa anapiga kwa beki beki anarudisha kati wa katikati anamrudishia kipa yaani mi pass mingiii alafu mpaka first half inaisha hawana goal attempt wala shoot on target wabongo mnaita back pass
Makolo hawawezi kukuelewa,ila umeichambua vizuri.
Mechi ya marudiano Mamelody watafungua Yanga watabana,dakika za lala salama watajishtukia wamepigwa kimoko,Yanga anaingia 1/2 fainali.
Period!
 
Utopolo case study nyingine hiii hapa. Huku ndiko kutawala mchezo. .
 

Attachments

  • 1711889809955.png
    1711889809955.png
    135.7 KB · Views: 1
twende taratibu hizo pass zote asilimia kubwa ni zile wanapasiana na kipa kipa anapiga kwa beki beki anarudisha kati wa katikati anamrudishia kipa yaani mi pass mingiii alafu mpaka first half inaisha hawana goal attempt wala shoot on target wabongo mnaita back pass
Unapoteza muda kumuelewesha mtanzania..au mbumbumbu..
 
Vichaka vya kujificha Simba vinafyekwa vyote. Ooohh Yanga wamefika fainali kombe la shirikisho waje huku kwenye club bingwa. Oohh Yanga hawezi kuingia makundi ya champions league, mara Yanga akaingia tena kwa kishindo. Oohh Yanga wataishia makundi hawawezi kuingia robo fainali, Yanga wakatinga robo kabla ya Simba tena wakiwa na mchezo mmoja mkononi. Ikaja draw ya robo, oohhh Yanga kwisha habari wamepangwa na Mamelodi. Kabla ya mechi ya jana, wakasema maneno yote kwamba mechi ya Yanga vs Mamelodi itaishia kwa Mkapa tena kwa Yanga kufungwa magoli mengi. Sasa baada ya mechi ya jana, wameanza kupiga ramli za mechi ya Pretoria. Hawa hawataishiwa maneno hadi siku Yanga atakapokua juu ya Simba kwenye CAF ranking, kwa sababu ndiyo kichaka pekee kilichobaki kufyekwa, ambacho hakina muda mrefu.
Tulishasema vichaka vyote vitafyekwa
 
Najua Sasa wamebakisha vichaka viwili vya nusu fainali na rank ya CAF

Tukiingia nusu fainali na wao wakaishia robo tayari inakuwa tushawapita kwa rank,

Tukiingia fainali,wanakuwa hawana kichaka tena

Aahaaaaa
Hahahahaha..na ndipo muhindi atakapo shtuka na kushtukiwa ..maana na yeye anatembelea vichaka hivyo hivyo
 
MASHABIKI WA SIMBA MNALIALIA MLISHASEMA LUPASO KWA MKAPA TUNAPGWA SITA HIVI HAMJIONEI AIBU TIMU YENU YA SIMBA MKIFUNGWA MNAMLAUMU MO MKISHINDA KIMYA NA SIKU AKICHOKA AKAAONDOKA MANENO YENU MTAONJA JOTO YA JIWE
 
Mamelod 69% YANGA 31%..... Je umewahi kujiuliza hizi possesion hupatikanaje? Ipo hivi kinacho angaliwa ni muda wa kumiliki mpira kwa timu husika ndani ya dakika flani mfano dakika 30, 45 au 90. kinachofanyika unaanza kuhesabu sekunde timu ikiwa na mpira mfano MAMELOD kipa wiliams kampasia mudau, mudau kampasia kekana, kekana kampasia kipa wiliams, wiliams kampasia tena mudau, mudau kapiga pasi mbele inazuiwa na mpira unachukuliwa na mudathir wa YANGA, unahesabu sekunde walizo kaa na mpira mguuni mamelodi yaani ktk kupasiana mfano ndani ya dakika 45 wamekaa na mpira dakika 40. Unachukua 40/45 × 100 = 88.9% kwahiyo kipindi cha kwanza mamelod ubao utasoma possesion ya 88.9% yanga 11.1%. . Hapo haijalishi mamelod amemiliki mpira akiwa kwenye boksi lake katikati au kwenye kumi na nane za yanga ubao utasoma hivyo hivyo 88.9% haijalishi wiliams katumia muda gani kupasiana na mabeki wake huku mpira ukiwa haufiki kwenye lango la mpinzani (YANGA). INAENDELEA
Beki wa kulia wa Mamelodi alikua akipata mpira anasimama au anatembea tu taratibu. Na washambuliaji wa Yanga walikua wakimuangalia tu.

Hapo ni possession inasoma tu Kwa Mamelodi, sababu ndio wenye mpira. Mpira hauchezwi lakini possession inasoma Kwa Mamelodi sababu mpira uko miguuni Kwa beki wa Mamelodi.
 
Back
Top Bottom