Shoot on taggets zilikua ngapi kwa ngapi?Aisee.....
Nimeangalia passes....
Mamelod 567
Yanga 215
Imesikitisha Sana
Kusaidia hapo... Gamondi aende kusoma ku upgrade tena Ile leseni yake imepitwa na Wakati
twende taratibu pass 567 tu assume pass moja imepigwa kwa sekunde 8, itakuwa hivi 567 × 8 = 4536 yaani wametumia sekunde 4536 kupasiana, tuzibadiri ziwe dakika 4536 /60 = 75.6 yaani wametumia dakika 75.6 kupasiana ktk dakika 90 za mchezo bila kupata goli wala kufanya attempt ya maana. Sasa chukua 90 - 75.6 = 14.4 yanga kamiliki mpira kwa dakika 14.4 katika dakika 90 za mchezo. Haya tukokotoe possesion za mamelod 75.6/90 ×100 = 84% kwahiyo mamelod alikuwa na possesion ya 84%. Nb nmetumia takwimu ulizoweka wewe . Ko utaona point yangu ukitumia namba kufikiriaAisee.....
Nimeangalia passes....
Mamelod 567
Yanga 215
Imesikitisha Sana
Kusaidia hapo... Gamondi aende kusoma ku upgrade tena Ile leseni yake imepitwa na Wakati
Hapa umeonyesha hujui kitu kwenye soccer, nibora ushangilie rede tu.nyie Yanga mbumbukweli kwahio hizopasi walizokua wanapiga nyuma kwanini wale waviziaji wenu wasiende kutibua Ili mpira upigwe mbele?
walikua wanacheza nyuma Sababu michezaji yenu ilikua inaogopa kupanda mbele[emoji1787]
Makolo hawawezi kukuelewa,ila umeichambua vizuri.twende taratibu hizo pass zote asilimia kubwa ni zile wanapasiana na kipa kipa anapiga kwa beki beki anarudisha kati wa katikati anamrudishia kipa yaani mi pass mingiii alafu mpaka first half inaisha hawana goal attempt wala shoot on target wabongo mnaita back pass
ndio ila hata wewe ukipata data moja tu ukatuliza kichwa unakokotoa hayo yotekuna mtambo unarekodi
[emoji382] Imepenya hiyo vumilia maumivu hivyo hivyo Kolokhamsa wewe [emoji38]Huna kazi ya kufanya wewe?
Al Ahaly pia alifanya uhuni kuja kutalii badala ampige Makolokolo kono la nyani akampiga kimoja tu cha nguruwe [emoji4]Walifanya uhuni Mamelod, sec leg haina uhuni tena. Walikuja kutalii hapa bongo.
Utakua mhaya wew kaz unayoHuna kazi ya kufanya wewe?
Unapoteza muda kumuelewesha mtanzania..au mbumbumbu..twende taratibu hizo pass zote asilimia kubwa ni zile wanapasiana na kipa kipa anapiga kwa beki beki anarudisha kati wa katikati anamrudishia kipa yaani mi pass mingiii alafu mpaka first half inaisha hawana goal attempt wala shoot on target wabongo mnaita back pass
AahaaaaHii itasaidia kufanya analysis vizuri. Mfano possesion za jana za mamelod zilikuwa ni back na mid possesion kwa asilimia kubwa ndio maana hamkumuona shalulile, allende, mokoena wala mudau wakifurukuta kwenye goli la yanga
Mamelody yuko ktk wakati mgumu mnoMakolo hawawezi kukuelewa,ila umeichambua vizuri.
Mechi ya marudiano Mamelody watafungua Yanga watabana,dakika za lala salama watajishtukia wamepigwa kimoko,Yanga anaingia 1/2 fainali.
Period!
Tulishasema vichaka vyote vitafyekwaVichaka vya kujificha Simba vinafyekwa vyote. Ooohh Yanga wamefika fainali kombe la shirikisho waje huku kwenye club bingwa. Oohh Yanga hawezi kuingia makundi ya champions league, mara Yanga akaingia tena kwa kishindo. Oohh Yanga wataishia makundi hawawezi kuingia robo fainali, Yanga wakatinga robo kabla ya Simba tena wakiwa na mchezo mmoja mkononi. Ikaja draw ya robo, oohhh Yanga kwisha habari wamepangwa na Mamelodi. Kabla ya mechi ya jana, wakasema maneno yote kwamba mechi ya Yanga vs Mamelodi itaishia kwa Mkapa tena kwa Yanga kufungwa magoli mengi. Sasa baada ya mechi ya jana, wameanza kupiga ramli za mechi ya Pretoria. Hawa hawataishiwa maneno hadi siku Yanga atakapokua juu ya Simba kwenye CAF ranking, kwa sababu ndiyo kichaka pekee kilichobaki kufyekwa, ambacho hakina muda mrefu.
Jamaa wanajidanganyaga wenyewe , hata humu wao ndio wajuajiTulishasema vichaka vyote vitafyekwa
Najua Sasa wamebakisha vichaka viwili vya nusu fainali na rank ya CAFJamaa wanajidanganyaga wenyewe , hata humu wao ndio wajuaji
Hahahahaha..na ndipo muhindi atakapo shtuka na kushtukiwa ..maana na yeye anatembelea vichaka hivyo hivyoNajua Sasa wamebakisha vichaka viwili vya nusu fainali na rank ya CAF
Tukiingia nusu fainali na wao wakaishia robo tayari inakuwa tushawapita kwa rank,
Tukiingia fainali,wanakuwa hawana kichaka tena
Aahaaaaa
AaahaaaHahahahaha..na ndipo muhindi atakapo shtuka na kushtukiwa ..maana na yeye anatembelea vichaka hivyo hivyo
Beki wa kulia wa Mamelodi alikua akipata mpira anasimama au anatembea tu taratibu. Na washambuliaji wa Yanga walikua wakimuangalia tu.Mamelod 69% YANGA 31%..... Je umewahi kujiuliza hizi possesion hupatikanaje? Ipo hivi kinacho angaliwa ni muda wa kumiliki mpira kwa timu husika ndani ya dakika flani mfano dakika 30, 45 au 90. kinachofanyika unaanza kuhesabu sekunde timu ikiwa na mpira mfano MAMELOD kipa wiliams kampasia mudau, mudau kampasia kekana, kekana kampasia kipa wiliams, wiliams kampasia tena mudau, mudau kapiga pasi mbele inazuiwa na mpira unachukuliwa na mudathir wa YANGA, unahesabu sekunde walizo kaa na mpira mguuni mamelodi yaani ktk kupasiana mfano ndani ya dakika 45 wamekaa na mpira dakika 40. Unachukua 40/45 × 100 = 88.9% kwahiyo kipindi cha kwanza mamelod ubao utasoma possesion ya 88.9% yanga 11.1%. . Hapo haijalishi mamelod amemiliki mpira akiwa kwenye boksi lake katikati au kwenye kumi na nane za yanga ubao utasoma hivyo hivyo 88.9% haijalishi wiliams katumia muda gani kupasiana na mabeki wake huku mpira ukiwa haufiki kwenye lango la mpinzani (YANGA). INAENDELEA