Namna Watanzania wanavyotapeliwa na Waganga wa Kienyeji nchini Kongo

itoshe kusema mali kwa njia ya uganga vimemkataa jamaa,
 
Umenikumbusha siku moja nilikua naenda uvira kongo kupitia ziwa Tanganyika kutokea kigoma,nika panda boti.

Tulipo vuka upande wa Burundi pana itwa rumonge kwa mbele yake ziwa lika chafuka hatari sana,na mimi nilitubu mazambi yangu yote,kila mtu aliomba kivyake ila Mungu ni mwema,hali ikatulia.
 
Mara nyingi napataga srori za ziwa tanganyika ya kuwa ina mauza uza kibao ila dizain kama siamini vile any way sikumoja nipate route ya kwenda walau kuvuka ili nisi simuliwe tena
 
Yule kijana aliyechoka ndio aliyekuwa anachukua ndoto kwenye stori bila shakaπŸ˜‚
 
Mdomo ni maliyako unaweza sema chochote kwasabu hulipii kodi pia una uhuru wakutoa maoni juu ya hii story ....lakini ngoja nikwambie kitu kimoja kuita srori za wenzako CHAi huu ni upumbavu ilihali hata hiyo chai yenyewe wew huna ..... kama ni chai unaonaye sisi tuna furahia ... jifunze kuheshimu mambo ya watu wengine na kama una kwZika hujalazimishwa kuisoma ... kaa kwakutuli au pita iviiiiiiiiiii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…