Namna ya ku-deal na Gold digger

Namna ya ku-deal na Gold digger

Huyo binri wa 2003 si ni sawa na mwanao? Kwanini unaharibu mtoto wa mwenzio? We mwanao akifanyiwa hivi utafurahi?

Hakuna cha utamu wala nini ni kujiendekeza tu. Kwanini usitafute level yako ukaoa mkuu. Umasikini mwingine mnautengeneza ninyi wenyewe halafu badae mnakuja kulaumu serikali.
Kama Hadi Satan amesema mi ni nani?
 
Kwa wenyeji wa Tabora huko wanyamwezi wale kunakitu inaitwa kamsamba isikie tu!
MWISHO WA KUNUKUUU
 
Back
Top Bottom