Basi Nenda
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 20,774
- 47,866
[emoji23]shunie we bdo binti mbn.nakuona upo mid 20's hivi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nacheka mm na uzee huu nilionao unanifanya nijione kabinti shunie mm
Woiiii nimepita hiyo miaka mda sana niko na 55 sasa hivi mobutu
[emoji32]aiseeWoiiii nimepita hiyo miaka mda sana niko na 55 sasa hivi mobutu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji32]aisee
Ila hivo hivo sio mbaya. Macron pia ameoa mzee[emoji4]
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mobutu jinga sana wewe hukubali kushindwa
Umerithi jina mpaka tabia eenh mobutu nimekushindwa aiseeHahaha [emoji23]
Kumb unanielewa,sikubali kushindwa.ni kitu nimejifunza kutoka kwa mobutu sese seko
Aliwahi kusema "unapokua mwanajeshi ni vitu viwili,uuliwe au ujisalimishe ila hupaswi kukimbia"
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1]yapUmerithi jina mpaka tabia eenh mobutu nimekushindwa aisee
Haya nakufungulia mobutu wangu eenh endelea kusubiri[emoji1]yap
Alafu ufungue PM basi yani niko nasubiri since mwaka jana
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji7]huo mstari wa kwanza umefanya nijihisi kama niko dunia ya peke yangu.Haya nakufungulia mobutu wangu eenh endelea kusubiri
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji7]huo mstari wa kwanza umefanya nijihisi kama niko dunia ya peke yangu.
Nobody ever said that to me .mpk kidogo niangushe simu
Sent using Jamii Forums mobile app
Nakuja huko PM [emoji4] hapa ntajaza uzi tu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nacheka mm
Sasa unaokoka nini wakati dhambi ya kuzini unataka kuifanya?Ico kienglish ni cha u momboni, inamaana mtu akiokoka na mb** inaacha kazi?
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23]Sasa unaokoka nini wakati dhambi ya kuzini unataka kuifanya?
Ma January huwa sio mazuri mdogo angu... Yanatukimbizaje.. Halaf na session za maombi pia.Kaka angu nimekumiss mm mbona tunapishana hivi lakini
Pole kaka akee Mungu akufanyie wepesi kwenye maombiMa January huwa sio mazuri mdogo angu... Yanatukimbizaje.. Halaf na session za maombi pia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna jamaa tulimshauri hivi akapata jini mahaba lake mpaka leo linamsumbua mbayaNenda kariakoo, utakuta watoto wazuri kibao anza kuzungumza na wawili kwa siku hata salamu, tu stori mbili tatu jizoeze kuongeza idadi utajikuta una improve siku had siku mwishoni utajikuta ukimtaka manzi haumkosi aisee
Mimi ata jini poa tu, ili mradi linipende mapenzi ya kweli mkuuKuna jamaa tulimshauri hivi akapata jini mahaba lake mpaka leo linamsumbua mbaya
Haya mambo ya kutongoza tongoza mbaya sana
Hata sina uhakika na miaka yangu mkuu, maana hata wazazi wangu hawakumbuki siku nilio zaliwaUna miaka mingapi labda tuanzie na hapo