Namna ya kuacha u domo zege

Namna ya kuacha u domo zege

Wewe acha ufala, uandishi has nothing to do with kumtongoza demu. Wewe umepewa uchi na mademu wangapi kwa uandishi wako?

Correction: 'ili' sio 'hili'
Kitoto cha fesibuku naona umekaza ubongo kutetea ujinga wako eeh! kumbe wewe ni domo zege kwa mademu tu ila kwenye kutetea ujinga wako sio domo zege?!

Hapo kwenye red,sio 'ili' ni 'hili' acha ubishi wa kiha, huwezi kusema "Msaada wa kumaliza ili janga" utasema "Msaada wa kumaliza hili janga, hutaki kusahihishwa unaweza kuendelea kufuga ujinga hujakatazwa.
 
Kitoto cha fesibuku naona umekaza ubongo kutetea ujinga wako eeh! kumbe wewe ni domo zege kwa mademu tu ila kwenye kutetea ujinga wako sio domo zege?!

Hapo kwenye red,sio 'ili' ni 'hili' acha ubishi wa kiha, huwezi kusema "Msaada wa kumaliza ili janga" utasema "Msaada wa kumaliza hili janga, hutaki kusahihishwa unaweza kuendelea kufuga ujinga hujakatazwa.

Domo zege?! Hebu nicheke hehe. Unajua hilo neno limetumika context ipi? Haya twende taratibu. Tunatumia ili au hili Mfano. "Ili ujue kuandika inakupasa uanze na daftari la mwandiko" Au "Hili ujue kuandika inakupasa uanze na daftari la mwandiko". Ipi ni sahihi? Haya rudi mwanzo wa uzi kujua context ya neno halafu ukakojoe ukalale.
 
Sababu iliyosababisha hiyo kihistoria ni nini?, kama ulianza muda mrefu kujiunga na chama cha CHAPUTA toka ukiwa na miaka 18 hadi sasa ni member , pambana kwanja na kuleft umember kisha ndio uufanyie kazi hilo kwa kwenda field sana za mtaani
 
Habari za saa izi wana jamvi, natumai hamjambo, kama inavyo jieleza title siredi mi ni domo zege na nimesha ucoka, kwa hiyo naitaji msaada wa mbinu zakumalizana na ili janga
Tafuta ela na zitunze ziwe nyingi ili uziite hela.

Naamin umenielew mkuu kwa marefu na mapana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari za saa izi wana jamvi, natumai hamjambo, kama inavyo jieleza title siredi mi ni domo zege na nimesha ucoka, kwa hiyo naitaji msaada wa mbinu zakumalizana na ili janga
Licha ya udomo zege, unakabiliwa na mwandiko zege.
Unachoandika, hata we mwenyewe hukielewi.
 
Aisee
Meme%20Creator_1546340489474.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom