Namna ya kuachana na tabia za ngono zisizofaa: Maturbation & Ngono za kulipia

Namna ya kuachana na tabia za ngono zisizofaa: Maturbation & Ngono za kulipia

Mtoa mada usitudanganye CHAPUTA huwezi acha kirahisi hvo kuna mtu anaabove 62Years anafamilia na watoto wakubwa lakin hajaacha CHAPUTA.CHAPUTA ni ndoa kama ndoa zingine sema haina waalikwa ndo maana namna nyingine ni selfservice....njia kuu ya kuicha fanya kazi ngumu...mazoezi magumu na kujikeep busy mda mwingi apo utafanikiwa kumuacha hyo bimkubwa CHAPUTA a.k.a Left hand side.
 
Ni rahisi sana, Fanya kazi masaa 14-16 Kwa siku walau Kwa wiki Tatu mfululizo, Monday - Saturday - pumzika siku moja tu… pesa utakazo pata ziwekee malengo mfano- mtaji wa biashara, ujenzi, ununuzi wa Vifaa vya kilimo etc…
Achana kuwazia papuchi Kila Wakati, Waza zaidi malengo yako.

Uchovu wa kazi wa siku sita Kwa wiki utakuondoa huko kwenye kinyama ugomvi.

Ukianza kutoboa kwenye malengo yako itakuwa motivation ya kutosha kuachana na kuchungulia magaguro Yao na maumbile Yao …
Hii mbinu haifanyikazi kwa waraibu
 
Nina mwaka sijachukua sheria mkononi mpka sasa najiambia nimeacha namuomba Mungu aendelee kunisahaulisha ile habit si nzuri kwa afya ya akili
 
Maisha ya sasa kua na dem ni kufa kwa presha,sasa chama chetu cha chaputa unamla Rihanna buree sasa unaachaje? Sena tuu too much is hamful
 
Ni rahisi sana, Fanya kazi masaa 14-16 Kwa siku walau Kwa wiki Tatu mfululizo, Monday - Saturday - pumzika siku moja tu… pesa utakazo pata ziwekee malengo mfano- mtaji wa biashara, ujenzi, ununuzi wa Vifaa vya kilimo etc…
Achana kuwazia papuchi Kila Wakati, Waza zaidi malengo yako.

Uchovu wa kazi wa siku sita Kwa wiki utakuondoa huko kwenye kinyama ugomvi.

Ukianza kutoboa kwenye malengo yako itakuwa motivation ya kutosha kuachana na kuchungulia magaguro Yao na maumbile Yao …
Mkuu nashukuru nimefanikiwa kwa kiwango fulani kupitia hii njia. Nilifanikiwa kufikisha miezi miwili bila kufanya ngono wala kufanya masturbation. Kuna siku zilikua ngum sana kuzitoboa, yani kazi haziendi akili inawaza ngono tu. Unakuta hadi naanza kuangalia wadada barabarani , kwenye daladala nikiguswa tu na mdada chuma tayali. Nikaamua kujitosa kwenye mahusiano na msichana yeyote mana kuvumilia mpaka kupata wa maisha ilishakua mtihani. Uko napo nikaishia kupata UTI na GH kwa mara ya kwanza, sitazisahau izo siku 6 zakujiuguza.
Pia kwenye icho kipindi nilifuta social media zote na nilijikuta hata sim sina mpango nayo. Kuhusu kutimiza malengo tayali nina kiwanja nataka mwakani nianze kujenga mdogomdogo. kiufupi mkuu nashukuru sana bila kufata uo ushauri sidhan kama ningepiga hatua yoyote.
 
Na mimi nimeipenda comment ya kamanda hapo juu. Suala lako ni suala mtambuka na ni suala linalowaathiri watu wengi sana waume kwa wanawake, mabinti kwa vijana sema tu tulio wengi hatuko tayari kutamka. Kwa hiyo comment nyingi zimelenga kukushambulia kama kawaida yetu tunattak person na personality badala ya hoja.

Suala la kuokoka halijawahi kufanyiwa researches na halina uhakika , ni very subjective, ndio maana sioni kama ni solution bora, ila hoja ya Kamanda hii imeshanyiwa researches nyingi na zimeonyesha positive results, ingawa si 100% lakini matokeo ni mazuri by averages. Tunawaliohokoka wengi ila ukichunguza matendo yao yanazidi sisi wakatumeni. Wengine ni ndugu zangu na walikuwa wakitunyooshea vidole ila baadae wakatenda vitu mpaka sisi tunaogopa.ila hili suala la kuokoka tuliache kwani limekaa kiimani zaidi, turudi kwenye sayansi. Tunaomba utupe mrejesho baada ya kutekeleza.
Mkuu sijui namna ya kutag ila nimeweka ushuhuda
 
Huwezi kuacha unyetukalization hata iweje lazima utarudia tu hiyo shughuli sababu umeifuzu kwa miaka 6.

Kuhusu kuoa hata ukioa ukishazoea tu mkeo then lazima utanyetuka. Wanaume wengi ndani ya ndoa kwasasa wanastruggle na nyeto kwasababu ni kitu wamekifanya kipindi cha nyuma na ilikuwa ni easy fix au escape ya kupata utulivu wa kimwili na kiakili.
Hii comment imenifanya niweke ngao chini alafu nikajibutua naviwil vitatu, ila hamna noma nitaanza tena milestone tayari ninaexperrience
 
Mkuu nashukuru nimefanikiwa kwa kiwango fulani kupitia hii njia. Nilifanikiwa kufikisha miezi miwili bila kufanya ngono wala kufanya masturbation. Kuna siku zilikua ngum sana kuzitoboa, yani kazi haziendi akili inawaza ngono tu. Unakuta hadi naanza kuangalia wadada barabarani , kwenye daladala nikiguswa tu na mdada chuma tayali. Nikaamua kujitosa kwenye mahusiano na msichana yeyote mana kuvumilia mpaka kupata wa maisha ilishakua mtihani. Uko napo nikaishia kupata UTI na GH kwa mara ya kwanza, sitazisahau izo siku 6 zakujiuguza.
Pia kwenye icho kipindi nilifuta social media zote na nilijikuta hata sim sina mpango nayo. Kuhusu kutimiza malengo tayali nina kiwanja nataka mwakani nianze kujenga mdogomdogo. kiufupi mkuu nashukuru sana bila kufata uo ushauri sidhan kama ningepiga hatua yoyote.
Asante kwa ushuda, pongezi Kwa Kwa Kiwanja, mdogo mdogo utatoboa tu …
 
Back
Top Bottom