Namna ya kubadili nguvu za kujamiiana kuwa katika uzalishaji (sexual energy transmutation according to Napolion Hills)

Namna ya kubadili nguvu za kujamiiana kuwa katika uzalishaji (sexual energy transmutation according to Napolion Hills)

Kila kitu kwa kiasi wakuu kutokufanya mapenzi kwa muda mrefu nako kuna madhara kiafyaa pia vile vile kufanya sana mapenzi mfululizo nako kuna madhara ivyo kila kitu kwa kiasi wadau, za kuambiwa changanya na zako
 
Haya unayoyasema umeshawahi ku ya approve
Mara nyingi tu na ndo maisha yangu kwa kiasi kikubwa(ngono siyo starehe kwangu). Kuna kipindi nilikuwa namsaidia ndugu yangu kazi ya kuuza duka la nguo, nikaepuka kupiz. Nikiwa pale dukan mauzo yaliongezeka mara 2, then mara tatu ya kawaida kila mtu alishangaa ila Mimi nilijua siri yake. Uki practice semen retantion na ukaepukana na matumizi ya vilevi unakuwa na mvuto & ushawishi. Kingine nguvu za kiroho zinaongezeka, wachawi/wanga watakushindwa. Utaota unakimbizwa lkn hutokamatwa, unalishwa ndotoni lkn hutokula, ke uchi anakutega lkn hutotombana naye. Tank la maanii likiwa full wallet itakuwa full, pesa itakuja na kutulia. Manii yana madin ya Calcium ambayo ni energy muhimu kwenye utafutaji. Faida za semen retantion ni nying mno, tutaambizana kidokidogo.
 
Kila kitu kwa kiasi wakuu kutokufanya mapenzi kwa muda mrefu nako kuna madhara kiafyaa pia vile vile kufanya sana mapenzi mfululizo nako kuna madhara ivyo kila kitu kwa kiasi wadau, za kuambiwa changanya na zako
Mtu asipofanya mapenzi kwa muda mrefu atapata madhara yapi?
 
Safi sana mkuu waambie Poor Brain
Mara nyingi tu na ndo maisha yangu kwa kiasi kikubwa(ngono siyo starehe kwangu). Kuna kipindi nilikuwa namsaidia ndugu yangu kazi ya kuuza duka la nguo, nikaepuka kupiz. Nikiwa pale dukan mauzo yaliongezeka mara 2, then mara tatu ya kawaida kila mtu alishangaa ila Mimi nilijua siri yake. Uki practice semen retantion na ukaepukana na matumizi ya vilevi unakuwa na mvuto & ushawishi. Kingine nguvu za kiroho zinaongezeka, wachawi/wanga watakushindwa. Utaota unakimbizwa lkn hutokamatwa, unalishwa ndotoni lkn hutokula, ke uchi anakutega lkn hutotombana naye. Tank la maanii likiwa full wallet itakuwa full, pesa itakuja na kutulia. Manii yana madin ya Calcium ambayo ni energy muhimu kwenye utafutaji. Faida za semen retantion ni nying mno, tutaambizana kidokidogo.
 
Yan nyege zimekubana halafu eti usome kitabu mzee? Hiv uko serious mkuu??
Yan ni sawa na kusema , jua kali mchana umekamatwa na kiu, halafu ukachemshe chai unywe!? Hiv hiz nyege mnazijua au mnazisikia tuu??
 
hii nadharia inafanya kazi kinyume. Ukweli ni kwamba usipo sex ndio unapoteza nguvu zako
Ushawahi kujiuliza kwa nini ng'ombe dume akitaka kufanyishwa kazi ngumu(maksai) hua anahasiwa?
 
Back
Top Bottom