Mtu anachukua bidhaa kidogokidogoMilioni 105 kwenye jua hili unapata wapi jeuri ya kumkopesha mtu, kha watu mna imani sana, hapo hata sijui naanzaje kukushauri....
Hyo karma itamlipa jamaa hyo 105m aliyotapeliwa????Broo watanzania walio wengi sio waaminifu katika suala la pesa
All in all pambana nae mtakapo ishia ndio hapo hapo
Yan hata akulipe kidogo kidogo sio mbaya kuliko jamaa kujitoa mshipa wa aibu kabisa kuwa alisha lipa
Sio fair kabisa
Note
Karma is real .huyo jamaa mpe muda na yeye atakuja kutapeliwa kiasi zaidi ya hicho.
Kwa watu wanaojielewa habar Ya kumuachia Mungu haipo.Hyo karma itamlipa jamaa hyo 105m aliyotapeliwa????
Sijawahi kuielewa hii karma yaan badala ya kumuwezesha jamaa kupata pesa yake aliyotapeliwa,, badala yake eti alietapeli nae anaenda kutapeliwa so what???
Kama kweli kuna karma basi karma its rubbish
Wewe una akili kama zangu.Amfanyie umafia tu , undava undava , mtu akikusumbua ni kumtengenezea squad ya vijana wa kazi ,kumteka then wanampeleka gereji kumpa kivinyo + kumla tigo , mnamshikilia mpaka atoe huo mtonyo na mkimuachilia mnampa onyo ,akithubutu kutoa siri video zinaleak kumuaibisha.
Wangese mahayawani kama hao ni kudeal nao kinyama tu ,hakuna huruma
Hyo haipo kabisaaaaa asee!!!Kwa watu wanaojielewa habar Ya kumuachia Mungu haipo.
Sent from my CPH2219 using JamiiForums mobile app
Unachelewa chukua gun.Kuna mdau alikuwa ni mteja wangu, hapa Kariakoo. Nilikua nampa mali kauli ili akauze, mara ya mwisho kabisa uyo mteja alinitapeli. Hakunilipa pesa yangu. Nikafuatilia kwa njia ya sheria na kutumia police wa pale Central ya posta Tukafanikiwa kumkamata lakini kama mnavyojua police hawahusiki na madeni na jamaa alikuwa na connection, hata ndani hakulala.
Kilichotokea tu ni kwamba police walishauri niende mahakamani au tuandikishane pale pale.
Tukaandikishana mkataba kwamba atakua ananilipa kwa awamu. Mpaka sasa hajalipa hata sumni na amekuwa mbishi sana. Ni kama aliwapa pesa wale police maana kila Nikimkumbusha deni langu anakataa anasema yeye amesha nilipa.
Nikimuuliza umenilipaje anasema alikua ananipa pesa cash kitu ambacho ni uongo.
Sasa wadau naombeni solution huyu mtu nimfanye nini? Kwanza kabisa amechangia katika kuanguka kwa biashara yangu.
Mwanzo nilifikiria kwenda mahakamani lakini najua nitapoteza pesa nyingi na wanasheria wengi ni wahuni. Pia mahakimu hawaaminiki wanaweza kula rushwa na nikapoteza haki yangu.
Wazo la pili nafikiria niende kwa mtaalam anisaidie kurejesha deni langu. Nimeshapata connection ya watalaam wanaoweza mambo hayo watu wa uhakika. Walionipa connection wao walifanikisha kurejesha pesa/mali zao.
Naombeni ushauri madhara ya kutumia mtaalam kurejesha deni na faida zake.
Yaani sisi Watanzania watu wa hovyo kabisa uaminifu ni sifuri! Ila mkuu kwa nini kama ulikuwa na mzigo wa kuwapa watu kwa mali kauli hukumdai aje na bank guarantee? Ingekuwa na bank guarantee wala usingesumbuka bank wenyewe ndio wangekuwa wanakimbizana naye! Hilo nalo liwe funzo kwa wengine! Unakoelekea mkuu unaenda kumfanya chizi huyu mdau maana akina Mshana Jr na Kalumanzira hawana mbinu nyingine zaidi ya kuchizika au kupotezwa mazima!Kuna mdau alikuwa ni mteja wangu, hapa Kariakoo. Nilikua nampa mali kauli ili akauze, mara ya mwisho kabisa uyo mteja alinitapeli.
Mimi Babu yangu alikuwa Mwinjiisti wa AICT lakini watu walivyokuwa wanamchukulia poa na kumsumbua eti kwa vile ni Mwinjilisti hatachukua hatua yoyote, alikuwa anawaambia nitamweka Yesu kwenye mti nikushughulikie nikimaliza narudi kumchukua Yesu wangu! Sawa Mungu naye alishatuahidi kwamba kisasi tumwachie yeye ila huwa inachukua muda mrefu kwa mtu mwenye imani yake!Amlilie Mungu ili iweje!??
[emoji23][emoji23][emoji23]Kuna watu wanatumia uchawi kuwatapeli watu.
Unaweza kumdai mtu na asipokee simu yako, siku ukikutana naye anakukopa tena upya