wao ni wao
JF-Expert Member
- Dec 23, 2022
- 1,179
- 2,807
Pole sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanza yeye mwenyewe unamuonaje anajiweza kwasasa?
Kama mliandikishana nenda mahakamani achan na kuloga watuKuna mdau alikuwa ni mteja wangu, hapa Kariakoo. Nilikua nampa mali kauli ili akauze, mara ya mwisho kabisa uyo mteja alinitapeli. Hakunilipa pesa yangu. Nikafuatilia kwa njia ya sheria na kutumia police wa pale Central ya posta Tukafanikiwa kumkamata lakini kama mnavyojua police hawahusiki na madeni na jamaa alikuwa na connection, hata ndani hakulala. Kilichotokea tu ni kwamba police walishauri niende mahakamani au tuandikishane pale pale. Tukaandikishana mkataba kwamba atakua ananilipa kwa awamu. Mpaka sasa hajalipa hata sumni na amekuwa mbishi sana. Ni kama aliwapa pesa wale police maana kila Nikimkumbusha deni langu anakataa anasema yeye amesha nilipa. Nikimuuliza umenilipaje anasema alikua ananipa pesa cash kitu ambacho ni uongo.
Sasa wadau naombeni solution huyu mtu nimfanye nini? Kwanza kabisa amechangia katika kuanguka kwa biashara yangu.
Mwanzo nilifikiria kwenda mahakaman lakini najua nitapoteza pesa nyingi na wanasheria wengi ni wahuni. Pia mahakimu hawaaminiki wanaweza kula rushwa na nikapoteza haki yangu.
Wazo la pili nafikiria niende kwa mtaalam anisaidie kurejesha deni langu. Nimeshapata connection ya watalaam wanaoweza mambo hayo watu wa uhakika. Walionipa connection wao walifanikisha kurejesha pesa/mali zao.
Naombeni ushauri madhara ya kutumia mtaalam kurejesha deni na faida zake.
Kbsa a written dcm Ni muhimu Ni ushahid toshaMkuu punguza negativity na mahakama zetu,kule ni ujanja wako na ushahidi,ukikosa ushahidi utaishia kulaumu mahakama zetu.
By the way pole,ila tambua pesa hutafutwa kwa pesa
Uwezo wa kunilipa anao.. ndio maana kila ninapo enda anatanguliza pesa ipi wanipotezee.. kama hapo police ndio kabisa nikienda tu wanasema wewe bwana kesi yako ya madai nendeni mahakamani wenyewe
Mbona nasikia kudaiwa ni kesi na inamfunga mtu vizuri wala sio kama zamani eti "deni halimfungi mtu" check na wanasheria ukipoteza 5M ukaokoa 100 kuna shida gani
Amfanyie umafia tu , undava undava , mtu akikusumbua ni kumtengenezea squad ya vijana wa kazi ,kumteka then wanampeleka gereji kumpa kivinyo + kumla tigo , mnamshikilia mpaka atoe huo mtonyo na mkimuachilia mnampa onyo ,akithubutu kutoa siri video zinaleak kumuaibisha.Mteke muweke ndani, mwambie hiyo million 105 ndio mahari yake, atakula atalala, mpaka kufa kwake, ndio ushamuoa.