ThisisDenis
Senior Member
- Apr 14, 2013
- 162
- 139
Ili tuweze kuiunganisha afrika sisi kama watanzania ni kuwaunganisha kua nchi moja na kuiongoza. Tumeona nchi nyingi zinapitia migogoro na migogoro hiyo siso kama watanzania ndio tunaenda kuwasaidia, ikiwemo ifuatayo:-
1. Vurugu za kampeni
2. Vurugu baada ya matokeo
3. Makundi ya kihuni yasio na kichwa wala miguu.
4. Ukosaji wa demokrasia na adabu miongoni mwa nchi.
5. Kushindwa kujisimamia wenyewe.
Kupitia changamoto hizi ambazo nchi nyingi za afrika ambazo zinajifanya zinajua sana ndio zinatumbukia kwenye matatizo hayo na sisi kama watanzania tumekua tukienda kuwasimamia, kuwasaidia na kuwakomboa na wanarudo wanakaa sawa. Tumeona nchi nyingi zimeongeza nguvu kwa kununua nchi zingine mfano wa nchi hizo ni Marekani, Urusi, United Kingdom, na Unated Arabs Emirate.
Sasa kwa nini sisi kama watanzania tusitie mbinu za kiitelijensia kuwaingiza nchi zingine kwenye migogoro na kuwanyakua mamlaka na kuwafanya wawe part ya nchi ya Tanzania na Mwisho wa siku Tanzania inakua ndio inakua Afrika lakini yenye misingi ya mswahili. ???????
1. Vurugu za kampeni
2. Vurugu baada ya matokeo
3. Makundi ya kihuni yasio na kichwa wala miguu.
4. Ukosaji wa demokrasia na adabu miongoni mwa nchi.
5. Kushindwa kujisimamia wenyewe.
Kupitia changamoto hizi ambazo nchi nyingi za afrika ambazo zinajifanya zinajua sana ndio zinatumbukia kwenye matatizo hayo na sisi kama watanzania tumekua tukienda kuwasimamia, kuwasaidia na kuwakomboa na wanarudo wanakaa sawa. Tumeona nchi nyingi zimeongeza nguvu kwa kununua nchi zingine mfano wa nchi hizo ni Marekani, Urusi, United Kingdom, na Unated Arabs Emirate.
Sasa kwa nini sisi kama watanzania tusitie mbinu za kiitelijensia kuwaingiza nchi zingine kwenye migogoro na kuwanyakua mamlaka na kuwafanya wawe part ya nchi ya Tanzania na Mwisho wa siku Tanzania inakua ndio inakua Afrika lakini yenye misingi ya mswahili. ???????