FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
Ni kwamba zinawekwa ferry tatu (3) tu ndefu na zenye milango mirefu ya kufunguka ambapo zinagusana mwanzo hadi mwisho na hivyo kutengeneza barabara inayoelea baharini.
Na ikitokea meli inataka kupita pantoni la katikayi linajikata na kupisha meli kisha inarudi mahala pake.
Picha hapo chini ina maelezo zaidi.
===============================
Update: December 2020
Haya sasa Kenya wameshajiongeza, wacha tuendelea kung’aa macho tu
=============================
Na ikitokea meli inataka kupita pantoni la katikayi linajikata na kupisha meli kisha inarudi mahala pake.
Picha hapo chini ina maelezo zaidi.
===============================
Update: December 2020
Haya sasa Kenya wameshajiongeza, wacha tuendelea kung’aa macho tu
=============================