Namna ya kujenga daraja jipya Ferry - Kigamboni ndani ya siku 3 tu

Namna ya kujenga daraja jipya Ferry - Kigamboni ndani ya siku 3 tu

Daraja la kufunga na kufunguka lina chukua dakika moja.
Hiyo Pantoni itachukua muda gani kufunguka.

Pili, iyo pantoni ikifunguka itaenda kukaa wapi ili isiwe kikwazo kwa meli kuingia bandarini na litatumia muda gani.

Baharini kuna sheria za uendeshaji vyombo (Rule of the road at the sea). Ukicheki hizo sheria hiki kitu kufanyika kwenye mlango wa bandari itakuwa ngumu.
1.) Haitazidi dakika 5
2.) Itakaa at a 'safe' distance with engines at idle ili kuhimili mawimbi
3.) Nchi ni yetu na bandari ni yetu, hivyo hata sheria ni zetu na tunaweza kuzi-adjust when and where necessary.
 
Mkuu sio kila sehemu ya bandari au bahari unatakiwa kuweka anchor. Kuna maeneo maalumu yametengwa kwa mfano Dar es Salaam Port unatakiwa uweke nanga nje karibu na kile kisiwa kinaitwa Outer Mwakatumbe.

Sababu nyingine hapo karibu na bandari pia kambi ya jeshi chini kuna uwezekano wa kuwepo underground cable, sasa kitendo cha kuangusha nanga pindi unaponyanyua unaweza kukata hizo cable.

Pia nanga kuipandisha na kushusha inaweza ikawa ni kitendo cha kupoteza muda. Labda kama kuna technology mpya imetoka.
Zipo aina nyingi za ku-'anchor' chombo, hiyo ya minyororo ni moja wapo, 'achoring' ninayoizungumzia ni ile ya 'onshore', ambapo zinasimikwa columns kubwa za chuma/ zege ngumu ambapo kamba kutoka kwenye pantoni zinaenda kufungwa hapo, hiyo nanga ya mnyororo inaweza kushushwa kama additional support tu.
 
1.) Haitazidi dakika 5
2.) Itakaa at a 'safe' distance with engines at idle ili kuhimili mawimbi
3.) Nchi ni yetu na bandari ni yetu, hivyo hata sheria ni zetu na tunaweza kuzi-adjust when and where necessary.
Nchi ni yetu ila kwenye bahari sheria ya Rule of the Road at Sea hii ni ya kimataifa na nchi wanachama wa IMO ndio tunafata sisi kama nchi tunatekeleza tu.
 
Zipo aina nyingi za ku-'anchor' chombo, hiyo ya minyororo ni moja wapo, 'achoring' ninayoizungumzia ni ile ya 'onshore', ambapo zinasimikwa columns kubwa za chuma/ zege ngumu ambapo kamba kutoka kwenye pantoni zinaenda kufungwa hapo, hiyo nanga ya mnyororo inaweza kushushwa kama additional support tu.
Hakuna aina hiyo ya anchoring, wewe unazungumzia (mooring) ufungaji wa kamba katika meli.
Hiyo ya kusimika nguzo tunaita Single Point Mooring ambapo kwenye hiyo nguzo meli zaidi ya 1 zinaweza kufunga kamba.

Kingine jua hapo kigamboni ferry wakati wa maji kutoka kina kinapungua na ukijenga hizo nguzo ndani ya maji itakuwa ni uchafu maana kuna meli kubwa zina draft ya mita 9 mpaka 12. Hakuna Pilot au Captain atayekubali kuingiza meli sehemu ambayo ni hard navigation na ground clearance ni ndogo.

Pia kwa kutumia dakika 5 kufunga na kufunguka itakuwa kikwazo kwa bandari maana huo ni mlango wa pekee meli za abiria,tug,pilot boat, mooring boat, supply boat,navy ship, police boat, Tafiri boat na meli kubwa zinaingia na kutoka kila mara hiyo italeta kikwazo.
 
Nchi ni yetu ila kwenye bahari sheria ya Rule of the Road at Sea hii ni ya kimataifa na nchi wanachama wa IMO ndio tunafata sisi kama nchi tunatekeleza tu.
Sheria ipi hiyo specifically inazuia floating bridges? Au unajitungia sheria zako? Ni treaty ya mwaka gani na ilisainiwa wapi?
 
Hakuna aina hiyo ya anchoring, wewe unazungumzia (mooring) ufungaji wa kamba katika meli.
Hiyo ya kusimika nguzo tunaita Single Point Mooring ambapo kwenye hiyo nguzo meli zaidi ya 1 zinaweza kufunga kamba.

Kingine jua hapo kigamboni ferry wakati wa maji kutoka kina kinapungua na ukijenga hizo nguzo ndani ya maji itakuwa ni uchafu maana kuna meli kubwa zina draft ya mita 9 mpaka 12. Hakuna Pilot au Captain atayekubali kuingiza meli sehemu ambayo ni hard navigation na ground clearance ni ndogo.

Pia kwa kutumia dakika 5 kufunga na kufunguka itakuwa kikwazo kwa bandari maana huo ni mlango wa pekee meli za abiria,tug,pilot boat, mooring boat, supply boat,navy ship, police boat, Tafiri boat na meli kubwa zinaingia na kutoka kila mara hiyo italeta kikwazo.
Mooring ni aina moja wapo ya ku-anchor kitu, ku-anchor simply namaanisha "Kujishikiza", na hizo anchor columns zitajrngwa ardhini kando ya bahari na sio kwenye maji. Pia pantoni huanza kujifungua well in advance kabla meli haijafika, kiasi ikifika inapitiliza bila waiting time.
 
Nakupongeza sana endelea kuwa na mawazo ya kutatua matatizo, wazo lako ni zuri kwa level yako hata hakina newton walianza hivyohivyo
 
Ni kwamba zinawekwa ferry tatu (3) tu ndefu na zenye milango mirefu ya kufunguka ambapo zinagusana mwanzo hadi mwisho na hivyo kutengeneza barabara inayoelea baharini.

Na ikitokea meli inataka kupita pantoni la katikayi linajikata na kupisha meli kisha inarudi mahala pake.

Picha hapo chini ina maelezo zaidi.

Hivi na wenzetu wanaojengewa daraja la Busisi kuunganisha Mwanza na Sengerema nao watakua wanalipia kama wakazi wa kigamboni? Maana kuishi kigamboni ni kama adhabu vile.. Mbona kilombero hawalipii? kusini hawalipii kupita daraja la Mkapa... nakubali kwamba kwa kua lilijengwa kwa PPM basi mwekezaji anahitaji kurudisha gharama zake.. Je mkataba ukoje? NSSF wataendelea kutoza tozo mpaka lini? mpaka sasa wameingiza kiasi gani? Kuna kibanda changu najenga kule ila kinatia uvivu sana hata kumalizia.. Nadhani wakazi wa Kigamboni wanaishi maisha ghali sana kutokana na tozo za kuvuka hasa kama una gari!
 
Naona Kenya wako mbio sana kutengeneza daraja la kuelea, wacha tushangae tu, haina jinsi
 
Watu wanaacha kujenga daraja Kigamboni wanaenda kujengaa Masakii kulee ni MATATIZO YA AKILI
 
Back
Top Bottom