Savimbi Jr
JF-Expert Member
- Sep 23, 2011
- 6,818
- 9,183
Good idea ni kama DIASPORA na idea yao ya kujenga daraja hadi Zanzibar,moja ya aina ya daraja ni ambalo linaelea kama hilo la kwako ulilodizaini.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ghafama ya hilo ni kubwa sana na kuna ufinyu wa nafasi, hili litafunguka kwa pantoni ya katikati kujikata na kupisha meli halafu meli ikishapita pantoni linarudi kuunga daraja.Mkuu wazo lako ni zuri ila hapo kama patatolewa pantoni basi pawekwe daraja la kufunga na kufunguka kama lile la London Tower Bridge nchini Uingereza ambalo litakuwa ni refu kwenda juu ili kuwe na air clearance kubwa kuruhusu meli kupita bila kizuizi au likifungwa meli zipite bila tatizo.
Endapo litajengwa daraja kama hilo ujenzi utabidi uanzie mbali ili kutafuta level pande zote za Kigamboni na Magogoni, Pia ni gharama kubwa sana na hii itakuwa ni mradi mkubwa kwetu.
Pantoni zinawashwa wakati wa kufanya hizo manouvres za kupisha meli tu. Pia stability italetwa na 'balast tanks' za chini ya pantoni ambazo huwa zinajazwa maji kwa kadri ya stability inavyohitaji.Mkuu hakuna haja ya kuweka pantoni 3. Kwa mchoro wako huo wa pantoni 3 kati ya pantoni moja na jingine kuna eneo la wazi kiusalama haitokuwa sahihi maana itaweza kuathiri stability ya chombo endapo juu kutakuwa na gari zinapita.
Hii ni kwa sababu pantoni chini litakuwa halina mzigo wowote na juu ndio kuna mzigo hapo Vertical Stability ya pantoni itakuwa dhaifu na kuhatarisha usalama.
Na kuhusu kutumia nanga(anchor) kuzuia pantoni zisisogee itakuwa ngumu, na kuhakikishia hata ukiweka nanga chombo bado kitazunguka hapo hapo (drift) kwa kuwa hapo kuna upepo na mkondo wa maji.
Kuzizuia pantoni 3 kisha meli ikitaka ipite zitoke na baadae pantoni zirudi teknolojia nyingine itabidi itumike na pantoni hazitoweza kuwa off. Lazima emergency generators ziwe zimewashwa maana nanga ili ipande na kushuka tutatumia umeme kusukuma chain.
Kitendo cha pantoni kujikata ili kuruhusi meli ipite kinachukua dakika chache sana na kinafanyika well in advance kabla hata meli haijafika hivyo hakuna ucheweleshaji wowoteNakuunga mkono kwa idea yako ila hapo kama kutotumia pantoni pawekwe open and closed tower brigde.
Hilo ni eneo la mlango wa bahari na ndio njia pekee ya kuingia bandari ya Dar. Meli inapoingia au kutoka inabidi isichelewe ili tuwe na Ship Turnaround ya kutumia muda mchache pale bandari na kufanya bandari yetu iwe inafanya kazi haraka kutokana na meli kutotumia muda mrefu.
Ni kwamba zinawekwa ferry tatu (3) tu ndefu na zenye milango mirefu ya kufunguka ambapo zinagusana mwanzo hadi mwisho na hivyo kutengeneza barabara inayoelea baharini.
Na ikitokea meli inataka kupita pantoni la katikayi linajikata na kupisha meli kisha inarudi mahala pake.
Picha hapo chini ina maelezo zaidi.
View attachment 1326086
Angalia ulivyo andikaKuandika, Kosoma na Kuhesabu bado ni tatizo kubwa kwa utawala uliopo madarakani. Ukiwapa idea mbadala kama hizi wanakuona umevuta bangi
Assuming pantoni zimeshaundwa tayari, siku tatu zinatosha kutrain manahodha namna ya kufanya hizo manouvres. Ndio nimeshafikiria namna ya kujrnga hizo achors na zitadumu hata miaka 100.Na hizo pantoni zitaundwa kwa siku tatu tu? Na hizo "anchor" za kuzuwia mkondo wa ferry pale umeshazifikiria zitakuwaje ili zizuwie hizo pantoni zisiyumbe na kwa muda gani?
Bora ungesema zitumike pantoni bridges za kijeshi, hata hizo nazo ni za muda tu si "permanent".
Solution rahisi na sahihi ya ferry ni tunnel tu lianzie mbali. Gharama kubwa lakini litadumu miaka mingi sana ijayo.
Hata ndege za mwanzoni hazikuwa salama sana, ila zimeboreshwa.
May be..
Bado magari yataendelea kulipia kama kawaida kwenye toll booth kabla ya kuvuka, hivyo mapato yao yatabaki pale paleHapo ndugu hata uende na idea ya cheap na efficient kiasi gani..HAIWEZEKANI
Kivuko cha Kigamboni ni chanzo kikubwa cha pesa kwa hawa jamaa...
Kuna mawazo mawili hapa ambayo yataweza tatua hili janga.
1. Underground tunnel - Gari zipite chini ya bahari kuruhusu traffic ya Meli bila bugudha yoyote...
2. Floating Bridge - Hii ni kama ulivyoelezea hapo juu, smart and cheap idea
Lakini hebu jiulize wale mbuzi wa pale Ferry wamekewa facilities ngapi ambazo wangeweza kuzitumia kupunguza matatizo yaliyopo sasa
1.Kero ya kutumia ticket za karatasi.
Huu upuuzi kwanza unasababisha uchafu, Pili usiombe siku una haraka zako alaf ukute hamna network...mtapanga foleni kama mnaenda kuchukua uji Bwalo la chakula.
SOLUTION: Kuna facility za kadi za malipo kwa NFC, hizi zikianza kutumika hii itabaki story
2. Misafara ya viongozi: Hapa uko haraka zako alaf kinakuja kivuko , badala ya kupanda nyie abilia zitaingia gari mbili au tatu za viongozi na kuondoka.
SOLUTION: Misafara yote isipokuwa gari za wagonjwa tu itumie daraja.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nadhani hujui kuwa ukizima injini maji yanasomba kivuko!Zinakuwa anchored na kamba au minyororo pantoni la kwana na la mwisho, katikati ile milango inajikamata kwa interlocking system, engine zinakuwa OFF!
Meli zinazokuwa anchored bandarini kwa muda wa hadi miezi miwili zikisubiri kuondoka, huwa zinawasha injini zake kwa muda wa miezi miwili? Nini maana ya 'anchoring' kwa uelewa wako?Nadhani hujui kuwa ukizima injini maji yanasomba kivuko!
Daraja la kufunga na kufunguka lina chukua dakika moja.Kitendo cha pantoni kujikata ili kuruhusi meli ipite kinachukua dakika chache sana na kinafanyika well in advance kabla hata meli haijafika hivyo hakuna ucheweleshaji wowote
Mkuu sio kila sehemu ya bandari au bahari unatakiwa kuweka anchor. Kuna maeneo maalumu yametengwa kwa mfano Dar es Salaam Port unatakiwa uweke nanga nje karibu na kile kisiwa kinaitwa Outer Mwakatumbe.Assuming pantoni zimeshaundwa tayari, siku tatu zinatosha kutrain manahodha namna ya kufanya hizo manouvres. Ndio nimeshafikiria namna ya kujrnga hizo achors na zitadumu hata miaka 100.
Kigamboni ferry na Kigongo Busisi ndio vyanzo vikuu vya mapato kwa Temesa. Vivuko vyote vilivyobaki maeneo mengine ni kama wanatoa huduma kwa jamii.Hapo ndugu hata uende na idea ya cheap na efficient kiasi gani..HAIWEZEKANI
Kivuko cha Kigamboni ni chanzo kikubwa cha pesa kwa hawa jamaa...
Kuna mawazo mawili hapa ambayo yataweza tatua hili janga.
1. Underground tunnel - Gari zipite chini ya bahari kuruhusu traffic ya Meli bila bugudha yoyote...
2. Floating Bridge - Hii ni kama ulivyoelezea hapo juu, smart and cheap idea
Lakini hebu jiulize wale mbuzi wa pale Ferry wamekewa facilities ngapi ambazo wangeweza kuzitumia kupunguza matatizo yaliyopo sasa
1.Kero ya kutumia ticket za karatasi.
Huu upuuzi kwanza unasababisha uchafu, Pili usiombe siku una haraka zako alaf ukute hamna network...mtapanga foleni kama mnaenda kuchukua uji Bwalo la chakula.
SOLUTION: Kuna facility za kadi za malipo kwa NFC, hizi zikianza kutumika hii itabaki story
2. Misafara ya viongozi: Hapa uko haraka zako alaf kinakuja kivuko , badala ya kupanda nyie abilia zitaingia gari mbili au tatu za viongozi na kuondoka.
SOLUTION: Misafara yote isipokuwa gari za wagonjwa tu itumie daraja.
Sent using Jamii Forums mobile app