TEMBO WANGU
JF-Expert Member
- Feb 21, 2014
- 930
- 1,290
Wakuu heshima kwenye,
Naamini mmestuka kidogo mkajua Uzi huu unafanana na Uzi wa Rikboy... hapana, hapa namaanisha NAMNA gani tunaweza kupata cement, nondo, tiles, mabati, fundi wa bei rahisi Ila anakazi nzurna vifaa vingine.
Kumbuka unapochangia zingatia kutoka location, na gharama, ikiwezekana na namba ya simu.
Nianze Mimi ukitaka tiles, nenda moja kwa moja kiwandani kule Mkuranga utaweza kutoka kutoka kiwandani... na utuziwa bei ya kiwanda kwa wachina. Je wewe mwenzetu unajua nini ili tusaidiane? Haya kama ni mikoani type direction ya duka bei rahisi.
Asanteni
Naamini mmestuka kidogo mkajua Uzi huu unafanana na Uzi wa Rikboy... hapana, hapa namaanisha NAMNA gani tunaweza kupata cement, nondo, tiles, mabati, fundi wa bei rahisi Ila anakazi nzurna vifaa vingine.
Kumbuka unapochangia zingatia kutoka location, na gharama, ikiwezekana na namba ya simu.
Nianze Mimi ukitaka tiles, nenda moja kwa moja kiwandani kule Mkuranga utaweza kutoka kutoka kiwandani... na utuziwa bei ya kiwanda kwa wachina. Je wewe mwenzetu unajua nini ili tusaidiane? Haya kama ni mikoani type direction ya duka bei rahisi.
Asanteni