kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 13,778
- 14,214
Uzalendo hauhubiriwi bali unajengeka wenyewe kwenye mioyo ya watu. How?
Elimu yetu.
1. Shule za msingi: darasa la kwanza, pili na tatu wanafunzi wajifunze TU kusoma, kuhesabu, kuandika na kuimba nyimbo mbalimbali kuhusu nchi yao ukiwemo wimbo wa taifa. Wajifunze kuichora ramani ya Nchi yao, bendara, wanyama wakubwa na kuyatambua makabila yote ya Nchi hii na mikoa yao. Darasa la nne na tano wafundishwe thamani ya mtanzania, haki za mtanzania, na ubaya wa rushwa, ufisadi, ugaidi, ukataji miti na utunzaji wa mazingira kwa lungha nyepesi kabisa. Darasa la sita na Saba wanafunzi wafundishwe sheria na adhabu za makosa mbalimbali hasa kwa Yale makosa ya kawaida kabisa kama kutukana, kupigana, kuiba, makosa kwenye ndoa, pia wafundishwe kwa kina kuhusu haki za binadamu na tunu za taifa.
2. Elimu ya Sekondari: Kwenye sekondari wanafunzi wa form one wasome Yale TU wanayotaka kuyasoma, yaani mtu asibebeshwe masomo ya Art na sayansi kwa wakati mmoja. Ufaulu kwenye mtihani wa darasa la Saba usaidie kuwapangia form one kwenye michepuo ya sayansi au art subjects. Na wote wafundishwe masomo ya lugha vizuri. Hii inasaidia watoto kuipenda shule na kuanza kuipenda taaluma Yao ijayo.
Elimu yetu.
1. Shule za msingi: darasa la kwanza, pili na tatu wanafunzi wajifunze TU kusoma, kuhesabu, kuandika na kuimba nyimbo mbalimbali kuhusu nchi yao ukiwemo wimbo wa taifa. Wajifunze kuichora ramani ya Nchi yao, bendara, wanyama wakubwa na kuyatambua makabila yote ya Nchi hii na mikoa yao. Darasa la nne na tano wafundishwe thamani ya mtanzania, haki za mtanzania, na ubaya wa rushwa, ufisadi, ugaidi, ukataji miti na utunzaji wa mazingira kwa lungha nyepesi kabisa. Darasa la sita na Saba wanafunzi wafundishwe sheria na adhabu za makosa mbalimbali hasa kwa Yale makosa ya kawaida kabisa kama kutukana, kupigana, kuiba, makosa kwenye ndoa, pia wafundishwe kwa kina kuhusu haki za binadamu na tunu za taifa.
2. Elimu ya Sekondari: Kwenye sekondari wanafunzi wa form one wasome Yale TU wanayotaka kuyasoma, yaani mtu asibebeshwe masomo ya Art na sayansi kwa wakati mmoja. Ufaulu kwenye mtihani wa darasa la Saba usaidie kuwapangia form one kwenye michepuo ya sayansi au art subjects. Na wote wafundishwe masomo ya lugha vizuri. Hii inasaidia watoto kuipenda shule na kuanza kuipenda taaluma Yao ijayo.