Qs Cathbert
Member
- Mar 20, 2023
- 57
- 100
Watu wengi tunafail ku accomplish ndoto zetu za kujenga au tunajenga na kushindwa kumaliza kwasababu tu ya kukosa plan nzuri ya gharama katika ujenzi
Stratergical way ya ku-win financial problem katika ujenzi ni kuwa na MATERIAL SCHEDULE ya jengo linalo jengwa,,, Material schedule ni document inayo classfy construction project material wise na labour. Katika kukuandalia material schedule nitakuainishia gharama za ujenzi basing on 5 main stages,,
1.Msingi (foundation)
Hapa utapata total amount ya msingi pamoja na mchanganuo wake wa material mwisho labour
2.Boma (Frames and walling)
Hapa utapata total cost ya Nguzo, Beam, Lintel kama zitakuepo pamoja na ukuta pia mchanganuo wake kama Cement, Nondo, mchanga, kotoko, tofali, formworks na all other materials plus Labour
3.Roof
Hapa pia utapata gharama zake na mchanganuo wa materials kama Bati, truss (mbao), nails plus labour
4. Doors and Windows
Sequence hii ndo ambayo itatumika hata katika execution ambapo katika stage hii huwa tunatanguliza grilles na gates
Hapa utapata cost zote pia na mchanganuo plus labour
5. FINISHINGS
Hapa utapata total cost yake ikiwa imegawanyika katka 3 phases Floor finishing, Wall finishing pamoja na Ceiling finishing. Pamoja na mchanganuo wake wa materials.
NB.Kufanikiwa kujua hio itakupa mwanzo mzuri wa kujiandaa nakufahamu unahitaji nini wakati gani.
Pia estimates hizi huwa zinadumu kwa kipind fulani cha muda, baada ya muda tena kama wa mwaka mmoja na kuendelea zinatakiwa kuwa updated tena ikisababishwa na kubadilika kwa gharama za materials n.k
Qs Cathbert Swai
Mob: 0625272770
Stratergical way ya ku-win financial problem katika ujenzi ni kuwa na MATERIAL SCHEDULE ya jengo linalo jengwa,,, Material schedule ni document inayo classfy construction project material wise na labour. Katika kukuandalia material schedule nitakuainishia gharama za ujenzi basing on 5 main stages,,
1.Msingi (foundation)
Hapa utapata total amount ya msingi pamoja na mchanganuo wake wa material mwisho labour
2.Boma (Frames and walling)
Hapa utapata total cost ya Nguzo, Beam, Lintel kama zitakuepo pamoja na ukuta pia mchanganuo wake kama Cement, Nondo, mchanga, kotoko, tofali, formworks na all other materials plus Labour
3.Roof
Hapa pia utapata gharama zake na mchanganuo wa materials kama Bati, truss (mbao), nails plus labour
4. Doors and Windows
Sequence hii ndo ambayo itatumika hata katika execution ambapo katika stage hii huwa tunatanguliza grilles na gates
Hapa utapata cost zote pia na mchanganuo plus labour
5. FINISHINGS
Hapa utapata total cost yake ikiwa imegawanyika katka 3 phases Floor finishing, Wall finishing pamoja na Ceiling finishing. Pamoja na mchanganuo wake wa materials.
NB.Kufanikiwa kujua hio itakupa mwanzo mzuri wa kujiandaa nakufahamu unahitaji nini wakati gani.
Pia estimates hizi huwa zinadumu kwa kipind fulani cha muda, baada ya muda tena kama wa mwaka mmoja na kuendelea zinatakiwa kuwa updated tena ikisababishwa na kubadilika kwa gharama za materials n.k
Qs Cathbert Swai
Mob: 0625272770