Namna ya kumfanya mpenzi wako wa kike akung'ang'anie

Namna ya kumfanya mpenzi wako wa kike akung'ang'anie

Wanaume Tutafute Hela.
Usipokuwa na hela ndio unataka kufanya mambo mengi yasiyo na tija.
-Utalamba kikojoleo
-Utalamba kinyeo
-Utasalitiwa na utamsamehe
-Utapewa Gono/Homa Ya Ini/U.T.I sugu na utakausha.

Niwakumbushe tu kuna vitu vinne havitosheki duniani mmojawapo mwanamke hatosheki na dudu.

Jipende.Jijali.
 
Wanaume Tutafute Hela.
Usipokuwa na hela ndio unataka kufanya mambo mengi yasiyo na tija.
-Utalamba kikojoleo
-Utalamba kinyeo
-Utasalitiwa na utamsamehe
-Utapewa Gono/Homa Ya Ini/U.T.I sugu na utakausha.

Niwakumbushe tu kuna vitu vinne havitosheki duniani mmojawapo mwanamke hatosheki na dudu.

Jipende.Jijali.
Tusubiri wabobezi wa mambo wanakuja kutoa ufafanuzi
 
Mapenzi ni kujitoa ufahamu ili kuteka hisia za mwenzako, na si kutoa pesa na kuvaa suti na tai tu.
Kwahiyo wewe haitafuti pesa. Bali unajifunza mapenzi ili upate mwanamke atakayekupa pesa za kutumia?

Maana huko ndo unapoelekea tofauti na mada yako.

You must know how to devise your time wisely.

Mwisho wa siku utazeeka kapuku.
 
Kwahiyo wewe haitafuti pesa. Bali unajifunza mapenzi ili upate mwanamke atakayekupa pesa za kutumia?

Maana huko ndo unapoelekea tofauti na mada yako.

You must know how to devise your time wisely.

Mwisho wa siku utazeeka kapuku.
Unajua haya maisha ukifikiria sana, mambo mengi ni ubatili.
Siku ya mwisho hutofukiwa na hizo hela wala majengo; ni wewe na kanguo kamoja tu ka bei nafuu.
Tujifunze kufurahisha nafsi pia, tusiwe watumwa wa kutafuta hela tu.​
 
Nani kakudanganya? Weee mpe hela tu. Mnunulie na kijigari, mfungulie na kikibiashara awe busy, hapo atadata
Hivi hata mkiachana anakuomba msamaha Mara kumikumi, Kama kajala alivyokuwa anaenda kuomba msamaha kwa konde walinzi walikuwa wanamrudisha maagizo kutoka kwa konde.
 
Unaanza kwa kufanya yafuatayo:-​
  • Tenga siku nzima ya wewe kuwa na mpenzi wako​
  • Tafuta sehemu yenye utulivu, iwe ni kwako au nyumba ya wageni n.k​
  • Tafuta mafuta kwa ajili ya masaji​
  • Mkiwa ndani, anza kumpapasa taratibu kwa hisia​
  • Baada ya hapo alale kifudi fudi (alalie tumbo), uanze kumchua (massage)​
  • Mkande mwili mzima kwa ustadi mkubwa; mgongoni, shingoni, kiunoni, makalio, na miguu.​
  • Mwambie ageuke alalie mgongo​
  • Anza tena kumchua mwili wote kwa ustadi​
  • Cheza na kifua chake kwa umakini; mikononi, tumboni, mapajani na miguuni​
  • Nenda pale kati anza kupachezea kwa ufundi mkubwa, mpaka aanze kupiga makelele; atataka apelekewe moto kwa sababu ataanza kuutafuta ukuni; ila usimpelekee moto kwa hatua hii.​
  • Amia tena kwenye kifua ,tumboni, mapajani, miguuni; utamuona anatetemeka na mapigo ya moyo kuwa juu.​
  • Rudi tena pale kati upachezee, mpaka afikie mwisho, kama ni wa maji yataruka mengi.​
  • Baada ya hapo ataanza kucheka na kuona aibu;​
  • Anza kumpelekea moto uwezavyo​
Ukifanikiwa kuyafanya hayo yote, siku zote atakuwa anakutafuta kwa huduma.

Tatizo wakati unamfanyia hayo yote anawaza kodi, hela ya kula, hela ya mchezo nk.
Hivyo hawezi kuenjoy labda atajikuta anasinzia tu
Mie naona hapo point ya kwanza ungeweka hela halafu point ya pili ukaweka hela nabya tatu hela
 
Unaanza kwa kufanya yafuatayo:-​
  • Tenga siku nzima ya wewe kuwa na mpenzi wako​
  • Tafuta sehemu yenye utulivu, iwe ni kwako au nyumba ya wageni n.k​
  • Tafuta mafuta kwa ajili ya masaji​
  • Mkiwa ndani, anza kumpapasa taratibu kwa hisia​
  • Baada ya hapo alale kifudi fudi (alalie tumbo), uanze kumchua (massage)​
  • Mkande mwili mzima kwa ustadi mkubwa; mgongoni, shingoni, kiunoni, makalio, na miguu.​
  • Mwambie ageuke alalie mgongo​
  • Anza tena kumchua mwili wote kwa ustadi​
  • Cheza na kifua chake kwa umakini; mikononi, tumboni, mapajani na miguuni​
  • Nenda pale kati anza kupachezea kwa ufundi mkubwa, mpaka aanze kupiga makelele; atataka apelekewe moto kwa sababu ataanza kuutafuta ukuni; ila usimpelekee moto kwa hatua hii.​
  • Amia tena kwenye kifua ,tumboni, mapajani, miguuni; utamuona anatetemeka na mapigo ya moyo kuwa juu.​
  • Rudi tena pale kati upachezee, mpaka afikie mwisho, kama ni wa maji yataruka mengi.​
  • Baada ya hapo ataanza kucheka na kuona aibu;​
  • Anza kumpelekea moto uwezavyo​
Ukifanikiwa kuyafanya hayo yote, siku zote atakuwa anakutafuta kwa huduma.

Inategemea .. kama una njuruku ama lah.
 
Hivi hata mkiachana anakuomba msamaha Mara kumikumi, Kama kajala alivyokuwa anaenda kuomba msamaha kwa konde walinzi walikuwa wanamrudisha maagizo kutoka kwa konde.
Wa hivyo, ujue njaa ndio inamsumbua
 
1. Kutenga siku nzima = No Mishe (No hela)
2. Chumba cha Wageni (Lodge) Tsh 35,000/= na Usafiri to and fro Tsh 20,000/=
3. Mafuta ya Masaji Tsh 5,000/=
4. Kula vizuri Tsh 15,000 kila mmoja, jumla Tsh 30,000/=
5. Kunywa vizuri Tsh 10,000 kila mmoja jumla Tsh 20,000/=

Jumla Kuu 110,000/= Tsh.

Ukifanya ivo kila wiki, kwa mwezi ni mara 4 inakuja 440,000/= Tsh

Kwa mwaka ni Tsh 5,280,000/=

Hii hela ukinunua bajaji mpya kila siku kwa hesabu ya elfu 30 kwa mwaka (siku 365) unapata Tsh 10,950,000/=

Na bado bajaji inaweza inadumu ata miaka 3 mbele.

Natania bwana, mtoa mada upo sahihi. Ukifanya ivo mademu hawakuachi.
[emoji2][emoji2][emoji2]
 
Tatizo wakati unamfanyia hayo yote anawaza kodi, hela ya kula, hela ya mchezo nk.
Hivyo hawezi kuenjoy labda atajikuta anasinzia tu
Mie naona hapo point ya kwanza ungeweka hela halafu point ya pili ukaweka hela nabya tatu hela
Wa namna hiyo, njaa itakuwa imewaathiri mpaka ubongo
 
Back
Top Bottom