Namna ya kuondoa sumu ya mwili asubuhi ( Detox)

Namna ya kuondoa sumu ya mwili asubuhi ( Detox)

Uzi mzuri sana boss, sema hujaqeka vipimo hapo kwenye mdalasini tangawizi na karafuu. Nasikia karafuu ukizidisha ina very serious side effects , watu siku hizi wanakunywa kwa wingi sana siku hizi wakiamini wanafufua nguvu za kiume na ku regulate diabetes, lakini bila kujua wanaweza wakawa wanajiletea matatizo makubwa baadae ya ini na figo.
 
Ishu ya Detox Ni utapeli Mkuu!
Mwili umekuwa designed through liver na Other Vital Organs kufanya Detoxification...

Ngoja Nijibu kama Jamiiforum😅😅😅

Tunachojua..
Mwili hutengeneza waste products (like free radicals)kutoka kwenye metabolism na process zingine ambazo ni crucial kwa ajili ya Kuendesha shughuli mbalimbali...


liver (ini) na kidneys (Figo) ndo ziko primarily responsible for detoxifying the body.

ambavyo ndo hu "filter" out toxins na waste products, Ambavyo ndo huwa eliminated through urine, feces,na sweat...

Mdalasini, Tangawizi na Karafuu alizotaja..
Ni mimea Yenye anti-inflammatory and antioxidant properties, zinaweza kusaidia Kwenye Afya ya Mwili ya Moja kwa Moja kama Anti inflamation na Antioxidant ni kama Kitunguu swaumu na Kitunguu maji tu..

Ile Scientifically hazina uwezo wa Kutoa sumu mwilini..
Ulichokijibu katika aya ya pili kutoka mwisho ndicho hasa ulipaswa kukieleza,hakukuwa na haja ya maelezo yale ya awali Daktari.Maana yake ni kwamba ili hizo organi ziendelee kufanya kazi yake kwa ufanisi maana yake kuna vyakula vyake ambacho miongoni mwake ni hivyo vilivyotajwa katika andiko la awali...!
Kila mfumo wa mwili una vyakula vyake vinavyosaidia utendaji wake uendelee kuwa mzuri na ndiyo maana tunasisitizwa tangu mwanzo habari ya mlo kamili na hata baada ya mwili kupungukiwa aina fulani ya vyakula baadhi ya mifumo ama organi huathirika katika kutenda kazi.
 
yaani hakuna watu matapeli na waongo kwenye haya mambo kama wasabato. watu wamenunua sana madawa yenu hayo, na wamechoka kudanganywa. ninyi semeni tu hicho ni chakula bora, ila acheni kuita dawa. hivi ni wangapi walipona na zile tantalila za dr. ndodi? kibona na wengine? kuna ndugu yangu alikuwa na pressure miaka mingi anakunywa vidonge, walimpa maunga ya kusaga ati ataacha vidonge, pressure clonic, almanusura wamuuwe, na wanauza garama mno, na vitabu vyao vinauzwa garama mno.

shida ni elen white, alikuwa vegetarian, analeta mambo mengi sana ili watu wawe vegetarian kama yeye. tajeni matunda gani mgonjwa wa ngoma atakula ili apone basi, wazee wa matunda na mbogamboga.
Kila jambo linafaa kwa wakati wake,hicho ndicho unatakiwa kuelewa.Kumbuka pia wapo waliotaka kufa wakaokolewa na kile unachokidharau.Yote huwa ni mipango ya Mungu na kifo ni fumbo.Unaweza kuwa na kila kitu hapa duniani na hata ukaenda kutibiwa India lakini kifo kikakufuata.Hosp watu wanakufa kila siku na madaktari pamoja na madawa yapo.Kwa hiyo usidharau sana kitu kupita kiasi!
By the way usitukane ukunga na uzazi ungalipo.
 
Mwili huzalisha sumu kutoka kwenye chakula unachokula , kugawanyika kwa chembe hai au chembe hai zinapokufa kutokana na umri. Sumu hii huitwa Free radicals ( reactive oxygen species).

Unapoamka asubuhi andaa hii recipe ambayo nakuwekea hapa;

CHEMSHA VIFUATAVYO,
Mdalasini, tangawizi , karafuu ( usiweke asali wala sukari) , majani 2-3 ya either mpera, mparachichi au stafeli. Chemsha kwa dakika 10 tu then acha ipoe kabla ya kuchuja , kamulia limao ili kuongeza ladha.

Tafiti zinaonyesha majani hayo yana Quercetin ambayo hushusha sukari hivyo kusaidia kupungua uzito, kurekebisha sukari kwa wenye kisukari ( alpha glucosidase inhibition) pia anti cancer mechanism( kuzuia saratani )anti oxidant and inhibitor of inflammation ( kupunguza kasi ya kuzeeka)
Fanya hii kuwa BREAKFAST kama unapunguza uzito.

Kula mlo wako kamili kuanzia saa 5 asubuhi ( hapa waweza kula 300g za wanga salama) , mlo wa pili saa moja usiku( hapa unaweza skip wanga).
Wanga salama ni nafaka nzima isiyosagwa wala kukobolewa au resistant starch( kiporo cha kiazi kitamu au cha wali...weka kwenye freezer kwa masaa 4 mpaka 8 then pasha , ndizi za kupika( green banana)

Zingatia hii utawasaidia na wengine.
Wakati mwingine nitaandika mitishamba yenye uwezo wa kufanya kazi ya kuondoa sumu.

Turejee edeni.
Mbona cjaona ukitaja mandazi .au hio ni chai tupu unatakiwa kunywa
 
Ulichokijibu katika aya ya pili kutoka mwisho ndicho hasa ulipaswa kukieleza,hakukuwa na haja ya maelezo yale ya awali Daktari.Maana yake ni kwamba ili hizo organi ziendelee kufanya kazi yake kwa ufanisi maana yake kuna vyakula vyake ambacho miongoni mwake ni hivyo vilivyotajwa katika andiko la awali...!
Kila mfumo wa mwili una vyakula vyake vinavyosaidia utendaji wake uendelee kuwa mzuri na ndiyo maana tunasisitizwa tangu mwanzo habari ya mlo kamili na hata baada ya mwili kupungukiwa aina fulani ya vyakula baadhi ya mifumo ama organi huathirika katika kutenda kazi.
Organ hizo hazihitaji hsta Kidogo hizo Vyakula Ili Viweze kufanya kazi Mkuu....

Ukitaka Tujadiliane niambie tutajadiliana Scientifically tukihusisha Physiology na Pathology ya Hizo Vital Organs..

So its Un-Neccessary.. Na mchango wake ni Negligible
 
Hyo unaandaaje?
Maji safi lita moja, then unachukua hizo spices na vipande vya matunda tajwa hapo kwenye picha, unakata vipande kama slice then unaweka ndani ya hayo maji safi, kisha funga vizuri na usiweke kwenye joto au jua.

Mfano ukiweka asubuhi, mchana unaweza kuanza kutumia/kunywa au ukiweka usiku basi asubuhi tumia kama kinywaji siyo dawa.
 
Hii ingemsaidia anayechukua nauli kwenye daladala.
Mimi asubuhi supu ya utumbo na ndizi mbili.
 
Mwili huzalisha sumu kutoka kwenye chakula unachokula , kugawanyika kwa chembe hai au chembe hai zinapokufa kutokana na umri. Sumu hii huitwa Free radicals ( reactive oxygen species).

Unapoamka asubuhi andaa hii recipe ambayo nakuwekea hapa;

CHEMSHA VIFUATAVYO,
Mdalasini, tangawizi , karafuu ( usiweke asali wala sukari) , majani 2-3 ya either mpera, mparachichi au stafeli. Chemsha kwa dakika 10 tu then acha ipoe kabla ya kuchuja , kamulia limao ili kuongeza ladha.

Tafiti zinaonyesha majani hayo yana Quercetin ambayo hushusha sukari hivyo kusaidia kupungua uzito, kurekebisha sukari kwa wenye kisukari ( alpha glucosidase inhibition) pia anti cancer mechanism( kuzuia saratani )anti oxidant and inhibitor of inflammation ( kupunguza kasi ya kuzeeka)
Fanya hii kuwa BREAKFAST kama unapunguza uzito.

Kula mlo wako kamili kuanzia saa 5 asubuhi ( hapa waweza kula 300g za wanga salama) , mlo wa pili saa moja usiku( hapa unaweza skip wanga).
Wanga salama ni nafaka nzima isiyosagwa wala kukobolewa au resistant starch( kiporo cha kiazi kitamu au cha wali...weka kwenye freezer kwa masaa 4 mpaka 8 then pasha , ndizi za kupika( green banana)

Zingatia hii utawasaidia na wengine.
Wakati mwingine nitaandika mitishamba yenye uwezo wa kufanya kazi ya kuondoa sumu.

Turejee edeni.
Unaruhusiwa kunywa bia nne pamoja na mchanganyo huo?
 
Organ hizo hazihitaji hsta Kidogo hizo Vyakula Ili Viweze kufanya kazi Mkuu....

Ukitaka Tujadiliane niambie tutajadiliana Scientifically tukihusisha Physiology na Pathology ya Hizo Vital Organs..

So its Un-Neccessary.. Na mchango wake ni Negligib

Organ hizo hazihitaji hsta Kidogo hizo Vyakula Ili Viweze kufanya kazi Mkuu....

Ukitaka Tujadiliane niambie tutajadiliana Scientifically tukihusisha Physiology na Pathology ya Hizo Vital Organs..

So its Un-Neccessary.. Na mchango wake ni Negligible
Heshima yako ndugu yangu: Salaam sana.
Sumu ya mwili ki sayansi hujulikana kama " Free radicals"
Chembe hai za mwili huvunja vunja chakula tunachokula ili kupata NISHATI lakini pia ili kuendeleza uhai wa mwili.
Uchakataji huo wa chakula husaidiwa na hewa ya oksijeni tunayoivuta ndani kwa njia ya pua. Naweza kusema kwa lugha nyepesi kwamba hewa ya oksijeni ni RUNGU la kuvunja vunja chakula tunachokula.
Pamoja na umuhimu huo wa hewa ya oksijeni, baada ya tukio la kuvunja chakula hewa hii nayo huvunjika katika vipande vipande. Vipande hivi huitwa Free radicals( mfano hydrogen peroxide, reactive oxygen species, superoxide).

Uzalishaji wa free radicals huongezeka kadri umri unavyosonga, mtu anapokuwa na msongo wa mawazo au stress, ulaji mbaya wa vyakula , kutofanya mazoezi( Zingatia sana hapa)

Free radicals hizi( vipande vya hewa ya oksijeni) vinaweza kushambulia kinasaba cha chembe hai (DNA) na kusababisha saratani , pia vyaweza kushambulia ute wa nje wa chembe hai ( cell membrane...membrane peroxidation) na kuharakisha mwili kuzeeka, magonjwa ya kisukari endapo kongosho litashambuliwa, magonjwa ya moyo, ubongo( dementia, ugonjwa wa kusahau) nk.

NASISITIZA TENA HIVI;
Unapoamka asubuhi kunywa kinywaji chenye vitamin C na ukijani. ..mfano , limau , mdalasini, iriki , tangawizi , beetroot , babyspinach smoothie, tango smoothie, smoothie ya mchicha wa kienyeji, mbegu zenye zinc nyingi kama za maboga nk. kunywa ukiwa na empty stomach( nitaelezea siku nyingine). Usiweke sukari.
Njia nyingine ya kuondoa sumu hizi ni mazoezi ya wastani( moderate exercise) na kulala vizuri. Hapa mazoezi makali( strenuous exercise) nayo huzalisha sumu ( cytokines like interleukin 6).
So fanya mazoezi ya wastani.

Kwa leo nikomee hapa.Kama umejiandaa kujifunza utanielewa,vinginevyo asubuhi njema!!
 
Heshima yako ndugu yangu: Salaam sana.
Sumu ya mwili ki sayansi hujulikana kama " Free radicals"
Chembe hai za mwili huvunja vunja chakula tunachokula ili kupata NISHATI lakini pia ili kuendeleza uhai wa mwili.
Uchakataji huo wa chakula husaidiwa na hewa ya oksijeni tunayoivuta ndani kwa njia ya pua. Naweza kusema kwa lugha nyepesi kwamba hewa ya oksijeni ni RUNGU la kuvunja vunja chakula tunachokula.
Pamoja na umuhimu huo wa hewa ya oksijeni, baada ya tukio la kuvunja chakula hewa hii nayo huvunjika katika vipande vipande. Vipande hivi huitwa Free radicals( mfano hydrogen peroxide, reactive oxygen species, superoxide).

Uzalishaji wa free radicals huongezeka kadri umri unavyosonga, mtu anapokuwa na msongo wa mawazo au stress, ulaji mbaya wa vyakula , kutofanya mazoezi( Zingatia sana hapa)

Free radicals hizi( vipande vya hewa ya oksijeni) vinaweza kushambulia kinasaba cha chembe hai (DNA) na kusababisha saratani , pia vyaweza kushambulia ute wa nje wa chembe hai ( cell membrane...membrane peroxidation) na kuharakisha mwili kuzeeka, magonjwa ya kisukari endapo kongosho litashambuliwa, magonjwa ya moyo, ubongo( dementia, ugonjwa wa kusahau) nk.

NASISITIZA TENA HIVI;
Unapoamka asubuhi kunywa kinywaji chenye vitamin C na ukijani. ..mfano , limau , mdalasini, iriki , tangawizi , beetroot , babyspinach smoothie, tango smoothie, smoothie ya mchicha wa kienyeji, mbegu zenye zinc nyingi kama za maboga nk. kunywa ukiwa na empty stomach( nitaelezea siku nyingine). Usiweke sukari.
Njia nyingine ya kuondoa sumu hizi ni mazoezi ya wastani( moderate exercise) na kulala vizuri. Hapa mazoezi makali( strenuous exercise) nayo huzalisha sumu ( cytokines like interleukin 6).
So fanya mazoezi ya wastani.

Kwa leo nikomee hapa.Kama umejiandaa kujifunza utanielewa,vinginevyo asubuhi njema!!
Kuhusu Free Radical Even a Junior Doctor anaweza kuelezea Physiology yake hata hiyo Metabolism uliyoielezea..

Concern Yangu Hivyo Ulivyovitaja nataka Unipe Connection inayohusika na kuondoa Sumu hizo..
Anatomically na ukiweza sana Physiologically kwa maelezo mazuri..

lets Discuss this Intellectually!
 
Maji safi lita moja, then unachukua hizo spices na vipande vya matunda tajwa hapo kwenye picha, unakata vipande kama slice then unaweka ndani ya hayo maji safi, kisha funga vizuri na usiweke kwenye joto au jua.

Mfano ukiweka asubuhi, mchana unaweza kuanza kutumia/kunywa au ukiweka usiku basi asubuhi tumia kama kinywaji siyo dawa.
Thanx...
 
Back
Top Bottom