Namna ya kuongeza nguvu za kiume kwa njia ya matunda

return of cs

Senior Member
Joined
Jul 11, 2015
Posts
130
Reaction score
23
Utumiapo malimao ma2; carote2; tangawizi2; Na vitunguu swaumu viwili ukavisaga kwa pamoja kwnye blenda na kuhakiksha zinatoka glass 3 then unywe mara 3 kwa siku kwa muda wa siku tatu. Kufanya hivyo utafankiwa kuongeza nguvu za uume wako kufanikiwa kwenda umbali mrefu zaidi.

NB: Hiyo juice ikilala usiitumie tena pia ukifankiwa kupata mzizi wa mti uitwao lisubata ukachemsha na kuchanganya na hiyo juice itakua bora zaidi, ukikosa pia usifadhaike fanya kama nilivoelekeza juu utafanikiwa100%.
Pia kwa huo muda wa siku3 hutakiwi kufanya ngono.
 
Iyo tabibu nzr jaman kwa wale wenzangu na mie... Kimoko tyu mara mtu chaliiiii!
 
Tusaidie na jinsi ya kupunguza nguvu za kiume.si wengine zinatutesa maana Mimi nikiwa na demu huwa napenda Nipige kama masaa nne hivi sa gafla utasikia analalamika baby hjamaliza na wakati mi ndo kwaanzaa naanza.yani akija geto ndo harudi tena mpaka ntafute mwingine
 

Piga nyto sana kwa kutwa mara 3, itakusaidia
 
Hahaaa nyeto haipunguzi aisee mi nishajaribu kupunguza naona ndio zinazidi tena nyeto inakufanya unapiga hata lisaa hujafika mwisho
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…