mito
JF-Expert Member
- Jun 20, 2011
- 10,682
- 10,801
Vipi kaka yangu nawe una hilo yatizo?
Khaa umeishanibamba tayari!!! mi niko poa tu sista, watu hawajitunzi ndo maana, au usikute sijijui tu, hebu uje unipelezee kwa wifi yako basi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vipi kaka yangu nawe una hilo yatizo?
Sijui wabongo wanakula nini😀😀
Huo mzizi ni kwa kilugha au
Utumiapo malimao ma2; carote2; tangawizi2; Na vitunguu swaumu viwili ukavisaga kwa pamoja kwnye blenda na kuhakiksha zinatoka glass 3 then unywe mara 3 kwa siku kwa muda wa siku tatu. Kufanya hivyo utafankiwa kuongeza nguvu za uume wako kufanikiwa kwenda umbali mrefu zaidi.
NB: Hiyo juice ikilala usiitumie tena pia ukifankiwa kupata mzizi wa mti uitwao lisubata ukachemsha na kuchanganya na hiyo juice itakua bora zaidi, ukikosa pia usifadhaike fanya kama nilivoelekeza juu utafanikiwa100%.
Pia kwa huo muda wa siku3 hutakiwi kufanya ngono.
vp hio juice haisaidii upungufu wa nguvu za kike?
1.Njia nyingine simple brend vitunguu maji na Tangawizi then chuja kwenye glasi na weka asali..thanks me later
2.Tafuna vitunguu swaumu pamoja na asali mdomoni then kula na ndizi mbivu .after few hours kama ilikuwa imelala utaona imepata moto.thanks me later
3.brend tikiti maji pamoja na vitunguu swaumu na tangawizi...hiyo juice ni balaa.
Note : unavobrend weka maji kiasi na uwiano mzuri wa hizo items.
1.Njia nyingine simple brend vitunguu maji na Tangawizi then chuja kwenye glasi na weka asali..thanks me later
2.Tafuna vitunguu swaumu pamoja na asali mdomoni then kula na ndizi mbivu .after few hours kama ilikuwa imelala utaona imepata moto.thanks me later
3.brend tikiti maji pamoja na vitunguu swaumu na tangawizi...hiyo juice ni balaa.
Note : unavobrend weka maji kiasi na uwiano mzuri wa hizo items.
Utumiapo malimao ma2; carote2; tangawizi2; Na vitunguu swaumu viwili ukavisaga kwa pamoja kwnye blenda na kuhakiksha zinatoka glass 3 then unywe mara 3 kwa siku kwa muda wa siku tatu. Kufanya hivyo utafankiwa kuongeza nguvu za uume wako kufanikiwa kwenda umbali mrefu zaidi.
NB: Hiyo juice ikilala usiitumie tena pia ukifankiwa kupata mzizi wa mti uitwao lisubata ukachemsha na kuchanganya na hiyo juice itakua bora zaidi, ukikosa pia usifadhaike fanya kama nilivoelekeza juu utafanikiwa100%.
Pia kwa huo muda wa siku3 hutakiwi kufanya ngono.
huo mti Lisubata kwa lugha ya kiswahili unaitwaje? nikitaka kwenda kwenye maduka ya dawa asili hapa Dar watalielewa hilo jina?
1.Njia nyingine simple brend vitunguu maji na Tangawizi then chuja kwenye glasi na weka asali..thanks me later
2.Tafuna vitunguu swaumu pamoja na asali mdomoni then kula na ndizi mbivu .after few hours kama ilikuwa imelala utaona imepata moto.thanks me later
3.brend tikiti maji pamoja na vitunguu swaumu na tangawizi...hiyo juice ni balaa.
Note : unavobrend weka maji kiasi na uwiano mzuri wa hizo items.
Nguvu za kiume ni tatizo sababu kila mmoja anaweza kutoa tiba hata bila kuzingatia kiasi.
Mtu akinywa huu mchanganyiko kama ana vidonda vya tumbo atajuata.
Inatakiwa mizizi mkuu mizizi mibichi.
Unaichemsha.