Namna ya kuongeza nguvu za kiume kwa njia ya matunda

Namna ya kuongeza nguvu za kiume kwa njia ya matunda

Vipi kaka yangu nawe una hilo yatizo?

Khaa umeishanibamba tayari!!! mi niko poa tu sista, watu hawajitunzi ndo maana, au usikute sijijui tu, hebu uje unipelezee kwa wifi yako basi
 
Utumiapo malimao ma2; carote2; tangawizi2; Na vitunguu swaumu viwili ukavisaga kwa pamoja kwnye blenda na kuhakiksha zinatoka glass 3 then unywe mara 3 kwa siku kwa muda wa siku tatu. Kufanya hivyo utafankiwa kuongeza nguvu za uume wako kufanikiwa kwenda umbali mrefu zaidi.

NB: Hiyo juice ikilala usiitumie tena pia ukifankiwa kupata mzizi wa mti uitwao lisubata ukachemsha na kuchanganya na hiyo juice itakua bora zaidi, ukikosa pia usifadhaike fanya kama nilivoelekeza juu utafanikiwa100%.
Pia kwa huo muda wa siku3 hutakiwi kufanya ngono.

dawa inaonekana vizuri ila vipimo vinachanganya mkuu, eg swaumu ,karot,tangawizi ukubwa wa kiasi gan?,,
 
mi naona unafanya matangazo ya biashara yako tu
 
Wakuu kuna mtu anasumbuliwa sana na kisukari kwa mwenye kujuwa dawa ya kweli inahitajika.
 
  • Thanks
Reactions: fix
1.Njia nyingine simple brend vitunguu maji na Tangawizi then chuja kwenye glasi na weka asali..thanks me later

2.Tafuna vitunguu swaumu pamoja na asali mdomoni then kula na ndizi mbivu .after few hours kama ilikuwa imelala utaona imepata moto.thanks me later

3.brend tikiti maji pamoja na vitunguu swaumu na tangawizi...hiyo juice ni balaa.

Note : unavobrend weka maji kiasi na uwiano mzuri wa hizo items.
 
1.Njia nyingine simple brend vitunguu maji na Tangawizi then chuja kwenye glasi na weka asali..thanks me later

2.Tafuna vitunguu swaumu pamoja na asali mdomoni then kula na ndizi mbivu .after few hours kama ilikuwa imelala utaona imepata moto.thanks me later

3.brend tikiti maji pamoja na vitunguu swaumu na tangawizi...hiyo juice ni balaa.

Note : unavobrend weka maji kiasi na uwiano mzuri wa hizo items.

Mkuu maji unaweka kwenye namba 1 tu au na hii ya tikiti pia?
 
1.Njia nyingine simple brend vitunguu maji na Tangawizi then chuja kwenye glasi na weka asali..thanks me later

2.Tafuna vitunguu swaumu pamoja na asali mdomoni then kula na ndizi mbivu .after few hours kama ilikuwa imelala utaona imepata moto.thanks me later

3.brend tikiti maji pamoja na vitunguu swaumu na tangawizi...hiyo juice ni balaa.

Note : unavobrend weka maji kiasi na uwiano mzuri wa hizo items.

pia kama unaweza kutupa makisio ya viwango vya vitunguu maji na vitunguu swaumu katika hayo matumizi ikiwa una lengo la kupata matumizi ya glass moja.

Na je hii ni ya matumizi ya kila siku ama?
 
Utumiapo malimao ma2; carote2; tangawizi2; Na vitunguu swaumu viwili ukavisaga kwa pamoja kwnye blenda na kuhakiksha zinatoka glass 3 then unywe mara 3 kwa siku kwa muda wa siku tatu. Kufanya hivyo utafankiwa kuongeza nguvu za uume wako kufanikiwa kwenda umbali mrefu zaidi.

NB: Hiyo juice ikilala usiitumie tena pia ukifankiwa kupata mzizi wa mti uitwao lisubata ukachemsha na kuchanganya na hiyo juice itakua bora zaidi, ukikosa pia usifadhaike fanya kama nilivoelekeza juu utafanikiwa100%.
Pia kwa huo muda wa siku3 hutakiwi kufanya ngono.

huo mti Lisubata kwa lugha ya kiswahili unaitwaje? nikitaka kwenda kwenye maduka ya dawa asili hapa Dar watalielewa hilo jina?
 
1.Njia nyingine simple brend vitunguu maji na Tangawizi then chuja kwenye glasi na weka asali..thanks me later

2.Tafuna vitunguu swaumu pamoja na asali mdomoni then kula na ndizi mbivu .after few hours kama ilikuwa imelala utaona imepata moto.thanks me later

3.brend tikiti maji pamoja na vitunguu swaumu na tangawizi...hiyo juice ni balaa.

Note : unavobrend weka maji kiasi na uwiano mzuri wa hizo items.

Matibabu uliyoandika wewe ni kwaajili ya kuboost uume kwa siku mbili.

Lakini sio tiba ya kudumu

Mwenzio anazungumzia Dawa ya kudumu.
Mishipa ya Uume kukaza.
Kujisikia Hamu ya tendo la ndoa.
Uume kuwa Mkubwa.
Kuchelewa kumwaga wazungu.
Na kupiga Round hadi tatu
 
Nguvu za kiume ni tatizo sababu kila mmoja anaweza kutoa tiba hata bila kuzingatia kiasi.
Mtu akinywa huu mchanganyiko kama ana vidonda vya tumbo atajuata.
 
Nguvu za kiume ni tatizo sababu kila mmoja anaweza kutoa tiba hata bila kuzingatia kiasi.
Mtu akinywa huu mchanganyiko kama ana vidonda vya tumbo atajuata.

Usitishie watu kaka.

Tafuta faida za Tangawizi
Tafuta faida za vitunguu swaumu.

Ant-infrimantory
 
Back
Top Bottom