Namna ya kuongeza nguvu za kiume kwa njia ya matunda

Namna ya kuongeza nguvu za kiume kwa njia ya matunda

Matibabu uliyoandika wewe ni kwaajili ya kuboost uume kwa siku mbili.

Lakini sio tiba ya kudumu

Mwenzio anazungumzia Dawa ya kudumu.
Mishipa ya Uume kukaza.
Kujisikia Hamu ya tendo la ndoa.
Uume kuwa Mkubwa.
Kuchelewa kumwaga wazungu.
Na kupiga Round hadi tatu

mkuu wewe umejaribu hiyo dawa?
 
naweza pata picha ya huo mti mkuu?

Huo mti unapatikana sana kanda ya ziwa.

Mikoa ya Mwanza , Geita na Shinyanga mti unaota kila pahala.

Kama una watu hiyo mikoa (wasukuma) watakusaidia ugapata kwa haraka sana
 
Back
Top Bottom