Namna ya kupata furaha ya kudumu

Namna ya kupata furaha ya kudumu

all about

Member
Joined
May 28, 2022
Posts
69
Reaction score
103
☺️☺️☺️☺️☺️Let’s go☺️☺️☺️☺️☺️

1. Kwanza kabisa furaha unaweza ukaitengeneza wew mwenyew, ivo furaha ni chaguo. Unaweza kuchagua kuwa na furaha, hata unapokabiliwa na changamoto.😊

2. Furaha si kuhusu kuwa na kila kitu unachotaka. Ni kuhusu kutaka kile ulicho nacho.☺️

3. Furaha si kuhusu kuwa mkamilifu. Ni kuhusu kujikubali mwenyewe jinsi ulivyo.😊

4. Furaha si kuhusu kujilinganisha na wengine. Ni kuhusu kuzingatia safari yako mwenyewe ya maisha.😊

5. Kuna hawa wanaosema pesa ni sabuni ya roho kuwa makini sana na hawa watu huishiaga pabaya. ☹️ Furaha si kuhusu mali za kimwili. Ni kuhusu kupata furaha katika vitu vidogo.
Pesa pekee sio chanzo cha furaha.

6. Sasa haimaanishi kwamba uanze kucheka cheka mda wote ka chizi. Kwanza kabisa furaha hujengwa na "confidence" pia uwe na uwezo wa kukabiliana na changamoto za maisha, hata maisha yakiwa magumu haupati depression bari unakuwa na uwezo wa kutafuta njia za kujikwamua.😊

7. Jichanganye na wenzako huwezi kuwa mbinafsi na mtu kuwa peke yako kisha uka expect furaha. Jitahidi kuhusiana na wengine.☺️

8. Ifanye furaha kuwa ndio safari ya maisha yako, usiamini kwamba eti "siku moja nikuja tu kuwa na furaha" ilo sahau☹️

SASA KWAKUA NAKUPENDA NAKUONGEZEA POINT ZINGINE HIZI 7:

1. Fanya mazoezi ya shukrani: Tenga muda kila siku kuthamini mambo mazuri maishani mwako.

2.Tumia muda na wapendao kwa Kuungana na watu unaowajali ni njia nzuri ya kuongeza furaha yako.

3. Fanya vitu unavyofurahia: Panga muda kwa shughuli zinazokufurahisha, iwe ni kusoma, kutumia muda nje, au kucheza michezo.

4. Saidia wengine: Kusaidia wengine ni njia nzuri ya kujisikia vizuri juu yako mwenyewe na kutoa tofauti kwa wengine.

5. Jitunze mwenyewe: Hakikisha unapata usingizi wa kutosha, kula vyakula vya afya, na kufanya mazoezi kwa ukawaida.

6. Kuwa makini: Zingatia wakati uliopo na uthamini kile kidogo unachopata.

7. Acha kuwa na mawazo hasi: Kung'ang'ania mawazo na hisia hasi kunaweza kukulemea. Jifunze kuachilia yasiyokuwa na maana au faida kwako na kuzingatia yaliyo chanya.

Furaha ni safari, si marudio. Ni kitu ambacho unapaswa kufanyia kazi kila siku. Lakini kupitia hizi poit nilizokupa, unaweza kuongeza furaha yako na kuishi maisha yenye kuridhisha zaidi.

KAMA UMEIPENDA THREAD GONGA LIKE👍
 
☺️☺️☺️☺️☺️Let’s go☺️☺️☺️☺️☺️

1. Kwanza kabisa furaha unaweza ukaitengeneza wew mwenyew, ivo furaha ni chaguo. Unaweza kuchagua kuwa na furaha, hata unapokabiliwa na changamoto.😊

2. Furaha si kuhusu kuwa na kila kitu unachotaka. Ni kuhusu kutaka kile ulicho nacho.☺️

3. Furaha si kuhusu kuwa mkamilifu. Ni kuhusu kujikubali mwenyewe jinsi ulivyo.😊

4. Furaha si kuhusu kujilinganisha na wengine. Ni kuhusu kuzingatia safari yako mwenyewe ya maisha.😊

5. Kuna hawa wanaosema pesa ni sabuni ya roho kuwa makini sana na hawa watu huishiaga pabaya. ☹️ Furaha si kuhusu mali za kimwili. Ni kuhusu kupata furaha katika vitu vidogo.
Pesa pekee sio chanzo cha furaha.

6. Sasa haimaanishi kwamba uanze kucheka cheka mda wote ka chizi. Kwanza kabisa furaha hujengwa na "confidence" pia uwe na uwezo wa kukabiliana na changamoto za maisha, hata maisha yakiwa magumu haupati depression bari unakuwa na uwezo wa kutafuta njia za kujikwamua.😊

7. Jichanganye na wenzako huwezi kuwa mbinafsi na mtu kuwa peke yako kisha uka expect furaha. Jitahidi kuhusiana na wengine.☺️

8. Ifanye furaha kuwa ndio safari ya maisha yako, usiamini kwamba eti "siku moja nikuja tu kuwa na furaha" ilo sahau☹️

SASA KWAKUA NAKUPENDA NAKUONGEZEA POINT ZINGINE HIZI 7:

1. Fanya mazoezi ya shukrani: Tenga muda kila siku kuthamini mambo mazuri maishani mwako.

2.Tumia muda na wapendao kwa Kuungana na watu unaowajali ni njia nzuri ya kuongeza furaha yako.

3. Fanya vitu unavyofurahia: Panga muda kwa shughuli zinazokufurahisha, iwe ni kusoma, kutumia muda nje, au kucheza michezo.

4. Saidia wengine: Kusaidia wengine ni njia nzuri ya kujisikia vizuri juu yako mwenyewe na kutoa tofauti kwa wengine.

5. Jitunze mwenyewe: Hakikisha unapata usingizi wa kutosha, kula vyakula vya afya, na kufanya mazoezi kwa ukawaida.

6. Kuwa makini: Zingatia wakati uliopo na uthamini kile kidogo unachopata.

7. Acha kuwa na mawazo hasi: Kung'ang'ania mawazo na hisia hasi kunaweza kukulemea. Jifunze kuachilia yasiyokuwa na maana au faida kwako na kuzingatia yaliyo chanya.

Furaha ni safari, si marudio. Ni kitu ambacho unapaswa kufanyia kazi kila siku. Lakini kupitia hizi poit nilizokupa, unaweza kuongeza furaha yako na kuishi maisha yenye kuridhisha zaidi.

KAMA UMEIPENDA THREAD GONGA LIKE👍
Huo ndio ujinga wanaofundishwa waathirika Ili wawe wanacheka Kila mara Ili kusahau uhalisia!!

Hivi unakijua kikotoo wewe!!?halafu Bado hujajenga na unasomesha watoto Bado na na huna uhakika kama watapata ajira!!?

Namna pekee binadamu anaweza PATA furaha ni wakati amelala usingizi !lakini akifumbua macho gem linaanzia hapo hapo!!
 
Huo ndio ujinga wanaofundishwa waathirika Ili wawe wanacheka Kila mara Ili kusahau uhalisia!!

Hivi unakijua kikotoo wewe!!?halafu Bado hujajenga na unasomesha watoto Bado na na huna uhakika kama watapata ajira!!?

Namna pekee binadamu anaweza PATA furaha ni wakati amelala usingizi !lakini akifumbua macho gem linaanzia hapo hapo!!
Matatizo yapo na ndio hizo tunazoita changamoto za maisha na bila hizo huwezi kuwa na morality ya kujituma na kutafuta pesa kwa bidii, ila furaha ndio mwarobaini wa kutatua hizo chamoto kwanza utakuwa na confidence pia utaepusha depression, na kujituma zaidi kupambania maisha
 
Furaha ni wewe mwenyewe, ukiamua ufuahi ni ww, haijalishi uko mazingira gani, kuna watu wana life gumu wanaenjoy, kuna watu siku zao za kuishi waishaambiwa kwa maradhi yao wana miezi mi3 tu lakini bado wanaenjoy.
 
Kuna tafiti nyingi zinaonesha kupata ngono mara kwa mara ni chanzo cha hisia za furaha na ukamilifu kwa wanaume.
 
Furaha ni wewe mwenyewe, ukiamua ufuahi ni ww, haijalishi uko mazingira gani, kuna watu wana life gumu wanaenjoy, kuna watu siku zao za kuishi waishaambiwa kwa maradhi yao wana miezi mi3 tu lakini bado wanaenjoy.
👍🤝
 
Back
Top Bottom