mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 20,704
- 66,337
Naonaga tu kwenye video za YouTube, ila;Ungeweka hapa tufaidike wote
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naonaga tu kwenye video za YouTube, ila;Ungeweka hapa tufaidike wote
Naonaga tu kwenye video za YouTube, ila;ila
Ila hizi ni researches huenda ni kweli au sio kweliNaonaga tu kwenye video za YouTube, ila;
View attachment 2992783
Vizuri sana!☺️☺️☺️☺️☺️Let’s go☺️☺️☺️☺️☺️
1. Kwanza kabisa furaha unaweza ukaitengeneza wew mwenyew, ivo furaha ni chaguo. Unaweza kuchagua kuwa na furaha, hata unapokabiliwa na changamoto.😊
2. Furaha si kuhusu kuwa na kila kitu unachotaka. Ni kuhusu kutaka kile ulicho nacho.☺️
3. Furaha si kuhusu kuwa mkamilifu. Ni kuhusu kujikubali mwenyewe jinsi ulivyo.😊
4. Furaha si kuhusu kujilinganisha na wengine. Ni kuhusu kuzingatia safari yako mwenyewe ya maisha.😊
5. Kuna hawa wanaosema pesa ni sabuni ya roho kuwa makini sana na hawa watu huishiaga pabaya. ☹️ Furaha si kuhusu mali za kimwili. Ni kuhusu kupata furaha katika vitu vidogo.
Pesa pekee sio chanzo cha furaha.
6. Sasa haimaanishi kwamba uanze kucheka cheka mda wote ka chizi. Kwanza kabisa furaha hujengwa na "confidence" pia uwe na uwezo wa kukabiliana na changamoto za maisha, hata maisha yakiwa magumu haupati depression bari unakuwa na uwezo wa kutafuta njia za kujikwamua.😊
7. Jichanganye na wenzako huwezi kuwa mbinafsi na mtu kuwa peke yako kisha uka expect furaha. Jitahidi kuhusiana na wengine.☺️
8. Ifanye furaha kuwa ndio safari ya maisha yako, usiamini kwamba eti "siku moja nikuja tu kuwa na furaha" ilo sahau☹️
SASA KWAKUA NAKUPENDA NAKUONGEZEA POINT ZINGINE HIZI 7:
1. Fanya mazoezi ya shukrani: Tenga muda kila siku kuthamini mambo mazuri maishani mwako.
2.Tumia muda na wapendao kwa Kuungana na watu unaowajali ni njia nzuri ya kuongeza furaha yako.
3. Fanya vitu unavyofurahia: Panga muda kwa shughuli zinazokufurahisha, iwe ni kusoma, kutumia muda nje, au kucheza michezo.
4. Saidia wengine: Kusaidia wengine ni njia nzuri ya kujisikia vizuri juu yako mwenyewe na kutoa tofauti kwa wengine.
5. Jitunze mwenyewe: Hakikisha unapata usingizi wa kutosha, kula vyakula vya afya, na kufanya mazoezi kwa ukawaida.
6. Kuwa makini: Zingatia wakati uliopo na uthamini kile kidogo unachopata.
7. Acha kuwa na mawazo hasi: Kung'ang'ania mawazo na hisia hasi kunaweza kukulemea. Jifunze kuachilia yasiyokuwa na maana au faida kwako na kuzingatia yaliyo chanya.
Furaha ni safari, si marudio. Ni kitu ambacho unapaswa kufanyia kazi kila siku. Lakini kupitia hizi poit nilizokupa, unaweza kuongeza furaha yako na kuishi maisha yenye kuridhisha zaidi.
KAMA UMEIPENDA THREAD GONGA LIKE👍
Duh! Lakini hata ukiwa usingizini, bado ile mindoto mingine ni balaa. Mtifuano (game) lipo hadi huko. Ukiamka unashukuru na unasema dah! afadhali aisee, ni nafuu hili la huku.Huo ndio ujinga wanaofundishwa waathirika Ili wawe wanacheka Kila mara Ili kusahau uhalisia!!
Hivi unakijua kikotoo wewe!!?halafu Bado hujajenga na unasomesha watoto Bado na na huna uhakika kama watapata ajira!!?
Namna pekee binadamu anaweza PATA furaha ni wakati amelala usingizi !lakini akifumbua macho gem linaanzia hapo hapo!!
Hauwezi full stopNielezee kwa kina labda ninaweza nikawa msaasa kwako
Mgoja nikipata muda nitakuja nyumbani kwako inboxNahisi nitaweza
Ukweli. Ukianza ujenzi,raha inapotea. Ukimaliza ujenzi unapata usingizi wa siku moja. Ukiamka nyumba inahita several milions kuweka furniture etc etc.Huo ndio ujinga wanaofundishwa waathirika Ili wawe wanacheka Kila mara Ili kusahau uhalisia!!
Hivi unakijua kikotoo wewe!!?halafu Bado hujajenga na unasomesha watoto Bado na na huna uhakika kama watapata ajira!!?
Namna pekee binadamu anaweza PATA furaha ni wakati amelala usingizi !lakini akifumbua macho gem linaanzia hapo hapo!!