Ingredients;
Ndizi msale
Kitunguu
Karoti
Nyama
Chumvi
Supu
Mapishi;
Kwenye sufuria katia ndizi zako vipande vidogo katia karoti na vitunguu,miminia supu ifike nusu sufuria ila isifunike ndizi zote weka jikoni kwa mda wa dakika15 mara kwa mara uangalie maji yasikaukie,then pepeta zile ndizi za chini zije juu huki ukiongezea supu baada ya dakika 15 chukua mwiko bonyeza kuona kama imeiva kama ndio weka chumvi na ongeza supu ,zima jiko weka pembeni anza kuponda na kipekecho au whisker usiwe mzito sana uwe unaongezea supu uzito ni wastani.ikiwa tayari korogea nyama yako iliyoiva kama umepoa unaweza rudisha jikoni ukachemka tena.
Nb.wengine husaga na blender na mwishoni hutia kijiko kidogo cha siagi.
😀 adios!