Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahsante ntafanya kwa maelekezo...samahan lazima ndizi mshare...?
nafikiri ndizi bukoba ama ngombe kwa uchagani zinafaa zaidi. ila pia ukiweka na viazi kidogo huongeza ladha nzuri zaid.
nafikiri ndizi bukoba ama ngombe kwa uchagani zinafaa zaidi. ila pia ukiweka na viazi kidogo huongeza ladha nzuri zaid.
amelinem hakuna vipimo halafu kumbe mtori unatiwa karoti, new to me. thanx
mwali ushawahi kuuweka magimbi yale madogo madogo!
uuwih mwisho wa habari!
ukiandaa na chapati za kitabu!unaweza kung'ata ulimi ujue!
thanks,hizo chapati za kitabu bado sijazipata kwa kweli labda kama kuna jina tofaut na ninalolijua mim,. ila kama ni zile za kawaida haina shida, muhimu ni kujua hizo chapati za kitabu ni kitu gani..?