Namna ya kupika Pilau

Napenda sana haya mapishi yako. Ila unatumiaga misamiati migeni sana kwangu.
Namba 4 "vitunguu thomu" ndio vitunguu gani.?!

Samahani kwa hiyo misamiati sikusudii kuwa confuse wengine bali tu hutokea si unajua tunatofauti kiswahili....

Kitunguu thomu ni kitunguu saumu
 
Samahani kwa hiyo misamiati sikusudii kuwa confuse wengine bali tu hutokea si unajua tunatofauti kiswahili....

Kitunguu thomu ni kitunguu saumu

Ahsante sana.
Mapishi yako sasa yamekuwa applicable sana hapo home sasa hv. Endelea hivyo hivyo,GOD will bless you.
 
Umewahi kuchanganya na njegere ama mahindi? Inapendeza zaidi...unatia hiyo mixed vegetables wakati unapamimina mchele.

Mahindi hayabadili ladha ya pilau?!
 
Mahindi hayabadili ladha ya pilau?!


Hapana kuna yale kwenye mixed vegetables pamoja na green peas na carrot yanakua sana frozen ushajua? Unaweza weka yale
 
Heshima iwe kwako.
 
Itabidi nibadilike pilau nakula shighulini tu,ngoja nipike nione itakuwaje
Nalog off
 
Asante sana penda mapishi yako kaaa mpembaa atiiiiii[emoji14]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…