Antoine ihai
New Member
- Jul 19, 2021
- 1
- 0
Zanzibar vitendo vya udhalilishaji Kwa wanawake na watoto vinazidi kushamiri Kila siku inayo itwa Leo hivyo basi watoto wa kizanzibari hususani wa wanafunzi wa shule wapo hatarini kupata mimba Kwa hujibu wa takwimu ni wanafunzi wa shule za msingi ndio wanaopatwa na majanga haya
Namna ya kupunguza vitendo hivyo:
Wazazi wa siwaruhusu watoto wao kutumia simu wakiwa katika umri mdogo kwani kutumia simu itapelekea kuongeza Kasi ya vitendo hivyo . Watoto wengi hususani wanafunzi hutumia simu za walezi au wazazi wao kwa kigezo Cha kutumia (calculator) kikokotoa Ili kufanyia ( home work) kazi ya nyuman
Serekali inapaswa kuweka mkazo (msistizo) katika adhabu za makosa ya udhalilishaji kwani kama serekali itakuwa inachukulia kesi kujuana basi vitendo vitazidi kuendelea Kila siku hivyo basi serekali ni lazima iweke Sheria na kanuni mzuri ambazo mzalilishaji hawezi kupata dhamana
Jamii nilazima itoe ushikiana na serekali kwani kama hawakutoa ushirikiano wale watuhimiwa watazidi kutenda vitendo hivyo ili kukwamisha kabisa lazima umoja na ushirikiano uwepo kati ya Jamii na serekali
Walimu wa shule wasisite kutoa sapot yao kwani wawo ndio huwa na wanafunzi Kwa mna mwingi kuliko wazazi wenyewe .
Kupitia njia hizi udhalilishaji Zanzibar utafika kikomo na wanafunzi wakike Sasa watakua huru kutimiza ndoto zao.
Namna ya kupunguza vitendo hivyo:
Wazazi wa siwaruhusu watoto wao kutumia simu wakiwa katika umri mdogo kwani kutumia simu itapelekea kuongeza Kasi ya vitendo hivyo . Watoto wengi hususani wanafunzi hutumia simu za walezi au wazazi wao kwa kigezo Cha kutumia (calculator) kikokotoa Ili kufanyia ( home work) kazi ya nyuman
Serekali inapaswa kuweka mkazo (msistizo) katika adhabu za makosa ya udhalilishaji kwani kama serekali itakuwa inachukulia kesi kujuana basi vitendo vitazidi kuendelea Kila siku hivyo basi serekali ni lazima iweke Sheria na kanuni mzuri ambazo mzalilishaji hawezi kupata dhamana
Jamii nilazima itoe ushikiana na serekali kwani kama hawakutoa ushirikiano wale watuhimiwa watazidi kutenda vitendo hivyo ili kukwamisha kabisa lazima umoja na ushirikiano uwepo kati ya Jamii na serekali
Walimu wa shule wasisite kutoa sapot yao kwani wawo ndio huwa na wanafunzi Kwa mna mwingi kuliko wazazi wenyewe .
Kupitia njia hizi udhalilishaji Zanzibar utafika kikomo na wanafunzi wakike Sasa watakua huru kutimiza ndoto zao.
Upvote
2