Sasa kama huna unafanyaje mkula?Wengine tunaombea Uhai/uzima wengine kipaumbele chao ni pesa
Leo nimeamua kuanzisha thread itakayodumu nyakati zote na majira yote . Pia uzi huu unamgusa Kila mmoja wetu.
Tunalo tatizo la umasikini katika jamii yetu. Unazaliwa masikini, unakua kimasikini, unaanzisha familia masikini, unakufa masikini, na wanao wanaendeza vicious cycle of poverty"
Ili kuondokana na dhahama hii ni vizuri kuwa na maarifa sahii na mbinu za kuvunja mnyororo huu wa umasikini.
Hivyo, naomba tushirikishane wakuu mbinu, mitizamo, hamasa, na maarifa ya kuushinda umasikini.
Mimi naanza : zifuatazo ni mbinu zinazoweza kuvunja mnyororo wa umasikini.
Kama huna uchumi wa kati usizae.
Ukitimiza miaka 25 hama eneo ulilozaliwa.
Ushinde ulevi wa sex.
Usiache kujielimisha na kujiongezea ujuzi.
Karibuni, tupia hints zako.
Pesa haijawai kuwa kinyume cha uhai hii ni itikadi ya kimasikini ukiona kila inapozungumziwa pesa au utajiri unaleta hoja za kifo ni ukoko wa umasikini uliojaa kichwani na kukomaa.Wengine tunaombea Uhai/uzima wengine kipaumbele chao ni pesa
Hakuna haja ya kuwaita waliozaa kuwa ni mafala!!!Waafrika weng tunakuwa masikini kutokana na kuzaa bila malengo kisa umri umefika,unakuta Kuna fala kapata pesa ya kula na kupanga anaona aoe
Uhai na uzima ,matajiri na masikini sote tunaomba.Wengine tunaombea Uhai/uzima wengine kipaumbele chao ni pesa
Kuzaa bila mpangilio ni ujinga haijarishi hakuna kauri za kupetipeti.Hakuna haja ya kuwaita waliozaa kuwa ni mafala!!!
Mkuu kwa upande fulani uko sahihi na kwa upande fulani hauko sahihi.Kuzaa bila mpangilio ni ujinga haijarishi hakuna kauri za kupetipeti.
Asilimia kubwa ya watu waliokopa pesa benki walirudi nyuma zaidi badala ya kwenda mbele kimaendeleo.huwezi kufanikiwa bila kuwa na biashara ambayo unapaswa kuwa na malengo ya juu zaidi, na huwezi kuendesha biashara yenye mafanikio bila kukopa Bank.
1.fanya utafiti wa biashara au mradi unaotaka kuuanzisha.
2. kopa Bank kama una dhamana ya kukopea.
huwezi kupinga hatua ya kiuchumi bila kukopa lazima ukope bank ndipo utasonga mbele na pia utakuwa na nidhamu ya pesa
Ujaelewa hoja, hoja kuzaa bila mpangilio wewe unazungumzia ndoa.Mkuu kwa upande fulani uko sahihi na kwa upande fulani hauko sahihi.
Kwa mfano mimi zamani nilikuwa na mawazo kama yako na nimechelewa sana kuoa.
Yaani tayari nilikuwa na kazi nzuri tu yenye uhakika wa kupata 1m mpaka 1.5m net salary lakini bado nikawa ni muoga wa kuoa kwa kufikiri kwamba pengine nikioa nitachelewa kupata maendeleo.
Basi nilikuwa niko Bachelor lakini matumizi yangu yalikuwa ni kati ya elfu 30 mpaka elfu 50 kwa siku kutegemea siku hiyo nimeamkaje.
Hiyo hali nilikwenda nayo kwa takriban miaka 7 lakini sijaona impact yake kwenye maendeleo,mwaka wa 8 nikaamua nioe nisije kuwa addicted bachelor.
Kwa sababu maendeleo niliyopata ni kujenga nyumba ya kulala tu kitu ambacho hata rafiki zangu waliowahi kuoa mapema pia wana nyumba za kulala kama yangu.
Kwa hiyo kanuni yako inaweza kuwa na mashiko kwa baadhi ya watu.
Kwa mfano mtu anazaa watoto wanne lakini hana uwezo wa kuwapatia basic needs kama kuwapangia vyumba vya kulala,chakula cha shida,mavazi ya shida.
Lakini bado kwa nature ya kitanzania hii formula inakataa kwa sababu wazee wetu wangeifuatisha hiyo kanuni humu wengi wetu tusingezaliwa.
Hata hao matajiri wa dunia kama akina Jack ma walizaliwa katika mazingira magumu maana yake wazazi wao wangekata tamaa kuzaa wasingepatikana hao mabilionea.
Kwa hiyo sidhani kama utajiri una uhusiano na kuzaa.
Au wewe katika maisha yako hujawah kuona kuna watu hawajawahi kuoa wala kuzaa lakini bado wanayumba kimaisha hata kulipia geto mtu anashindwa.
H
Ujaelewa hoja, hoja kuzaa bila mpangilio wewe unazungumzia ndoa.
After then kuzaa watoto 20 ikiwa uchumi wako mbovu ni upimbi haijarishi hata hao watoto wote wakija kuwa mabillionaire.
Ifahamike hatuwezi kuwasema wazazi wetu kwasababu maadiri yashachukua nafasi yake in real sense wazazi wengi wamefanya watoto wao waishi katika msoto sana mzazi hana maisha anazaa watoto 12 Circle ya umasikini kwenye familia kama hii uzito wake simdogo vyema tukaambiana ukweli sisi wazazi vijana maana tukiambiana teyari yashatokea tutaanza Mungu kapanga Mungu unakufuru upuuzi hakuna kufivhana kipimbi bana.
Mtoto anaanza maisha ana mzigo wa kuhudumia wadogo zake 5 wazazi wagonjwa yeye hajui future yake na yeye anawatoto Shits life basi ishatosha kwa wazazi wetu tunaweheshimu maadiri yashachukua nafasi yake ila mzazi wewe ambae nakwambia leo kabla hujafanya upimbi usifanye ujinga.
Matumizi mabaya ya neno 'Kudra' kwamantiki hiyo basi sawa na kusema kufanya ibada hakuna maana kwasababu kuna 'kudra'...kufanya kazi ni kujichosha tulale tu maana kuna 'kudra'Haya mkuu ngoja tujaribu hiyo idea.
Maana waswahili wanasema jitihada haishindi kudra.
Matumizi mabaya ya neno 'Kudra' kwamantiki hiyo basi sawa na kusema kufanya ibada hakuna maana kwasababu kuna 'kudra'...kufanya kazi ni kujichosha tulale tu maana kuna 'kudra'
Yes nahiyo ndio 'Kudra' ilivyo ila umeiweka si mahala pake ambapo inaleta picha ya kukatisha tamaa.Matumizi ya neno kudra yako hivi;
Kwa mfano mimi nimepambana sana na mbinu zote zinazoongelewa humu nimezipitia lakini bado sijatajirika,nakwenda mbele hatua 5 narudi nyuma hatua 10.
Hapo ndipo matumizi ya neno "Kudra" linapokuja.
Hahahaha sawa mkuu nimekupataYes nahiyo ndio 'Kudra' ilivyo ila umeiweka si mahala pake ambapo inaleta picha ya kukatisha tamaa.
Kudra ni maamuzi ya Mungu na sisi hatuna uwezo nayo hivyo tunavyozungumzia mioango,mikakati, malengo tuStrict na hayo nafasi pekee tulitopewa katika Kudra ni kuaomba Dua sasa kwamantiki hii pale ulitakiwa uwandika 'Tuombe Mungu' ndio ingekuwa sahihi.
Karibu mfungwa wa matumainiProductive thread.