Namna ya kuwa mbia na kampuni za nje katika biashara huku ukitumia 'brand' yako

Namna ya kuwa mbia na kampuni za nje katika biashara huku ukitumia 'brand' yako

Equation x

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2017
Posts
33,679
Reaction score
49,841
Biashara yoyote ni ubunifu.
Na si lazima mpaka uwe na mtaji mkubwa, ndio uweze kufanya biashara na kampuni za nje.

Swali; utaanzaje anzaje?

Muhimu sana huwa ni ubunifu wako; kichwa kifanye kazi yake.
Itategemea wewe unataka uingie katika biashara ipi.
Kwa anayeanza, anaweza kuanza hivi :-

  • Sajili jina la biashara yako/kampuni i.e Eqn x Supplies
  • Tengeneza website i.e www.eqnxsupplies.co.tz
  • Buni 'Brand' yako ,labda unashughuika na nguo i.e eqnx
  • Wasiliana na kiwanda cha nguo, china naona wako vizuri idara ya mauzo
  • Ingieni makubaliano (MOU), wakutengenezee bidhaa zenye brand ya jina lako; wewe utaandaa specs zako.
  • Lipia mzigo
  • Pokea mzigo, na uuze kwa brand yako i.e eqnx
 
Biashara yoyote ni ubunifu.
Na si lazima mpaka uwe na mtaji mkubwa, ndio uweze kufanya biashara na kampuni za nje.

Swali; utaanzaje anzaje?

Muhimu sana huwa ni ubunifu wako; kichwa kifanye kazi yake.
Itategemea wewe unataka uingie katika biashara ipi.
Kwa anayeanza, anaweza kuanza hivi :-

  • Sajili jina la biashara yako/kampuni i.e Eqn x Supplies
  • Tengeneza website i.e www.eqnxsupplies.co.tz
  • Buni 'Brand' yako ,labda unashughuika na nguo i.e eqnx
  • Wasiliana na kiwanda cha nguo, china naona wako vizuri idara ya mauzo
  • Ingieni makubaliano (MOU), wakutengenezee bidhaa zenye brand ya jina lako; wewe utaandaa specs zako.
  • Lipia mzigo
  • Pokea mzigo, na uuze kwa brand yako i.e eqnx
merci
 
Biashara yoyote ni ubunifu.
Na si lazima mpaka uwe na mtaji mkubwa, ndio uweze kufanya biashara na kampuni za nje.

Swali; utaanzaje anzaje?

Muhimu sana huwa ni ubunifu wako; kichwa kifanye kazi yake.
Itategemea wewe unataka uingie katika biashara ipi.
Kwa anayeanza, anaweza kuanza hivi :-

  • Sajili jina la biashara yako/kampuni i.e Eqn x Supplies
  • Tengeneza website i.e www.eqnxsupplies.co.tz
  • Buni 'Brand' yako ,labda unashughuika na nguo i.e eqnx
  • Wasiliana na kiwanda cha nguo, china naona wako vizuri idara ya mauzo
  • Ingieni makubaliano (MOU), wakutengenezee bidhaa zenye brand ya jina lako; wewe utaandaa specs zako.
  • Lipia mzigo
  • Pokea mzigo, na uuze kwa brand yako i.e eqnx
Asante sana kwa useful info. Mi tayari nina kampuni, naomba kuunganishwa na viwanda vya China hasa vinavyo deal na utengenezaji wa mashine za kuchakatia/kukamulia nafaka mfano alizeti, mise na vifaa vingine vya kilimo. Naomba link au code au channel
 
Asante sana kwa useful info. Mi tayari nina kampuni, naomba kuunganishwa na viwanda vya China hasa vinavyo deal na utengenezaji wa mashine za kuchakatia/kukamulia nafaka mfano alizeti, mise na vifaa vingine vya kilimo. Naomba link au code au channel
Lengo lako, la kuwapata hao wenye viwanda ni lipi? Kuwa wakala wa kuuza mashine zao, au unataka wakutengenezee mashine zenye specs zako uuze, au una wazo lipi?
 
Back
Top Bottom