Namna ya kuwa na wazo la kuanzisha na kumiliki kiwanda

Namna ya kuwa na wazo la kuanzisha na kumiliki kiwanda

Equation x

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2017
Posts
33,679
Reaction score
49,841
Tembelea maduka 15 katika mtaa wako na mtaa wa jirani; angalia bidhaa zilizopo katika hayo maduka.

Jiulize, wewe unaweza kuwapelekea bidhaa gani iwe sehemu za bidhaa zinazoonekana kwenye hayo maduka?

Ingia mzigoni kwa kutengeneza hiyo bidhaa iliyokuja kichwani mwako.

Ajiri wasambazaji; baada ya muda utaanza kuona mafanikio.

Usisahau kunitumia ata soda.​
 
Tembelea maduka 15 katika mtaa wako na mtaa wa jirani; angalia bidhaa zilizopo katika hayo maduka.

Jiulize, wewe unaweza kuwapelekea bidhaa gani iwe sehemu za bidhaa zinazoonekana kwenye hayo maduka?

Ingia mzigoni kwa kutengeneza hiyo bidhaa iliyokuja kichwani mwako.

Ajiri wasambazaji; baada ya muda utaanza kuona mafanikio.

Usisahau kunitumia ata soda.​
unatoa wazo la kiwanda na unaomba choda!,mkuu tukufikiriaje ama unatufikiriaje...?
 
unatoa wazo la kiwanda na unaomba choda!,mkuu tukufikiriaje ama unatufikiriaje...?
Nimetoa wazo rafiki, na unaweza kulitekeleza ata ukiwa na mtaji mdogo; ni tofauti na wale wanao uza mawazo yao, bila kujua wazo bila mtaji ni sawa na ndoto tu.

Kuhusu soda, tunaamini unavyotoa ndivyo unavyobarikiwa zaidi, au sio 😀
 
Katika hivyo vitu utakavyo fikiria ukiona mtaji itakuwa shida basi tengeneza hata pilipili tamu (japo inawasha) sambaza kwa wauza chips na wauza kuku wauza mihogo
Hakikisha pilipili yako imekamilika viungo vyote yaan inanukia na inanoga
Kuna jamaa anauza chips huko newala ila kuna wateja wasipokuta pilipili yake hawanunui.
Me musisahau kunitumia ya juisi
 
Katika hivyo vitu utakavyo fikiria ukiona mtaji itakuwa shida basi tengeneza hata pilipili tamu (japo inawasha) sambaza kwa wauza chips na wauza kuku wauza mihogo
Hakikisha pilipili yako imekamilika viungo vyote yaan inanukia na inanoga
Kuna jamaa anauza chips huko newala ila kuna wateja wasipokuta pilipili yake hawanunui.
Me musisahau kunitumia ya juisi
Wazo zuri sana, na kama likifanyika kwa ukubwa inaweza kupelekea kila mwenye duka kuwa na hii bidhaa sokoni.
 
Katika hivyo vitu utakavyo fikiria ukiona mtaji itakuwa shida basi tengeneza hata pilipili tamu (japo inawasha) sambaza kwa wauza chips na wauza kuku wauza mihogo
Hakikisha pilipili yako imekamilika viungo vyote yaan inanukia na inanoga
Kuna jamaa anauza chips huko newala ila kuna wateja wasipokuta pilipili yake hawanunui.
Me musisahau kunitumia ya juisi
Vipo kuhusu 'expire date'; tupe ujuzi zaidi
 
Tembelea maduka 15 katika mtaa wako na mtaa wa jirani; angalia bidhaa zilizopo katika hayo maduka.

Jiulize, wewe unaweza kuwapelekea bidhaa gani iwe sehemu za bidhaa zinazoonekana kwenye hayo maduka?

Ingia mzigoni kwa kutengeneza hiyo bidhaa iliyokuja kichwani mwako.

Ajiri wasambazaji; baada ya muda utaanza kuona mafanikio.

Usisahau kunitumia ata soda.​
Mkuu sikukatishi tamaa lakini sio mserereko hivi
 
Back
Top Bottom