Namna ya kuwa na wazo la kuanzisha na kumiliki kiwanda

Namna ya kuwa na wazo la kuanzisha na kumiliki kiwanda

Kwako changamoto ni nini?
Branding inahitaji akili na budget kuweka kutengeneza brand awareness Ili wateja wakienda kwa mangi Huwa wanajua kabisa kuwa wanaenda kununua nini ni bidhaa chache sana ambazo hazihitaji marketing ya kutosha na pia Huwa inataka mtaji mkubwa mfano kiberiti,unga,mafuta ya kula na bidhaa zingine zifananazo


Nyingine zote lazima upige kazi haswaa na kuumiza kichwa
 
Branding inahitaji akili na budget kuweka kutengeneza brand awareness Ili wateja wakienda kwa mangi Huwa wanajua kabisa kuwa wanaenda kununua nini ni bidhaa chache sana ambazo hazihitaji marketing ya kutosha na pia Huwa inataka mtaji mkubwa mfano kiberiti,unga,mafuta ya kula na bidhaa zingine zifananazo


Nyingine zote lazima upige kazi haswaa na kuumiza kichwa
Uko sahihi, kwa leo naomba tuanze na somo la vitendo la kuhakikisha bidhaa yako inapatikana kwenye maduka 1000 yanayokuzunguka.​
  • Fanya uzalishaji kutokana na mtaji wako​
  • Piga mahesabu kwa kila unit moja unayozalisha unatakiwa uuze kiasi gani, mfano 500​
  • Ongeza bei kidogo kwa kila unit kwa yule mwenye duka atakayekuwa anakuuzia, mfano 50​
  • Kwa hiyo utabeba bidhaa zako kwa makubaliano kwa kutembelea hayo maduka 1000, na kuwapa bei elekezi 550, ya kwako ni 50 tu.​
  • Hapo utafanikisha kusambaza bidhaa zako.​
Kuhusu 'awareness' hilo ni somo lingine kwenye 'marketing'; unaweza kulipia tangazo kwenye vyombo vya habari, unaweza kuwatumia vijana waliosomea masoko kwa ngazi ya cheti, unaweza kutumia mitandao ya kijamii; bahati nzuri vijana wengi ni jobless, wanaweza kukusaidia katika baadhi ya kazi kwa ujira mdogo/ kamisheni.​
 
Uko sahihi, kwa leo naomba tuanze na somo la vitendo la kuhakikisha bidhaa yako inapatikana kwenye maduka 1000 yanayokuzunguka.​
  • Fanya uzalishaji kutokana na mtaji wako​
  • Piga mahesabu kwa kila unit moja unayozalisha unatakiwa uuze kiasi gani, mfano 500​
  • Ongeza bei kidogo kwa kila unit kwa yule mwenye duka atakayekuwa anakuuzia, mfano 50​
  • Kwa hiyo utabeba bidhaa zako kwa makubaliano kwa kutembelea hayo maduka 1000, na kuwapa bei elekezi 550, ya kwako ni 50 tu.​
  • Hapo utafanikisha kusambaza bidhaa zako.​
Kuhusu 'awareness' hilo ni somo lingine kwenye 'marketing'; unaweza kulipia tangazo kwenye vyombo vya habari, unaweza kuwatumia vijana waliosomea masoko kwa ngazi ya cheti, unaweza kutumia mitandao ya kijamii; bahati nzuri vijana wengi ni jobless, wanaweza kukusaidia katika baadhi ya kazi kwa ujira mdogo/ kamisheni.​
Asante sana
Now naendelea kufanya ila usambazaji wangu natumia distributors na maduka makubwa mdogo mdogo
Kwenye matangazo natumia sponsored ads in 90%
 
Back
Top Bottom