Pre GE2025 Namna ya kuwachangia Wafungwa wa Kisiasa, George Sanga na wenzake yatajwa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Taarifa kutoka Chadema zinaeleza kwamba, Baada ya kushinda Kesi ya Uongo ya Mauaji waliyobambikiwa na Serikali ya CCM ili kuwakomoa, Wafungwa hao wa Kisiasa waliorundikwa Jela kwa miaka mitano wanahitaji misaada ya kibinadamu ili waweze kuendana na hali halisi ya maisha kama binadamu wengine waliokuwa Uraiani.

Namba ya kupokea michango imewekwa na ina jina la Mhanga George Sanga mwenyewe



Miongoni mwa Wachangiaji wa Mwanzo kabisa kujitokeza yumo Sativa, Mkimbizi wa Kisiasa aliyepangwa kuuawa na wanajifanya wenye Nchi kabla ya Mungu kuingilia kati na kukataa mauaji yake ya kishamba, Wauaji wake wote wametajwa hadharani ila kwa vile walitumwa hawataguswa, lakini Mungu hatowaacha.

Mkimbizi Sativa amechangia kitita cha hela ya madafu mil 1



Mungu Ibariki Chadema.
 
Hizo kesi unaweza kushangaa kwamba Mzee alihusika.

Yaani acha tuwachangje hawa wapambanaji.
 
Bettinga na michanga ya hiary wapi na wapi? Kama mtu ana beti 3M anashindwa kutoa msaada kwa wahitaji?
 
Mungu akujaalie rehema
 
Hongera Sativa, wewe ni mshindi zaidi ya mshindi
 
Humo kwenye hicho chama ulichptaja utasubiri sana
Uchaguzi wa kidemokrasia ndani ya chama umewagawa hadi aibu kila siku ni kutoa mpaka siri zenu. Wagombea wametia nia kwa mujibu wa katiba yenu lakini mmevurugana hatari.
Maslahi ya taifa mtayaweza!?
 
Chama gani yupo Siasa gani aliyokimbia huyo sativa!
 
Mchangieni pia Lissu yupo hoi taabani.Ametakiwa kutoa milioni 30 za gharama za Uchaguzi amekaa kimya.Inasemekana Lema pia kakimbia huo mchango wa wajumbe wa Kamati Kuu.
 
Pesa ya kamari inafaa kutolewa sadaka?"Hakika Allah ni Mzuri na Hapokei isipokuwa kizuri." (Sahih Muslim).
 
Uchaguzi wa kidemokrasia ndani ya chama umewagawa hadi aibu kila siku ni kutoa mpaka siri zenu. Wagombea wametia nia kwa mujibu wa katiba yenu lakini mmevurugana hatari.
Maslahi ya taifa mtayaweza!?
Lakini hakuna wasiojulikana au sio? Hizo zingine ni sirikasi za uchaguzi tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…